Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
sio mbaya,Nafikiri mleta mada ,akubaliane na familia yake na machawa ila sio watz wenye kujitambua
ila hayo ndio maoni, mtazamo na ushauri wangu wa kizalendo sana kwa waTanzania wenzangu wenye mapenzi mema na amani na utulivu wa huyu MAMA TANZANIA..
nasalia kuyaheshimu sana maoni yako ya kinyonge, gentleman

