GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Itakuwa ni wa upande wa pili anashangilia kuona wenzie tunasalitiwa km yeye tu
ndio maana nasema 100% huwezi kumtuliza mwanamke sababu una pesa. Kuna jamaa anatoka familia tamu sana alimaliza south africa alikuwa anasomea mambo ya ufundi kwwenye ndege na sasahiv kaingia jeshini. Yule jamaa alikuww anamtumia demu pesa lakini kuna mwamba alikuwa anapiga tu gitaa mtaani akawa anajipigia. Na mshikaji akinuna demu anamfata mpaka getto kumuuliza shida nin. Pesa zinatumwa halafu kuna mwanaume huku hana mbele wala nyuma anakula. Na mpaka anarudi demu akapangiwa appartment. Mshikaji akamwambia toka huko, demu katoka kamfata mwana, jamaa kaja kujua mchumba ana mimba ya yule mwana wa mtaani tu. Wanaoishi mitaa ya picha ya ndege kuelekea mazizini baadhi watafahamu hii storiMkuu unaishi na akili ya karne ya 17 mpka Leo?
Werevu ( Great Thinkers ) kama Wewe huwa mnapata wapi muda wa kuwajibu FOOLS hapa?Mkuu unaishi na akili ya karne ya 17 mpka Leo?
nakusubir ujae kwenye 18 zangu, ndio maana ule uzi wa dr matola uliamua kuufunga kwa sababu ya aibu kubwa uliypipata🤣🤣🤣Jiombee Wewe ili usijae tena katika 18 zangu na ukapata BAN nyingine ambayo nakuona unaitafuta kwa lazima. Usilaumu.
Kukuchukia au kukupenda ni matumizi mabaya ya chuki na upendo, sometimes akili yako ipo km mbolea ya binadamu
Pathetic.nakusubir ujae kwenye 18 zangu, ndio maana ule uzi wa dr matola uliamua kuufunga kwa sababu ya aibu kubwa uliypipata🤣🤣🤣
unahitaji maombi mambo ya kubishana na uumbaji wa mungu lazima tu tukufanyie maombiPathetic.