Kama Tajiri Max angekuwa analipa unahisi ni mwana JF gani angekuwa Tajiri?

Kama Tajiri Max angekuwa analipa unahisi ni mwana JF gani angekuwa Tajiri?

Tatizo sheria zinabana sana, ukisoma Terms na privacy policy inakatisha Tamaa. Kuna mzee mmoja alitaka anipe kitabu chake walitumia kusoma enzi za ukoloni, nikasema mzee kuliko uambulie chai bora wasome wajuu zako. Kwakwel hata mimi ningekuwa tajiri...
 
Mchawi mstaafu bro mwenye upendo na kila mtu Mshana Jr angekula pesa ndefu

Pascal Mayalla au mbunge wa kigamboni aliyepata kura 0 angefuatia.

rikiboy ule uzi wake una viewers wengi sana naye angelamba shavu.

Kuna dogo anaitwa INSIDER MAN naye anakimbiza vibaya kwenye viewers.

Kuna mkurya mwenzangu wa kumuita UMUGHAKA naye angetoboa.

Jamaa mwenye lipua kama la Baba yake Analyse naye angekuwa Bilionea kama Bilionea Asigwa au @Kidukulilo.

Ila Mpwayungu Village , OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE hao ndio wangekuwa makapuku wa kutupwa na Binti Kimoso aendelee kumfuga tu marioo wake maana hasingelipwa hata 100 na Max.
 
Kuanzia joined 2018 kushuka chini huwa tunalip.wa
 
Back
Top Bottom