Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Upo sahihi kabisa.
Kwa Sasa Rwanda inatumia kisingizio cha kuwepo kwa waasi wa FDLR huko Drc (japo kweli wapo) Ili kuivuruga hiyo nchi.
Hii taarifa yako sio ya kweli kuna kitu,hakipo sawa. Fuatilia vizuri hata hivi vitabu ulivo soma yaweza kuwa ulilishwa matango pori..wakati Amini anatuvamia Tanzania ilishasitisha misaada kwa wapinzani wa serikali ya Uganda.
..Tanzania na Uganda zilikuwa zimesaini makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Raisi wa Somalia , Siad Barre.
..makubaliano ya amani baina ya Tanzania na Uganda yaliitwa Mogadishu Accord na Tanzania haikuwahi kutuhumiwa kuyakiuka.
..Iddi Amin alipotuvamia hakuwa akidai amechokozwa bali alikuwa akidai eneo la Kagera ni mali ya Uganda.
NB:
..kasomeni kitabu cha Museveni hata yeye anakiri kwamba misaada ya kijeshi ilikuwa imesitishwa na walikuwa hawana mpango wowote wa kumkabili Iddi Amin.
Wafuga ng'ombe mnajitutumua sana yani wale washamba sisi ndio tuwaogope, eet hima empireHima Empire inahusisha ya Tanzania, Uganda, Kenya, Rwanda, Burundi na DRC Mashariki. Kenya wanao na ndio sababu kuna Mauaji yalifanyika ya Wapinzani wa PK.
Uzuri ni kuwa watu muendelee kuwaza kuwa ni stori za kijiweni ila mkae mkijiandaa kutawaliwa na Wahima. Uwekeni huu uzi kwa rejea ya siku zijazo
Bazazi