Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 4,236
- 7,583
njoo tuangalie zetu moviesUmeme hakuna umeenda zake .Kwanza sipendagi mpira mie female
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo tuangalie zetu moviesUmeme hakuna umeenda zake .Kwanza sipendagi mpira mie female
Huu umeme ndo umenifanya nisilipe DStv. Bila hivyo ningelipaToka jana nilivyogundua wataonyesha mechi 28 tu na kati ya hizo hakuna hata moja ya Argentina haraka sana nikalipia DSTV.
Mimi nilikimbia mbio, kufika nakuta wanapiga nyimbo za taarab!! TBC ni bure kabisa.nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya england na iran !nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli,tbc ina chanel ngapi kwani? kama mlijua hamuwez kuonyesha mechi zote mngeacha tu azam wapige kazi
Pote bila bila ...Azam tv Kuna channel za Kenya, Uganda na Rwanda kwa nini mnang'ang'ania tbc
Yan nimekereka sana hata mimi mpaka nikawaza ivi hakuna channel nyingine kwanini lakin hawakupewa azam hii kazi? Inakera na inaboa sana ndo maana soka la bongo ni utumbo mtupu
Watakuwa wamepangiwa mechi chache na Multchoice tz, Kuna harufu ya rushwa
Rights za kuonesha haya mashindano hazipatikani hovyo sheikh.nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya england na iran !nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli,tbc ina chanel ngapi kwani? kama mlijua hamuwez kuonyesha mechi zote mngeacha tu azam wapige kazi
Hizo mechi zimetolewa bure kwa tV za taifa dunia nzimaAzam tv Kuna channel za Kenya, Uganda na Rwanda kwa nini mnang'ang'ania tbc
Kuprove unachoongea muda ambao TBC haoneshi mechi kaangalie TV za taifa za RWANDA, KENYA, UGANDA kisha uone kama nazo zinaonesha.Wamechaguliwa na nani? FIFA wanatoa haki za kurusha hii michezo yote moja kwa moja bure kwa vyombo vya habari vya taifa kama TBC bure nchi wanachama zote.
Huyu anayewachagulia TBC cha kurusha anawanyiwa burudani watu wasio na uwezo wa kulipia vyombo binafsi vinavyorusha hii michuano. Kheri wasingerusha hata hivyo vimechi tuchache.
Mkuu si kweli,Tv stations za Taifa wanapewa mechi kadhaa tu za kuonyesha na siyo zote.Wenye haki ya kuonyesha mechi zote kwa hapa kwetu ni Dstv tu.Wamechaguliwa na nani? FIFA wanatoa haki za kurusha hii michezo yote moja kwa moja bure kwa vyombo vya habari vya taifa kama TBC bure nchi wanachama zote.
Huyu anayewachagulia TBC cha kurusha anawanyiwa burudani watu wasio na uwezo wa kulipia vyombo binafsi vinavyorusha hii michuano. Kheri wasingerusha hata hivyo vimechi tuchache.
Acha utoto si ununue dish la dstv bei nafuu halafu unakuja kulia lia hapa!Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani? Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi
Total matches ni 64 mkuu rekebisha hapo sio 68Hakuna vya Bure,
Kombe la Dunia Lina mechi 68,
TBC wataonyesha 28.
Nunueni vifurushi
Timu ya mpira ya Irani wanavaa Jezi au kanzu na barghashia uwanjani?Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani? Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi