Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani? Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi
Nimecheka sana.Timu ya mpira ya Irani wanavaa Jezi au kanzu na barghashia uwanjani?
Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani? Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi
TBC quality mbooooovu, Jana tu ndio walikua na quality nzuri danganya toto leo quality mboooovu wachezaji wanagandaganda tu uwanjani km kuna ukungu ukunguTbc anapaswa kuwajibika kwa kuwadanganya ama kuwahadaa wananchi kwamba wangeonesha mechi zote.
Wataonyesha mechi 28 tu mkuuNimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani? Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi
Bora wasionyeshe tu quality mbooovu wala sio HD umbwa wale wanafanya bure ionekane aghali wanatuumiza macho tu bora Dstv,Wataonyesha mechi 28 tu mkuu
TBC washenzi sana yaan kwa kua wanaomyesha bure ndio wanatuonyesha vile kweli HD gani ile?
FYA ndio imoje hio mkuu na inopatekana wape?Nunueni tu receiver ya fta mbona machannel yanayoonyesha hizo mechi kutokea nje yapo mengi tu
Una uhakika kuwa wamepewa mechi zote? Au unaandika tuKwa nini wanarusha mechi 28? Mechi zote 64 wamepewa bure na FIFA.
Mechi 64 wanatangaza Radioni bure ila mechi 28 ndio wanazionyesha, sema TBC quality mboooovu sio HDKwa nini wanarusha mechi 28? Mechi zote 64 wamepewa bure na FIFA.
Mpumbavu huyo kumbe?wewe ndio mpumbavu yaani nonses kabisa huna akili
Hizi hapo mechi watakazoonyesha TBC zenye FTAHivi unaposema wangewaachia azam, unaelewa na kufahamu kwamba dstv peke ndiye mwenye hakimiliki ya kuonyesha mechi zote 64?
Azam angeweza kuonyesha kwa kupewa idhini na dstv ambaye kimsingi ni mshindani wake!
Ni kama mnalaumu tbc kwamba wao ndio waliozuia azam kutoonesha hizo mechi, while kilichombeba tbc ni kwa kuwa ni chombo huru cha Taifa ambao kimsingi Fifa imewaruhusu kurusha hizo mechi!
Tbc anapaswa kuwajibika kwa kuwadanganya ama kuwahadaa wananchi kwamba wangeonesha mechi zote.
Huna haja ya kuwalaumu TBC,hizo zenye FTA ndizo mechi pekee watakazoonyesha kwa hatua hii ya Group stagewewe ndio mpumbavu yaani nonses kabisa huna akili