Kama tetesi hizi ni kweli viongozi Simba mtaharibu!

Kama tetesi hizi ni kweli viongozi Simba mtaharibu!

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Matokeo ya weekend yametuvuruga Simba kuanzia mashabiki, wachezaji, makocha hadi viongozi! Ni kama hakuna anayejua tumekosea wapi.

Kuna tetesi mitandaoni kuwa kocha Robertinho amepewa game tatu kuamua hatma yake, Azam, Vipers in and out. Huu ni uganga wa kienyeji sio hesabu za mpira.

Unapompa kocha mechi tatu, wachezaji wana sehemu gani? Kama kwa unprofessional reasons wachezaji wakiamua kumhujumu kocha? Kwa kipimo kipi kuona huyu kocha mpya ni kocha wa ovyo?

Tunategemea management mlifanya tathimini ya kutosha na kuona huyu atafaa kutengeneza Simba itayotisha misimu kadhaa, Sasa imani yenu imefia wapi ghafla?

Simba main victims wa matokeo mabaya daima ni kocha na hii imejikita hadi kwa mashabiki! Tumeishia kuwa na lundo la makocha hadi aibu! Mnafikiri tatizo ni hao makocha au kichaka cha kuficha udhaifu wa viongozi?

Tusisahau hawa viongozi wamevurunda usajili bora hata Singida Big stars! Wachezaji wote waliosajiliwa wamevurunda! narudia wote kasoro Phiri! Ntibatokiza na Baleke ni dirisha dogo na hapo huyo Baleke hata Mazembe hawamtaki wanamtoa kwa Mkopo tu! Wamemleta Sewadogo hajacheza msimu mzima!

Huyu kocha akirudi leo Vipers alafu tukutane nae Feb 25 hatumuwezi ndio mjue hawa makocha wanaonewa tu. Hata hii Yanga iliyoimarika ni kumvumilia Nabi! Mashabiki wa Yanga walishaona Nabi hawezi hizi game lakini ilikuwa mihemko tu!

Viongozi njooni na mkakati mpya wa scouting ambao tutanunua wachezaji wa maana, lakini pia ili kuepusha hujuma badala ya kumpa kocha mkuu mechi 3 toeni game tatu kwa benchi lote la ufundi na pia wachezaji wakatwe maslahi yao tukitolewa ili uwajibikaji uwe timu nzima sio kuonea kocha mkuu tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wastani wa umri wa wachezaji wetu ili defense line iwe salama unahitaji young players wenye mapafu kiungo. Tumepewa somo zuri na Raja, kila counter ilikuta viungo na mabeki wa pembeni hawapo na kuwapa mzigo Onyango na Inonga!

Thabalala na Kapombe ni wazuri wakikutana na wenzao wenye intensity ya level zao ila wakikutana na vijana wenye nguvu na kasi ni uchochoro! Hata Nabi katusumbua mara zote kupitia pembeni. Bila Kapombe na Tshabalala kupanda timu inakufa hivyo ukiwapa mawinga wenye speed Simba inafia hapo.

Hata robo fainali zetu mara nyingi tunafia kupitia kasi za mawinga pinzani. Kama unataka Tshabalala na Kapombe wapige pressure unahitaji viungo vitasa kuziba njia zao kwenye counter! Sasa Simba hatuna namba 6 wa asili hata mmoja! Hata Kanoute tunalazimisha tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Mwamedi aache ubahili timu inahitaji uwekezaji na sio longolongo
Hatoi pesa na hili ni tatizo. Tumemkosa Manzoki kwa ubahili tuka risk aje dirisha dogo ili tukwepe kutoa mzigo. Adebayo tukashindwa kufika bei! Aziz K alikuwa kwenye rada ubahili wetu Yanga wakaingilia deal tukasusa kwa kujiona wakubwa!

Nani alimleta Mzungu? Okwa na Akpan hata Ihefu hawapangwi? Unaleta mtu ambaye kama Okwa ambaye hamfikii hata robo kijana wetu Ndemla si kichaa hiki!

Hawa friends of Simba kama wameshindwa kumfanya huyo tajiri atoe fungu la usajili nao waiache timu irudi kwa wanachama tujipange upya.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe kina Okwa hata Ihefu hawapangwi jamaniii kheeee
Hatoi pesa na hili ni tatizo. Tumemkosa Manzoki kwa ubahili tuka risk aje dirisha dogo ili tukwepe kutoa mzigo. Adebayo tukashindwa kufika bei! Aziz K alikuwa kwenye rada ubahili wetu Yanga wakaingilia deal tukasusa kwa kujiona wakubwa!

Nani alimleta Mzungu? Okwa na Akpan hata Ihefu hawapangwi? Unaleta mtu ambaye kama Okwa ambaye hamfikii hata robo kijana wetu Ndemla si kichaa hiki!

Hawa friends of Simba kama wameshindwa kumfanya huyo tajiri atoe fungu la usajili nao waiache timu irudi kwa wanachama tujipange upya.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Simba yahitaji overhaul kubwa

Kwanza kwanini walitembeza basi kinyume nyume?
Basi lilienda kinyume nyume maana basi lilikua garage na mafundi wameweka mskanio nyuma na engine nyuma ko ndo itakua inatembea hivo.
 
Nani alimleta Mzungu? Okwa na Akpan hata Ihefu hawapangwi? Unaleta mtu ambaye kama Okwa ambaye hamfikii hata robo kijana wetu Ndemla si kichaa hiki!
Wakisajili viongozi mnasema kocha hajashiriki kusajili. Wakisajili makocha mnasema viongozi na muwekezaji wameleta wachezaji wabovu. Wabongo hatuishiwi maneno!
 
Wakuu,

Matokeo ya weekend yametuvuruga Simba kuanzia mashabiki, wachezaji, makocha hadi viongozi! Ni kama hakuna anayejua tumekosea wapi.

Kuna tetesi mitandaoni kuwa kocha Robertinho amepewa game tatu kuamua hatma yake, Azam, Vipers in and out. Huu ni uganga wa kienyeji sio hesabu za mpira.

Unapompa kocha mechi tatu, wachezaji wana sehemu gani? Kama kwa unprofessional reasons wachezaji wakiamua kumhujumu kocha? Kwa kipimo kipi kuona huyu kocha mpya ni kocha wa ovyo?

Tunategemea management mlifanya tathimini ya kutosha na kuona huyu atafaa kutengeneza Simba itayotisha misimu kadhaa, Sasa imani yenu imefia wapi ghafla?

Simba main victims wa matokeo mabaya daima ni kocha na hii imejikita hadi kwa mashabiki! Tumeishia kuwa na lundo la makocha hadi aibu! Mnafikiri tatizo ni hao makocha au kichaka cha kuficha udhaifu wa viongozi?

Tusisahau hawa viongozi wamevurunda usajili bora hata Singida Big stars! Wachezaji wote waliosajiliwa wamevurunda! narudia wote kasoro Phiri! Ntibatokiza na Baleke ni dirisha dogo na hapo huyo Baleke hata Mazembe hawamtaki wanamtoa kwa Mkopo tu! Wamemleta Sewadogo hajacheza msimu mzima!

Huyu kocha akirudi leo Vipers alafu tukutane nae Feb 25 hatumuwezi ndio mjue hawa makocha wanaonewa tu. Hata hii Yanga iliyoimarika ni kumvumilia Nabi! Mashabiki wa Yanga walishaona Nabi hawezi hizi game lakini ilikuwa mihemko tu!

Viongozi njooni na mkakati mpya wa scouting ambao tutanunua wachezaji wa maana, lakini pia ili kuepusha hujuma badala ya kumpa kocha mkuu mechi 3 toeni game tatu kwa benchi lote la ufundi na pia wachezaji wakatwe maslahi yao tukitolewa ili uwajibikaji uwe timu nzima sio kuonea kocha mkuu tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wanamlaumu vipi kocha kwa team kama raja Casablanca ile team sio size yetu kabisa watoe uwendawazimu wao..

Badala ya kusajili vitu vya maana wao wanawaza ten percent na udananda kwenye usajili ndio matokeo yake haya kudhalilika utadhani tumejisaidia hadharani..
 
Back
Top Bottom