mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Viongozi wangu wa Simba waache ujinga ,wakubal wanatuchezea kwenye usajir ,huwez mbebesha lawama kocha kwa michezaji garasa Kama Ile .
Itafika muda hata sisi mashabiki tutawapa michezo kadhaa nyie viongozi mkishindwa Hilo mtaondoka hata kwa maandamano hapo clubuni..
Na kinachofuata saiz hakuna kuja uwanjan Hadi muache kusajili wachezaji wa mafungu.
Ni heri muwe mnasajil wachezaj hata watatu tu Ila wa maana kuliko huo ugoro wenu.
Mkimtimua kocha tambueni hamtakua mtatua tatizo ,tatizo ni kusajil na sio njaa njaa.
Nilianza kuwadharau viongozi wa Simba baada ya kushindwa kumnasa manzok kw amilion 400 ajab et Simba ni timu kubwa ,pumbavu zenu.
Endeleen kujaza takataka za million 50,60,70 alafu et tuna malengo ya nusu fainal .
Nawambia viongozi wote wa Simba soon mraanza kuchezea mayai viza popote mkipita
Itafika muda hata sisi mashabiki tutawapa michezo kadhaa nyie viongozi mkishindwa Hilo mtaondoka hata kwa maandamano hapo clubuni..
Na kinachofuata saiz hakuna kuja uwanjan Hadi muache kusajili wachezaji wa mafungu.
Ni heri muwe mnasajil wachezaj hata watatu tu Ila wa maana kuliko huo ugoro wenu.
Mkimtimua kocha tambueni hamtakua mtatua tatizo ,tatizo ni kusajil na sio njaa njaa.
Nilianza kuwadharau viongozi wa Simba baada ya kushindwa kumnasa manzok kw amilion 400 ajab et Simba ni timu kubwa ,pumbavu zenu.
Endeleen kujaza takataka za million 50,60,70 alafu et tuna malengo ya nusu fainal .
Nawambia viongozi wote wa Simba soon mraanza kuchezea mayai viza popote mkipita