Uchaguzi 2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

Uchaguzi 2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

Mkuu P

Haho TPSF mbona hawasemi na kuuliza maswali,
Je wale wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha,walivyopolwa pesa zao ni lini wataludishiwa?
Au wale siyo wa sekta binafisi?

Cc:
Wale TPSF ule mkutano waliandaliwa na CCM hayakuwa matakwa yao,
Ndiyo maana hata kuongea kwao walikuwa wanababaika.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as a consolation prize na kuwapooza sympathisers wake watakao mpigia Tundu Lissu, compassionate and sympathetic votes?.

Hoja hii imeanzaje?
Saa hizi ni usiku wa manane, usingizi umekata ghafla nikaanza kuwaza uchaguzi na haswa kitu cha ajabu sana nilichokisikia leo kwenye mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF, pale katika ukumbi Kimataifa wa mikutano, JNICC, hivyo nikaamua kuendelea kuandika zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa".

Declaration of Interest
Naomba kuanza na declaration of Interest
Mimi Pascal Mayalla, japo ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, mimi sio kada fagilia, kada shangilia au kada piga makofi, mimi ni kada Mzalendo ambaye ninatanguliza mbele maslahi ya taifa. Hivyo ukiamua usinisome au usizingatie hoja zangu kwa vile sasa na mimi ni kada wa CCM, rukhsa kuishia hapa, nisije kukukerehesha nikakuharibia bure siku yako ya leo, na kwavile leo ni Jumatatu, ukiianza vibaya, utakuwa umeharibu wiki yako yote.

Kwa vile mimi ni muumini wa ukweli, na uwazi na ninaamini ukweli na uwazi ndio utaliponya taifa, sitaacha kuusema ukweli bayana ili kulisaidia kuliponya taifa langu, Pasco Mayalla licha ya sasa kuwa ni kada wa CCM, lakini Pasco bado ni yule yule juzi jana na leo, na hoja zake ni zile zile za kwa Maslahi mapana ya taifa.

Mkutano wa TPSF
Jana nimehudhuria mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF ambayo ni Taasisi Apex, yaani Taasisi Mwamvuli, an Umbrella Organisation, chini ya mwamvuli huo wa TPSF, kuna taasisi nyingine nyingi zinazo deal na sekta binafsi. Taasisi nyingine zote zilizo chini yake, jana zimemshukuru rais Magufuli kwa mambo makubwa, mazuri na ya kuonekanika aliyo yapanga, akayasema na kuyatenda kwa kuyafanya na kuyatekeleza, hivyo, wakuu wa taasisi zilizo chini ya mwamvuli wa TPSF, mmoja baada ya mwingine, jana walipanda jukaani na kunadi mazuri ya Magufuli kwenye tasisi zao, na kuahidi kuwa wametumwa na wanachama wao, kumpigia kura zote rais Magufuli wamemuhakikishia kura zote wanachama wote walio chini ya mwamvuli wa TPSF zitakwenda kwa JPM na wagombea wa CCM pekee, kwasababu aliahidi kwa kusema na sasa ametenda.

Hivyo kama ni kweli, hao wanachama wa Taasisi zote zilizo chini ya TPSF wameamua unanimously kumpigia kura JPM na CCM, then, kiukweli kabisa, rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, JPM, katika uchaguzi huu, yeye na CCM Itashinda kwa ushindi wa kishindo kikubwa cha ajabu kabisa kuwahi kutokea Tanzania, tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ile 1992!.

Kwasababu nimeshuhudia chaguzi zote 5 za vyama vingi toka ule wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na sasa uchaguzi huu wa 2020 ni wa 6!, huko nyuma haijapata kutokea, hii ndio kwa mara ya kwanza, sekta binafsi nayo inatoa msimamo wa kisasa, na kuzungumza kwa kauli moja unanimously kuunga mkono mgombea mmoja wa chama kimoja tuu cha siasa!,
kwasababu hizo taasisi, sio taasisi za kisiasa na zinategemewa wanachama wake wako huru kujinga na vyama vyovyote vya siasa na wako huru kuchagua viongozi wao wowote wanaowapenda kutoka vyama vyovyote, hivyo kama sasa wameamua kwa kauli moj, kutangaza hadharani kumchagua mgombea mmoja, JPM na kuichagua CCM, huu sasa ni uamuzi wa kisiasa, then there is no way Tundu Lissu anaweza kupata kura zozote za maana!.

Hii ya TPSF, ni ukiondoa watumishi wa serikali ambao tunajua watamchagua nani, then TPSF encompasses
1. Wafanyakazi wengine wote wako chini sekta binafsi nchini chini ya TPSF, wakiwemo
2. Wafanyabiashara wote nchini wa biashara zote, wako chini ya TCCIA wameahidi kura kwa JPM na CCM.
3. Wafanyabiashara wote wanawake chini ya TWCC wameahidi kura kwa CCM
4 Wenye viwanda wote chini ya CTI, wameahidi kura kwa CCM
5. Wakulima wote Tanzania chini ya TFA, wameahidi kura kwa CCM
6. Wenye mabenki wote chini ya TBA nao wameahidi kuwashawishi accounts holders wao wote wampigie JPM na CCM
7. Makampuni yote ya simu kuwashawishi subscribers wao wote kumpigia JPM na CCM.
8. Wafanyabiashara ndogondogo wote, wasiosajiliwa, wamachinga, mama lishe, wenye bodaboda wote, madereva, makundi ya wanawake, vijana na wenye ulemavu wote wameahidi kura kwa JPM na CCM, hivyo kama hii ni kweli, then its as if rais Magufuli na CCM anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote toka makundi yote ya jamii, swali la kujiuliza ni kama ndio hivyo, nani atachagua upinzani?.

Kwa vile kabla sijajiunga siasa, nilistaafu kwanza uandishi wa habari, hivyo sikuweza kufuatilia ni lini hizi taasisi zote chini ya TPSF zilifanya AGM zake na kupitisha hizo resolutions kumsupport JPM na CCM, na kwa vile AGM zote ni open conferences zinatakiwa kutangazwa, kama kuna yoyote aliyesikia matangazo ya AGM, za taaisi hizo zikiitishwa, atujuze, unless AGM ziliitishwa na media zilialikwa ila kutokana na media kuwa too busy na politics, resolutions za AGM hizi hazikutangaza hivyo hizo resolutions zote halali na ziko valid ila mimi ndio nikazisikia hiyo jana, lakini ikitokea, hakuna vikao vyovyote rasmi vilivyoitishwa na taasisi hizo, kupitisha hizo political resolution kwenye taasisi zao, na badala yake ni vingozi wa Taasisi hizo, wamefikia maamuzi ya kuwaamulia wanachama wao wamchague nani na chama gani na kuyatangaza maamuzi hayo hadharani kuwa wote wameamua kwa kauli moja, bila AGM, bila, bila kushirikishwa, then this leaves much to be desired!, na kwavile kura ni siri, then lets wait for JPM na CCM landslide victory, or surprises iwapo hawakushirikishwa!.

Sasa kwa vile kura zote zimeahidiwa kwa JPM na CCM only, lakini kwenye mikutano ya Tundu Lissu pia inajaza watu wenye too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda, bila kuonyesha atashinda kwa sera zipi, hoja zipi na kura zipi toka makundi gani ya kijamii, lakini kwavile na kiukweli kabisa kwa kilichomtokea Tundu Lissu kushambuliwa na risasi 16 za moto na akapona na sasa ni mgombea, huu ni muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu na usikute ule umati wa watu katika mikutano ya Tundu Lissu ni umati wa kushuhudia tuu muujiza wa kupona kwa Tundu Lissu na sio umati wa wapiga kura, na akitokea kupata kura, then Tundu Lissu atapata kura chache za sympathetic na compassionate votes kwa maswahibu yaliyomfika.

Hivyo nashauri for the sake of national unity, kwasababu rais Magufuli anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote, haku kuna watu wana too great expectations na Tundu Lissu, mimi kama Mtanzania Mzalendo, katika wiki hii ya mwisho ya kampeni za uchaguzi, namuomba mgombea wetu na Mwenyekiti wa chama changu CCM, JPM, atangaze na ku ahidi wafuasi wa Tundu Lissu kuwa baada ya uchaguzi, atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Bunge la JMT katika zile nafasi zake kumi ya uteuzi, ili Tundu Lissu angalau aweze kurejea Bungeni kuendelea kulichangamsha Bunge letu lijalo and at the same time, kuwafariji wale minority wote waliopanga kumpigia kura za sympathetic votes na compassionate votes, na hivyo to heal wafuasi na washabiki wake?.

Jee wenzangu mnalionaje hili?. si ni jambo jema?. Tena kama hoja za TPSF ni kweli, hii maana yake, Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la CCM dominated house, hivyo sio tuu namuombea uteuzi Tundu Lissu pekee, bali namumba JPM pia amteue, hata Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe kuwa wabunge, amteue Benard Membe kuwa balozi, Maalim Seif yeye hana wasiwasi ni atakuwa Makamo kule Zanzibar hivyo wafuasi wake watatulia!.

Upendo, Amani, Utulivu na National Unity ni components muhimu sana kumsaidia Magufuli kwenye mitano tena yake.

Nawatakia Jumatatu njema.

Paskali
Jana rasmi TPSF wamemuaga, maana baada ya hapo ataitwa mstaafu hawatokuwa na nafasi ya kumuaga tena.
 
Hao TPSF ni genge la wasoko tonge, nenda ground uone hali ilivyo kwa wafanya biashara
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as a consolation prize na kuwapooza sympathisers wake watakao mpigia Tundu Lissu, compassionate and sympathetic votes?.

Hoja hii imeanzaje?
Saa hizi ni usiku wa manane, usingizi umekata ghafla nikaanza kuwaza uchaguzi na haswa kitu cha ajabu sana nilichokisikia leo kwenye mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF, pale katika ukumbi Kimataifa wa mikutano, JNICC, hivyo nikaamua kuendelea kuandika zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa".

Declaration of Interest
Naomba kuanza na declaration of Interest
Mimi Pascal Mayalla, japo ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, mimi sio kada fagilia, kada shangilia au kada piga makofi, mimi ni kada Mzalendo ambaye ninatanguliza mbele maslahi ya taifa. Hivyo ukiamua usinisome au usizingatie hoja zangu kwa vile sasa na mimi ni kada wa CCM, rukhsa kuishia hapa, nisije kukukerehesha nikakuharibia bure siku yako ya leo, na kwavile leo ni Jumatatu, ukiianza vibaya, utakuwa umeharibu wiki yako yote.

Kwa vile mimi ni muumini wa ukweli, na uwazi na ninaamini ukweli na uwazi ndio utaliponya taifa, sitaacha kuusema ukweli bayana ili kulisaidia kuliponya taifa langu, Pasco Mayalla licha ya sasa kuwa ni kada wa CCM, lakini Pasco bado ni yule yule juzi jana na leo, na hoja zake ni zile zile za kwa Maslahi mapana ya taifa.

Mkutano wa TPSF
Jana nimehudhuria mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF ambayo ni Taasisi Apex, yaani Taasisi Mwamvuli, an Umbrella Organisation, chini ya mwamvuli huo wa TPSF, kuna taasisi nyingine nyingi zinazo deal na sekta binafsi. Taasisi nyingine zote zilizo chini yake, jana zimemshukuru rais Magufuli kwa mambo makubwa, mazuri na ya kuonekanika aliyo yapanga, akayasema na kuyatenda kwa kuyafanya na kuyatekeleza, hivyo, wakuu wa taasisi zilizo chini ya mwamvuli wa TPSF, mmoja baada ya mwingine, jana walipanda jukaani na kunadi mazuri ya Magufuli kwenye tasisi zao, na kuahidi kuwa wametumwa na wanachama wao, kumpigia kura zote rais Magufuli wamemuhakikishia kura zote wanachama wote walio chini ya mwamvuli wa TPSF zitakwenda kwa JPM na wagombea wa CCM pekee, kwasababu aliahidi kwa kusema na sasa ametenda.

Hivyo kama ni kweli, hao wanachama wa Taasisi zote zilizo chini ya TPSF wameamua unanimously kumpigia kura JPM na CCM, then, kiukweli kabisa, rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, JPM, katika uchaguzi huu, yeye na CCM Itashinda kwa ushindi wa kishindo kikubwa cha ajabu kabisa kuwahi kutokea Tanzania, tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ile 1992!.

Kwasababu nimeshuhudia chaguzi zote 5 za vyama vingi toka ule wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na sasa uchaguzi huu wa 2020 ni wa 6!, huko nyuma haijapata kutokea, hii ndio kwa mara ya kwanza, sekta binafsi nayo inatoa msimamo wa kisasa, na kuzungumza kwa kauli moja unanimously kuunga mkono mgombea mmoja wa chama kimoja tuu cha siasa!,
kwasababu hizo taasisi, sio taasisi za kisiasa na zinategemewa wanachama wake wako huru kujinga na vyama vyovyote vya siasa na wako huru kuchagua viongozi wao wowote wanaowapenda kutoka vyama vyovyote, hivyo kama sasa wameamua kwa kauli moj, kutangaza hadharani kumchagua mgombea mmoja, JPM na kuichagua CCM, huu sasa ni uamuzi wa kisiasa, then there is no way Tundu Lissu anaweza kupata kura zozote za maana!.

Hii ya TPSF, ni ukiondoa watumishi wa serikali ambao tunajua watamchagua nani, then TPSF encompasses
1. Wafanyakazi wengine wote wako chini sekta binafsi nchini chini ya TPSF, wakiwemo
2. Wafanyabiashara wote nchini wa biashara zote, wako chini ya TCCIA wameahidi kura kwa JPM na CCM.
3. Wafanyabiashara wote wanawake chini ya TWCC wameahidi kura kwa CCM
4 Wenye viwanda wote chini ya CTI, wameahidi kura kwa CCM
5. Wakulima wote Tanzania chini ya TFA, wameahidi kura kwa CCM
6. Wenye mabenki wote chini ya TBA nao wameahidi kuwashawishi accounts holders wao wote wampigie JPM na CCM
7. Makampuni yote ya simu kuwashawishi subscribers wao wote kumpigia JPM na CCM.
8. Wafanyabiashara ndogondogo wote, wasiosajiliwa, wamachinga, mama lishe, wenye bodaboda wote, madereva, makundi ya wanawake, vijana na wenye ulemavu wote wameahidi kura kwa JPM na CCM, hivyo kama hii ni kweli, then its as if rais Magufuli na CCM anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote toka makundi yote ya jamii, swali la kujiuliza ni kama ndio hivyo, nani atachagua upinzani?.

Kwa vile kabla sijajiunga siasa, nilistaafu kwanza uandishi wa habari, hivyo sikuweza kufuatilia ni lini hizi taasisi zote chini ya TPSF zilifanya AGM zake na kupitisha hizo resolutions kumsupport JPM na CCM, na kwa vile AGM zote ni open conferences zinatakiwa kutangazwa, kama kuna yoyote aliyesikia matangazo ya AGM, za taaisi hizo zikiitishwa, atujuze, unless AGM ziliitishwa na media zilialikwa ila kutokana na media kuwa too busy na politics, resolutions za AGM hizi hazikutangaza hivyo hizo resolutions zote halali na ziko valid ila mimi ndio nikazisikia hiyo jana, lakini ikitokea, hakuna vikao vyovyote rasmi vilivyoitishwa na taasisi hizo, kupitisha hizo political resolution kwenye taasisi zao, na badala yake ni vingozi wa Taasisi hizo, wamefikia maamuzi ya kuwaamulia wanachama wao wamchague nani na chama gani na kuyatangaza maamuzi hayo hadharani kuwa wote wameamua kwa kauli moja, bila AGM, bila, bila kushirikishwa, then this leaves much to be desired!, na kwavile kura ni siri, then lets wait for JPM na CCM landslide victory, or surprises iwapo hawakushirikishwa!.

Sasa kwa vile kura zote zimeahidiwa kwa JPM na CCM only, lakini kwenye mikutano ya Tundu Lissu pia inajaza watu wenye too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda, bila kuonyesha atashinda kwa sera zipi, hoja zipi na kura zipi toka makundi gani ya kijamii, lakini kwavile na kiukweli kabisa kwa kilichomtokea Tundu Lissu kushambuliwa na risasi 16 za moto na akapona na sasa ni mgombea, huu ni muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu na usikute ule umati wa watu katika mikutano ya Tundu Lissu ni umati wa kushuhudia tuu muujiza wa kupona kwa Tundu Lissu na sio umati wa wapiga kura, na akitokea kupata kura, then Tundu Lissu atapata kura chache za sympathetic na compassionate votes kwa maswahibu yaliyomfika.

Hivyo nashauri for the sake of national unity, kwasababu rais Magufuli anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote, haku kuna watu wana too great expectations na Tundu Lissu, mimi kama Mtanzania Mzalendo, katika wiki hii ya mwisho ya kampeni za uchaguzi, namuomba mgombea wetu na Mwenyekiti wa chama changu CCM, JPM, atangaze na ku ahidi wafuasi wa Tundu Lissu kuwa baada ya uchaguzi, atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Bunge la JMT katika zile nafasi zake kumi ya uteuzi, ili Tundu Lissu angalau aweze kurejea Bungeni kuendelea kulichangamsha Bunge letu lijalo and at the same time, kuwafariji wale minority wote waliopanga kumpigia kura za sympathetic votes na compassionate votes, na hivyo to heal wafuasi na washabiki wake?.

Jee wenzangu mnalionaje hili?. si ni jambo jema?. Tena kama hoja za TPSF ni kweli, hii maana yake, Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la CCM dominated house, hivyo sio tuu namuombea uteuzi Tundu Lissu pekee, bali namumba JPM pia amteue, hata Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe kuwa wabunge, amteue Benard Membe kuwa balozi, Maalim Seif yeye hana wasiwasi ni atakuwa Makamo kule Zanzibar hivyo wafuasi wake watatulia!.

Upendo, Amani, Utulivu na National Unity ni components muhimu sana kumsaidia Magufuli kwenye mitano tena yake.

Nawatakia Jumatatu njema.

Paskali
 
Tundu Lissu akishindwa uchaguzi, siungi mkono ushauri wako wa kupewa Ubunge wa viti maalumu, apana apana, hiyo sio Hadhi yake, Lissue aenedelee kuwa THE CHECK AND BALANCE YA MAGUFULI , kwa hivyo wana CHADEMA watumie akili na kupunguza Jazba, na wapime situtation na wafanye maamuzi chanya.

Kama kumuomba MBOWE astaafy uu Mwenye KIti wa Chadema na LISSU ateuliwe mwenye kiti. Position hii itampa 5 years ya kujijemga vizuri kisiasa, kukijenga upya Chadema na kukifanya chama cha kitaifa kwelikweli, na kuondoa dhana ya sasa kuwa ni chama cha wazawa wa kilimanjaro.
Jambo muhimu kuliko yote ni katiba mpya ya Warioba. Wapo watu wapenda haki,usawa na maendeleo ya taifa hili lakini wapo nje ya mfumo wa sasa wa vyama vya siasa.
Lakini hivi vyama si vyote viko kwa maslahi mapana ya taifa hili,wakati mwingine vipo compromised,na vingine ni mali ya watu binafsi.
Tanzania ni nchi ya wananchi wote isiwe lazima kupitia chama cha siasa kugombea nafasi za uchanguzi mkuu na serikali za mitaa.
Tukiweza kumpa mwananchi uhuru kuchagua mtu anaemtaka,haitachukuwa muda kuona hivyo vyama vikijirekebisha ili kukidhi matakwa ya wananchi.
 
Kosa kubwa sana kumpa Ubunge Tundu Lissu au hata Zitto Kabwe
yaani hapo ni kuua upinzani hapa Nchini
Mtawala yoyote hapa Duniani asipokuwa na mpinzani atajisahau na kujimilikisha mpaka Binadamu
Trump na yule wa Russia wana wapinzani wakali na hawalali
 
Pamoja na kutambua ushindi wa JPM upo wazi kabisa kutokana na ugeugeu na unafikir wa upinzani Ila bandiko lako limeegemea ktk kujipa promo na kujipendekeza zaidi.

Paskal tambua JPM anasifika kwa makubwa alofanya ndan ya muda mgupi lakini asifiwi kwa masifa ya mapambio ili mpate vyeo wengine.

Hebu safisha kalamu yako,Kuna mengi JPM kafanya unaweza kuyachambua kwa uweledi na kulinganisha awamu zilopita,Mnashindwa na Masanja mkandamizaji anayeonesha kinaga ubaga nchi ilivyojengwa!

Nataka=njaa isikuharibu kabisa akili, JPM haitaji sifa za kujipendekeza kwa maslahi ya mtu,yule Ni mzalendo na muumini wa uzalendo asili kabisaaa,na Sisi huku mtaani tunamkubali kinomaaaaaaaaaaaaa


Nyie ndio mmeharibu JF na kuonekana ina watu wenye akili ndogo kama wewe

Kwanza wewe ni far inferior kwa Mayala, na ndio maana unafikiri anawaza cheo

Inferiority ni pamoja na kuwa insecure, hauwazi hoja unawaza mtoa hoja! Mkapa alisema wapumbavu

Pia nina uhakika, haufanyi kwa Mayala tu, hata kwa wengine kazini kwako...una roho ya kuhukumu

Kwa post yako hii kila mmoja anapaswa kuonekana anajipendekeza.Mayala ni jina lake kamili, ni mwana CCM yuko wazi kabisa na siku anaenda kuchukua kadi alisema

Mayala ana firms zake na uwezo wake, kama kwa akili zako unawaza watu wanaokuwa upande wa CCM wote wanataka vyeo, uko wrong sana.Bakhresa, Mohamed Dewj wanataka nini CCM? Hao wakuu wa wilaya, mikoa unajua wanalipwa sh ngapi??

Tackle the topic bana, msiharibu jukwaa

Ukiona tu nimemletea mama yako soda ya cocacola na chips mayai...utawaza nataka nini??

Grow up
 
P.
Haya ulyoyaandika yametoka kwenye ubongo wako? Kama kweli Basi Kuna shida kubwa katika huo ubongo. Mtafute therapist akusaidie maana una matarajio yasiyofikka Kama ya kupata uteuzi na hili la kujiita mzalendo huku ukijua wewe ni mzalendo uchwara unayewazia tumbo lako tu!
 
Jinsi sekta binafsi ilivyoyumba ....mhh unafiki tuu unaendelea.
Kura ni kwa upinzani na ni siri yetu. Ukijiweka wazi kuwa kura yako ni upinzani, ccm na dola yake vitakuadhibu.
Na hilo ndilo jambo letu tarehe 28/10/2020
 
Kutoka mwandishi nguli,mpaka mwandishi kunguni.unazeeka vibaya kaka.we ni kada wa chama huna tena Uwezo was unalizi siasa kwa mzani.

Ukweli huna jipya kwa sasa.mfumo umekufumua.magu amewachezesha sphere waandishi.
Namshukuru mchina kwa kuleta simu kubwa.
Mwaka wa 5 sina mda in gazeti wala TV.ila hakuna habari inayonipita.

Ingeonekana wa maana kama ungekemea kwanza,vyombo vya habari kuacha kusifu na kumwabudu magu.TL amewakikishia watz kuwa vyombo vya habari kwa sasa sio ishu.na in kweli.
Polen makada felia.
Mr Amigo
 
Lissu hata kuteuliwa ubunge hafai, nani amteue wakati kutwa kucha ni kubeza kila kitu. Atateuliwa na kina Robert Amsterdam na Mbowe wa saccos. Watanzania wazalendo, tunakwenda na JPM.
Kwenye mabandiko yalopoa kama hili la mayalla mnajitokeza haraka sana,. Lakini mabandiko ya moto hamuonekani, mkijitahidi sana unagusa tu kidogo mbio.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as a consolation prize na kuwapooza sympathisers wake watakao mpigia Tundu Lissu, compassionate and sympathetic votes?.

Hoja hii imeanzaje?
Saa hizi ni usiku wa manane, usingizi umekata ghafla nikaanza kuwaza uchaguzi na haswa kitu cha ajabu sana nilichokisikia leo kwenye mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF, pale katika ukumbi Kimataifa wa mikutano, JNICC, hivyo nikaamua kuendelea kuandika zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa".

Declaration of Interest
Naomba kuanza na declaration of Interest
Mimi Pascal Mayalla, japo ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, mimi sio kada fagilia, kada shangilia au kada piga makofi, mimi ni kada Mzalendo ambaye ninatanguliza mbele maslahi ya taifa. Hivyo ukiamua usinisome au usizingatie hoja zangu kwa vile sasa na mimi ni kada wa CCM, rukhsa kuishia hapa, nisije kukukerehesha nikakuharibia bure siku yako ya leo, na kwavile leo ni Jumatatu, ukiianza vibaya, utakuwa umeharibu wiki yako yote.

Kwa vile mimi ni muumini wa ukweli, na uwazi na ninaamini ukweli na uwazi ndio utaliponya taifa, sitaacha kuusema ukweli bayana ili kulisaidia kuliponya taifa langu, Pasco Mayalla licha ya sasa kuwa ni kada wa CCM, lakini Pasco bado ni yule yule juzi jana na leo, na hoja zake ni zile zile za kwa Maslahi mapana ya taifa.

Mkutano wa TPSF
Jana nimehudhuria mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF ambayo ni Taasisi Apex, yaani Taasisi Mwamvuli, an Umbrella Organisation, chini ya mwamvuli huo wa TPSF, kuna taasisi nyingine nyingi zinazo deal na sekta binafsi. Taasisi nyingine zote zilizo chini yake, jana zimemshukuru rais Magufuli kwa mambo makubwa, mazuri na ya kuonekanika aliyo yapanga, akayasema na kuyatenda kwa kuyafanya na kuyatekeleza, hivyo, wakuu wa taasisi zilizo chini ya mwamvuli wa TPSF, mmoja baada ya mwingine, jana walipanda jukaani na kunadi mazuri ya Magufuli kwenye tasisi zao, na kuahidi kuwa wametumwa na wanachama wao, kumpigia kura zote rais Magufuli wamemuhakikishia kura zote wanachama wote walio chini ya mwamvuli wa TPSF zitakwenda kwa JPM na wagombea wa CCM pekee, kwasababu aliahidi kwa kusema na sasa ametenda.

Hivyo kama ni kweli, hao wanachama wa Taasisi zote zilizo chini ya TPSF wameamua unanimously kumpigia kura JPM na CCM, then, kiukweli kabisa, rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, JPM, katika uchaguzi huu, yeye na CCM Itashinda kwa ushindi wa kishindo kikubwa cha ajabu kabisa kuwahi kutokea Tanzania, tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ile 1992!.

Kwasababu nimeshuhudia chaguzi zote 5 za vyama vingi toka ule wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na sasa uchaguzi huu wa 2020 ni wa 6!, huko nyuma haijapata kutokea, hii ndio kwa mara ya kwanza, sekta binafsi nayo inatoa msimamo wa kisasa, na kuzungumza kwa kauli moja unanimously kuunga mkono mgombea mmoja wa chama kimoja tuu cha siasa!,
kwasababu hizo taasisi, sio taasisi za kisiasa na zinategemewa wanachama wake wako huru kujinga na vyama vyovyote vya siasa na wako huru kuchagua viongozi wao wowote wanaowapenda kutoka vyama vyovyote, hivyo kama sasa wameamua kwa kauli moj, kutangaza hadharani kumchagua mgombea mmoja, JPM na kuichagua CCM, huu sasa ni uamuzi wa kisiasa, then there is no way Tundu Lissu anaweza kupata kura zozote za maana!.

Hii ya TPSF, ni ukiondoa watumishi wa serikali ambao tunajua watamchagua nani, then TPSF encompasses
1. Wafanyakazi wengine wote wako chini sekta binafsi nchini chini ya TPSF, wakiwemo
2. Wafanyabiashara wote nchini wa biashara zote, wako chini ya TCCIA wameahidi kura kwa JPM na CCM.
3. Wafanyabiashara wote wanawake chini ya TWCC wameahidi kura kwa CCM
4 Wenye viwanda wote chini ya CTI, wameahidi kura kwa CCM
5. Wakulima wote Tanzania chini ya TFA, wameahidi kura kwa CCM
6. Wenye mabenki wote chini ya TBA nao wameahidi kuwashawishi accounts holders wao wote wampigie JPM na CCM
7. Makampuni yote ya simu kuwashawishi subscribers wao wote kumpigia JPM na CCM.
8. Wafanyabiashara ndogondogo wote, wasiosajiliwa, wamachinga, mama lishe, wenye bodaboda wote, madereva, makundi ya wanawake, vijana na wenye ulemavu wote wameahidi kura kwa JPM na CCM, hivyo kama hii ni kweli, then its as if rais Magufuli na CCM anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote toka makundi yote ya jamii, swali la kujiuliza ni kama ndio hivyo, nani atachagua upinzani?.

Kwa vile kabla sijajiunga siasa, nilistaafu kwanza uandishi wa habari, hivyo sikuweza kufuatilia ni lini hizi taasisi zote chini ya TPSF zilifanya AGM zake na kupitisha hizo resolutions kumsupport JPM na CCM, na kwa vile AGM zote ni open conferences zinatakiwa kutangazwa, kama kuna yoyote aliyesikia matangazo ya AGM, za taaisi hizo zikiitishwa, atujuze, unless AGM ziliitishwa na media zilialikwa ila kutokana na media kuwa too busy na politics, resolutions za AGM hizi hazikutangaza hivyo hizo resolutions zote halali na ziko valid ila mimi ndio nikazisikia hiyo jana, lakini ikitokea, hakuna vikao vyovyote rasmi vilivyoitishwa na taasisi hizo, kupitisha hizo political resolution kwenye taasisi zao, na badala yake ni vingozi wa Taasisi hizo, wamefikia maamuzi ya kuwaamulia wanachama wao wamchague nani na chama gani na kuyatangaza maamuzi hayo hadharani kuwa wote wameamua kwa kauli moja, bila AGM, bila, bila kushirikishwa, then this leaves much to be desired!, na kwavile kura ni siri, then lets wait for JPM na CCM landslide victory, or surprises iwapo hawakushirikishwa!.

Sasa kwa vile kura zote zimeahidiwa kwa JPM na CCM only, lakini kwenye mikutano ya Tundu Lissu pia inajaza watu wenye too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda, bila kuonyesha atashinda kwa sera zipi, hoja zipi na kura zipi toka makundi gani ya kijamii, lakini kwavile na kiukweli kabisa kwa kilichomtokea Tundu Lissu kushambuliwa na risasi 16 za moto na akapona na sasa ni mgombea, huu ni muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu na usikute ule umati wa watu katika mikutano ya Tundu Lissu ni umati wa kushuhudia tuu muujiza wa kupona kwa Tundu Lissu na sio umati wa wapiga kura, na akitokea kupata kura, then Tundu Lissu atapata kura chache za sympathetic na compassionate votes kwa maswahibu yaliyomfika.

Hivyo nashauri for the sake of national unity, kwasababu rais Magufuli anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote, haku kuna watu wana too great expectations na Tundu Lissu, mimi kama Mtanzania Mzalendo, katika wiki hii ya mwisho ya kampeni za uchaguzi, namuomba mgombea wetu na Mwenyekiti wa chama changu CCM, JPM, atangaze na ku ahidi wafuasi wa Tundu Lissu kuwa baada ya uchaguzi, atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Bunge la JMT katika zile nafasi zake kumi ya uteuzi, ili Tundu Lissu angalau aweze kurejea Bungeni kuendelea kulichangamsha Bunge letu lijalo and at the same time, kuwafariji wale minority wote waliopanga kumpigia kura za sympathetic votes na compassionate votes, na hivyo to heal wafuasi na washabiki wake?.

Jee wenzangu mnalionaje hili?. si ni jambo jema?. Tena kama hoja za TPSF ni kweli, hii maana yake, Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la CCM dominated house, hivyo sio tuu namuombea uteuzi Tundu Lissu pekee, bali namumba JPM pia amteue, hata Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe kuwa wabunge, amteue Benard Membe kuwa balozi, Maalim Seif yeye hana wasiwasi ni atakuwa Makamo kule Zanzibar hivyo wafuasi wake watatulia!.

Upendo, Amani, Utulivu na National Unity ni components muhimu sana kumsaidia Magufuli kwenye mitano tena yake.

Nawatakia Jumatatu njema.

Paskali
Wanaccm woòoteeee
Someni Waraka wa Mtume Paulo kwa Wakolosai
Sura ya tatu , aya ya 25

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha sukari yetu tunamwaga ziwa Victoria tu.

CCM walisema hawahitaji kura zetu ili kushinda, hivyo KURA ZOTE kwa Tundu Lisu na CHADEMA.

Hiyo mikutano haitusaidii kwa sasa TSPF ndio nani?!
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as a consolation prize na kuwapooza sympathisers wake watakao mpigia Tundu Lissu, compassionate and sympathetic votes?.

Hoja hii imeanzaje?
Saa hizi ni usiku wa manane, usingizi umekata ghafla nikaanza kuwaza uchaguzi na haswa kitu cha ajabu sana nilichokisikia leo kwenye mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF, pale katika ukumbi Kimataifa wa mikutano, JNICC, hivyo nikaamua kuendelea kuandika zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa".

Declaration of Interest
Naomba kuanza na declaration of Interest
Mimi Pascal Mayalla, japo ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, mimi sio kada fagilia, kada shangilia au kada piga makofi, mimi ni kada Mzalendo ambaye ninatanguliza mbele maslahi ya taifa. Hivyo ukiamua usinisome au usizingatie hoja zangu kwa vile sasa na mimi ni kada wa CCM, rukhsa kuishia hapa, nisije kukukerehesha nikakuharibia bure siku yako ya leo, na kwavile leo ni Jumatatu, ukiianza vibaya, utakuwa umeharibu wiki yako yote.

Kwa vile mimi ni muumini wa ukweli, na uwazi na ninaamini ukweli na uwazi ndio utaliponya taifa, sitaacha kuusema ukweli bayana ili kulisaidia kuliponya taifa langu, Pasco Mayalla licha ya sasa kuwa ni kada wa CCM, lakini Pasco bado ni yule yule juzi jana na leo, na hoja zake ni zile zile za kwa Maslahi mapana ya taifa.

Mkutano wa TPSF
Jana nimehudhuria mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF ambayo ni Taasisi Apex, yaani Taasisi Mwamvuli, an Umbrella Organisation, chini ya mwamvuli huo wa TPSF, kuna taasisi nyingine nyingi zinazo deal na sekta binafsi. Taasisi nyingine zote zilizo chini yake, jana zimemshukuru rais Magufuli kwa mambo makubwa, mazuri na ya kuonekanika aliyo yapanga, akayasema na kuyatenda kwa kuyafanya na kuyatekeleza, hivyo, wakuu wa taasisi zilizo chini ya mwamvuli wa TPSF, mmoja baada ya mwingine, jana walipanda jukaani na kunadi mazuri ya Magufuli kwenye tasisi zao, na kuahidi kuwa wametumwa na wanachama wao, kumpigia kura zote rais Magufuli wamemuhakikishia kura zote wanachama wote walio chini ya mwamvuli wa TPSF zitakwenda kwa JPM na wagombea wa CCM pekee, kwasababu aliahidi kwa kusema na sasa ametenda.

Hivyo kama ni kweli, hao wanachama wa Taasisi zote zilizo chini ya TPSF wameamua unanimously kumpigia kura JPM na CCM, then, kiukweli kabisa, rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, JPM, katika uchaguzi huu, yeye na CCM Itashinda kwa ushindi wa kishindo kikubwa cha ajabu kabisa kuwahi kutokea Tanzania, tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ile 1992!.

Kwasababu nimeshuhudia chaguzi zote 5 za vyama vingi toka ule wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na sasa uchaguzi huu wa 2020 ni wa 6!, huko nyuma haijapata kutokea, hii ndio kwa mara ya kwanza, sekta binafsi nayo inatoa msimamo wa kisasa, na kuzungumza kwa kauli moja unanimously kuunga mkono mgombea mmoja wa chama kimoja tuu cha siasa!,
kwasababu hizo taasisi, sio taasisi za kisiasa na zinategemewa wanachama wake wako huru kujinga na vyama vyovyote vya siasa na wako huru kuchagua viongozi wao wowote wanaowapenda kutoka vyama vyovyote, hivyo kama sasa wameamua kwa kauli moj, kutangaza hadharani kumchagua mgombea mmoja, JPM na kuichagua CCM, huu sasa ni uamuzi wa kisiasa, then there is no way Tundu Lissu anaweza kupata kura zozote za maana!.

Hii ya TPSF, ni ukiondoa watumishi wa serikali ambao tunajua watamchagua nani, then TPSF encompasses
1. Wafanyakazi wengine wote wako chini sekta binafsi nchini chini ya TPSF, wakiwemo
2. Wafanyabiashara wote nchini wa biashara zote, wako chini ya TCCIA wameahidi kura kwa JPM na CCM.
3. Wafanyabiashara wote wanawake chini ya TWCC wameahidi kura kwa CCM
4 Wenye viwanda wote chini ya CTI, wameahidi kura kwa CCM
5. Wakulima wote Tanzania chini ya TFA, wameahidi kura kwa CCM
6. Wenye mabenki wote chini ya TBA nao wameahidi kuwashawishi accounts holders wao wote wampigie JPM na CCM
7. Makampuni yote ya simu kuwashawishi subscribers wao wote kumpigia JPM na CCM.
8. Wafanyabiashara ndogondogo wote, wasiosajiliwa, wamachinga, mama lishe, wenye bodaboda wote, madereva, makundi ya wanawake, vijana na wenye ulemavu wote wameahidi kura kwa JPM na CCM, hivyo kama hii ni kweli, then its as if rais Magufuli na CCM anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote toka makundi yote ya jamii, swali la kujiuliza ni kama ndio hivyo, nani atachagua upinzani?.

Kwa vile kabla sijajiunga siasa, nilistaafu kwanza uandishi wa habari, hivyo sikuweza kufuatilia ni lini hizi taasisi zote chini ya TPSF zilifanya AGM zake na kupitisha hizo resolutions kumsupport JPM na CCM, na kwa vile AGM zote ni open conferences zinatakiwa kutangazwa, kama kuna yoyote aliyesikia matangazo ya AGM, za taaisi hizo zikiitishwa, atujuze, unless AGM ziliitishwa na media zilialikwa ila kutokana na media kuwa too busy na politics, resolutions za AGM hizi hazikutangaza hivyo hizo resolutions zote halali na ziko valid ila mimi ndio nikazisikia hiyo jana, lakini ikitokea, hakuna vikao vyovyote rasmi vilivyoitishwa na taasisi hizo, kupitisha hizo political resolution kwenye taasisi zao, na badala yake ni vingozi wa Taasisi hizo, wamefikia maamuzi ya kuwaamulia wanachama wao wamchague nani na chama gani na kuyatangaza maamuzi hayo hadharani kuwa wote wameamua kwa kauli moja, bila AGM, bila, bila kushirikishwa, then this leaves much to be desired!, na kwavile kura ni siri, then lets wait for JPM na CCM landslide victory, or surprises iwapo hawakushirikishwa!.

Sasa kwa vile kura zote zimeahidiwa kwa JPM na CCM only, lakini kwenye mikutano ya Tundu Lissu pia inajaza watu wenye too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda, bila kuonyesha atashinda kwa sera zipi, hoja zipi na kura zipi toka makundi gani ya kijamii, lakini kwavile na kiukweli kabisa kwa kilichomtokea Tundu Lissu kushambuliwa na risasi 16 za moto na akapona na sasa ni mgombea, huu ni muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu na usikute ule umati wa watu katika mikutano ya Tundu Lissu ni umati wa kushuhudia tuu muujiza wa kupona kwa Tundu Lissu na sio umati wa wapiga kura, na akitokea kupata kura, then Tundu Lissu atapata kura chache za sympathetic na compassionate votes kwa maswahibu yaliyomfika.

Hivyo nashauri for the sake of national unity, kwasababu rais Magufuli anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote, haku kuna watu wana too great expectations na Tundu Lissu, mimi kama Mtanzania Mzalendo, katika wiki hii ya mwisho ya kampeni za uchaguzi, namuomba mgombea wetu na Mwenyekiti wa chama changu CCM, JPM, atangaze na ku ahidi wafuasi wa Tundu Lissu kuwa baada ya uchaguzi, atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Bunge la JMT katika zile nafasi zake kumi ya uteuzi, ili Tundu Lissu angalau aweze kurejea Bungeni kuendelea kulichangamsha Bunge letu lijalo and at the same time, kuwafariji wale minority wote waliopanga kumpigia kura za sympathetic votes na compassionate votes, na hivyo to heal wafuasi na washabiki wake?.

Jee wenzangu mnalionaje hili?. si ni jambo jema?. Tena kama hoja za TPSF ni kweli, hii maana yake, Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la CCM dominated house, hivyo sio tuu namuombea uteuzi Tundu Lissu pekee, bali namumba JPM pia amteue, hata Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe kuwa wabunge, amteue Benard Membe kuwa balozi, Maalim Seif yeye hana wasiwasi ni atakuwa Makamo kule Zanzibar hivyo wafuasi wake watatulia!.

Upendo, Amani, Utulivu na National Unity ni components muhimu sana kumsaidia Magufuli kwenye mitano tena yake.

Nawatakia Jumatatu njema.

Paskali
Huo ubunge wa kuteuliwa upewe wewe tu
 
Lissu hata kuteuliwa ubunge hafai, nani amteue wakati kutwa kucha ni kubeza kila kitu. Atateuliwa na kina Robert Amsterdam na Mbowe wa saccos. Watanzania wazalendo, tunakwenda na JPM.
Unaweza jikuta mzalendo ni wewe na baraza la mawaziri tu.
 
Back
Top Bottom