Kama tu French Revolution ya 1789 ilitokana na Bei ya Mkate kupanda hata Kwingineko Tozo, Mgawo wa Maji na Umeme unaweza Kuivuruga nchi

Kama tu French Revolution ya 1789 ilitokana na Bei ya Mkate kupanda hata Kwingineko Tozo, Mgawo wa Maji na Umeme unaweza Kuivuruga nchi

Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada zangu zote ninazozianzisha hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
 
Endeleeni tu kufanya Masihara na mkiwa na muda naombeni jikumbusheni na History nzuri na tamu (ambayo GENTAMYCINE hupenda Kuisoma kila wakati) ya '1789 French Revolution' ya ili muone Bomu ambalo mnalitega kutokana na Ujuha wenu na ambalo haliko mbali Kulipuka.
Endeleeni tu kufanya Masihara na mkiwa na muda naombeni jikumbusheni na History nzuri na tamu (ambayo GENTAMYCINE hupenda Kuisoma kila wakati) ya '1789 French Revolution' ya ili muone Bomu ambalo mnalitega kutokana na Ujuha wenu na ambalo haliko mbali Kulipuka.
Kumbe Gentamycine ni waitu kule kwa shujaa Mjaliwa! MGAWO.
mgao.
 
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada zangu zote ninazozianzisha hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada au Posts zangu zote ninazozianzisha / ninazojibu hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
 
Endeleeni tu kufanya Masihara na mkiwa na muda naombeni jikumbusheni na History nzuri na tamu (ambayo GENTAMYCINE hupenda Kuisoma kila wakati) ya '1789 French Revolution' ya ili muone Bomu ambalo mnalitega kutokana na Ujuha wenu na ambalo haliko mbali Kulipuka.
Yaani hapa tz na viongozi wanatutukana kabisaa wananchi eti wasiotaka tozo wahamie Burundi! Sasa revolution ipo kweli?
 
Watawala wa nchi wanajidanganya wapo salama kumbe hawajui hata walinzi wao wamechoka, siku inakuja na siku imekaribia.
 
Back
Top Bottom