Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 848
- 1,604
Naunga mkono hoja hali huku mitaani si hali hakuna umeme wala maji toka aondoke bwana yule hapo ongeza bei za bidhaa kupanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?Pumba
Sisi tunakudharau tu.Mimi nawa enjoy tuu
😂😂 wewe na Nani? Sukuma gang wenzako au?Sisi tunakudharau tu.
Kumbe Gentamycine ni waitu kule kwa shujaa Mjaliwa! MGAWO.Endeleeni tu kufanya Masihara na mkiwa na muda naombeni jikumbusheni na History nzuri na tamu (ambayo GENTAMYCINE hupenda Kuisoma kila wakati) ya '1789 French Revolution' ya ili muone Bomu ambalo mnalitega kutokana na Ujuha wenu na ambalo haliko mbali Kulipuka.
Endeleeni tu kufanya Masihara na mkiwa na muda naombeni jikumbusheni na History nzuri na tamu (ambayo GENTAMYCINE hupenda Kuisoma kila wakati) ya '1789 French Revolution' ya ili muone Bomu ambalo mnalitega kutokana na Ujuha wenu na ambalo haliko mbali Kulipuka.
🤣🤣🤣🤣🤣Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?
Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada zangu zote ninazozianzisha hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?🤣🤣🤣🤣🤣
Hata aliyekuleta duniani nae ni Kichaa vile vile.😂😂 wewe na Nani? Sukuma gang wenzako au?
Nitaendelea kuwaonyesha mlivyo wa.hovyo na yule kichaa wenu..
Video nyingine ya ufisadi na Upigaji wake hii hapa 👇
Yaani hapa tz na viongozi wanatutukana kabisaa wananchi eti wasiotaka tozo wahamie Burundi! Sasa revolution ipo kweli?Endeleeni tu kufanya Masihara na mkiwa na muda naombeni jikumbusheni na History nzuri na tamu (ambayo GENTAMYCINE hupenda Kuisoma kila wakati) ya '1789 French Revolution' ya ili muone Bomu ambalo mnalitega kutokana na Ujuha wenu na ambalo haliko mbali Kulipuka.