Kama tu French Revolution ya 1789 ilitokana na Bei ya Mkate kupanda hata Kwingineko Tozo, Mgawo wa Maji na Umeme unaweza Kuivuruga nchi

Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada zangu zote ninazozianzisha hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
 
Sisi tunakudharau tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe na Nani? Sukuma gang wenzako au?

Nitaendelea kuwaonyesha mlivyo wa.hovyo na yule kichaa wenu..

Video nyingine ya ufisadi na Upigaji wake hii hapa πŸ‘‡
 

Attachments

  • 2797108-086ae8ddbbc48e361db7461365ff0fb5.mp4
    41.4 MB
Kumbe Gentamycine ni waitu kule kwa shujaa Mjaliwa! MGAWO.
mgao.
 
🀣🀣🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada au Posts zangu zote ninazozianzisha / ninazojibu hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe na Nani? Sukuma gang wenzako au?

Nitaendelea kuwaonyesha mlivyo wa.hovyo na yule kichaa wenu..

Video nyingine ya ufisadi na Upigaji wake hii hapa πŸ‘‡
Hata aliyekuleta duniani nae ni Kichaa vile vile.
 
Yaani hapa tz na viongozi wanatutukana kabisaa wananchi eti wasiotaka tozo wahamie Burundi! Sasa revolution ipo kweli?
 
Watawala wa nchi wanajidanganya wapo salama kumbe hawajui hata walinzi wao wamechoka, siku inakuja na siku imekaribia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…