Kama tu Injinia Hersi wa GSM na Yanga SC yake anaonyesha 'Udhaifu' huu kwanini Yanga SC isiwe na Matokeo mabaya na ya hovyo hovyo?

Kama tu Injinia Hersi wa GSM na Yanga SC yake anaonyesha 'Udhaifu' huu kwanini Yanga SC isiwe na Matokeo mabaya na ya hovyo hovyo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yupo Studioni sasa EFM kwenda ' Kuzurula ' na ' Kuwadanganya ' wana Yanga SC na ameulizwa Swali dogo lenye Kuhitaji jibu fupi tu na Mtangazaji Tunu Hassan Shemkome na Majibu yake ( Injinia Hersi Said ) yakawa hivi ( haya ) ....

Swali Mtangazaji Tunu...

Je, bado Injinia Hersi anadhani Yanga SC inaenda kuwa Bingwa wa VPL kama alivyosema na Kuwaaminisha wana Yanga
?

Jibu la Injinia Hersi wa GSM....

Yanga SC imetoka mbali sana ilikuwa na Njaa na uwezo wa Kipesa ulikuwa ni mdogo mno. Sasa hivi Yanga SC kuna Heshima na Wachezaji wengi wanaitwa Timu za Taifa kama Mukoko, Yacouba na Mwamnyeto. GSM tumeweza kuwa na Msaada mkubwa Yanga SC hadi kuwa ni Timu yenye Jezi nzuri kuliko Timu zote za VPL hapa nchini. GSM tunaendelea kuibadili Yanga SC hasa Kimfumo na kuwa na Idara mbalimbali ili kuleta Ufanisi wa Kiutawala na Kimasoko
.

Asanteni sana EFM kwa kutuletea 'Mpuuzi' na 'Msanii' huyo hapo Studioni kwenu leo.

Na GENTAMYCINE nawatakia kila Ia kheti wale Wote mnaoendelea kusikia ' Ngonjera ' za Injinia Hersi Said wa GSM na Yanga SC.

Mwisho Wewe Mtangazaji wa Kipindi hicho cba Michezo Tunu Hassan Shemkome umeonyesha ' how unprofessional you're ' kwa Kukubali ' Source ' wako huyo Injinia Hersi Said ' akumeze ' Kimaongezi huku ukishindwa ' Kumbana ' ajibu Kwanza Swali la Msingi ulilomuuliza awali na sasa kumuacba ' akibwabwaja ' tu hapo Studioni.

Umeonyesha ' Udhaifu ' mkubwa kama Mtangazaji na Mwandishi wa Habari. Ndiyo maana hivi sasa Fani nzima ya Uandishi wa Habari nchini ' inadharaulika ' na Wewe ( Tunu Hassan Shemkome ) umeongeza ' Kudharauliwa ' kwa Tasnia hiyo nzima.
 
Umeongea ukweli naomba hili nifanye nijuavyo limfikie
Lifikishe upesi sana kwa Boss wao Dawati la Michezo hapo EFM Ibrahim Masoud ' Maestro ' na huyo Msaidizi wake Tunu Hassan Shemkome na uwaambie ' wanaiabisha ' sana Tasnia kwa ' Upuuzi ' wanaoufanya ( unaofanyika ) hapo wakiwa na huyo Injinia Hersi Said wa GSM na Yanga SC.

Tena waambie kuwa GENTAMYCINE nawataka waache ' Unafiki ' wao na Kuogopa Kumuuliza ' very Critical Questions ' huyo Injinia Hersi Said ili asichukie na akiondoka hapo Studioni asiwape Pesa ( Bahasha ) ambazo ndizo zinawaharibu sana Waandishi wa Habari wengi wa Tanzania.

Watangazaji wa EFM Sports Headquarters leo wanaacha Kumuuliza Injinia Hersi Said Maswali ya maana wao Wote ni Kuchekacheka tu huku wakionekana wazi kabisa kuwa wanajipendekeza Kwake ( Injinia Hersi Said ) na wanamuonea Aibu.

Tena anayeharibu zaidi ni Mchambuzi ' Mnafiki ' kabisa Jemedari Said ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia ) ambapo kila anachosema Hersi Yeye anaitikia na ' Kusapoti ' tu hata kama ni cha Uwongo.

Jemedari Said acha ' Unafiki ' wako najua unaogopa na unajipendekeza kwa Injinia Hersi Said kwakuwa unataka Yanga SC isiachane na Mchezaji wako unayemsimamia Kipa Metacha Mnata hivyo unahisi kama ' ukimbana ' sana kwa Maswali Injinia Hersi Said anaweza ' akakuchukia ' na Yanga SC kupitia GSM kuamua kuachana na Kipa Mnata ambaye sasa si tu haaminiki bali hatakiwi pia Yanga SC.

Hatuna ' Competent na Critical Journalists ' kwa sasa nchini Tanzania na Tasnia hii ' ikidharaulika ' na Wanajamii ni sawa sawa kabisa.
 
Lifikishe upesi sana kwa Boss wao Dawati la Michezo hapo EFM Ibrahim Masoud ' Maestro ' na huyo Msaidizi wake Tunu Hassan Shemkome na uwaambie ' wanaiabisha ' sana Tasnia kwa ' Upuuzi ' wanaoufanya ( unaofanyika ) hapo wakiwa na huyo Injinia Hersi Said wa GSM na Yanga SC.

Tena waambie kuwa GENTAMYCINE nawataka waache ' Unafiki ' wao na Kuogopa Kumuuliza ' very Critical Questions ' huyo Injinia Hersi Said ili asichukie na akiondoka hapo Studioni asiwape Pesa ( Bahasha ) ambazo ndizo zinawaharibu sana Waandishi wa Habari wengi wa Tanzania.

Watangazaji wa EFM Sports Headquarters leo wanaacha Kumuuliza Injinia Hersi Said Maswali ya maana wao Wote ni Kuchekacheka tu huku wakionekana wazi kabisa kuwa wanajipendekeza Kwake ( Injinia Hersi Said ) na wanamuonea Aibu.

Tena anayeharibu zaidi ni Mchambuzi ' Mnafiki ' kabisa Jemedari Said ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia ) ambapo kila anachosema Hersi Yeye anaitikia na ' Kusapoti ' tu hata kama ni cha Uwongo.

Jemedari Said acha ' Unafiki ' wako najua unaogopa na unajipendekeza kwa Injinia Hersi Said kwakuwa unataka Yanga SC isiachane na Mchezaji wako unayemsimamia Kipa Metacha Mnata hivyo unahisi kama ' ukimbana ' sana kwa Maswali Injinia Hersi Said anaweza ' akakuchukia ' na Yanga SC kupitia GSM kuamua kuachana na Kipa Mnata ambaye sasa si tu haaminiki bali hatakiwi pia Yanga SC.

Hatuna ' Competent na Critical Journalists ' kwa sasa nchini Tanzania na Tasnia hii ' ikidharaulika ' na Wanajamii ni sawa sawa kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeshafikisha huo 'Ujumbe' wangu au?
hivi genta kwanini watangazaji wengi wa redio wanakua na upopoma wa kuibeba sana utopolo na kuisagia kunguni chama la wana..au kwakua ndo zile hulka za mtanzania za U-KAA
 
Huyu alifikiri soka ni Modo zake zilizochanika kwenye magoti
FB_IMG_16227960098865245.jpg
 
Swali amelijibu vizuri sana,amelijibu kisomi, saying NO without saying NO. Ameona ushindi hautopatikana ila kuliko kukiri huo udhaifu basi unaelezea mazuri yako ya kuendelea kukupa sifa mbele ya mashabiki wako
 
Injinia ulitaka ajibu kama alivyo ulizwa mbona hapa umejibu tofaut na ulivyo ulizwa acha mihemko na kujidai unajua kila kitu na mambo yanga hayakuhusu
A Pig like you can't waste my time on JF.
 
Injinia nn muhun tu usikute katembeza bahasha ya kaki kwa watangazaj wote hapo ili awameze

Media za bongo n Zaid uzijuavyo n AZAM MEDIA PEKEE wanaosaimamia weled wa kazi
Na hilo ndilo amelifanya Mkuu. Hukuona ( Hukusikia ) Mchambuzi ' Mnafiki ' na mwana Yanga SC lia lia Jemedari Said alivyokuwa kila mara tu akiunga mkono ' Pumba ' zote za Injinia Hersi Said huku akichekacheka hovyo tu utadhani Mwanamke mwenye ' Nyege ' na anataka ' Kukazwa ' kisawasawa?
 
Swali amelijibu vizuri sana,amelijibu kisomi, saying NO without saying NO. Ameona ushindi hautopatikana ila kuliko kukiri huo udhaifu basi unaelezea mazuri yako ya kuendelea kukupa sifa mbele ya mashabiki wako
Kwahiyo unamsapoti ' Dunce ' Mwenzio?
 
Niwe mkweli, hao EFM nimeacha kuwasikiliza siku nyingi baada ya kuona wana ajenda ya kuiangusha Simba SC kwa lazima, wanasahau huwezi kuiangusha Simba SC uipandishe Yanga kwa mafanikio gani waliyonayo, hizo nahasha wanazopewa zimefanya wanaojielewa wote tukihame hicho kipindi chao, watz sio wajinga kama wanavyojidanganya.
 
Back
Top Bottom