Kama Tume ya Mipango ni injini ya mwelekeo wa Nchi, kuna link ipi kati ya chuo cha Mipango Dodoma na Tume hiyo? We need rethinking kuhusu Chuo hiki?

Kama Tume ya Mipango ni injini ya mwelekeo wa Nchi, kuna link ipi kati ya chuo cha Mipango Dodoma na Tume hiyo? We need rethinking kuhusu Chuo hiki?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hiki chuo kama kinachukuliwa poa, sawa na Mzumbe "ilipoondolewa" Katika majukumu yake ya serikali za mitaa. Kwanza, nashauri chuo cha mipango kifanyiwe study, hakuna maendeleo bila mipango.

Tume ya mipango ina link vipi na chuo hiki? Kiwe ni chuo cha elimu ya awali au ya kujiendeleza? Mipango is cross cutting, I thought hii chuo ndio think tank ya taifa, lakini huwaoni wakiwa mstari wa mbele wakifanya critical analysis
 
hakuna uhusiano hicho chuo ni mipango vijijini, tume ni ya mipango ya mjini
 
hakuna uhusiano hicho chuo ni mipango vijijini, tume ni ya mipango ya mjini
We need rethinking, kwamba hawawezi kupanga katika sekta mtambuka? Let the Chuo kaa and think overhead
 
Baada ya Tume kuweka dira ya maendeleo ya taifa, any training inafanywa na chuo hiki kwa CEO na watumishi kuhusu dira hiyo? Kwamba iwe ndio centre of excellence at all levels katika mipango?
 
Back
Top Bottom