Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Waliwekwa sero kwa sababu za kisiasa na wameachiwa kwa sababu hyo hyo ya kisiasa..shida iko wap?tumieni akili mlizopewa kufikir na c kuichosha miguu kwa kutembeza mmbichwa usio na kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
INAFAHAMIKA ni ya kule shetani. ILA samahani ndugu YAONEKANA kama vile ndio KULE kwenu/ujombani kenu?Ndiyo mtuhumiwa wa Ugaidi anaweza kushikiliwa mpaka itakapoaminika hana madhara tena. Usiniulize sheria ya wapi.
MBONA hawakufikia wakati wa kuhukumiwa basi?
Halafu mtoa mada amesahau kwamba kina Babu Seya na Kina Lulu walitolewa kwenye mazangira kama hayo hayo, Dad is comingNdugu mtoa mada watuhumiwa hawa wangekuwa wahalifu kweli wangeshafungwa mpk sasa...pesa ngapi serikali imetumia kuendesha hizi kesi na kesi na haziishi,Mama wa watu mnamlaumu bure vidume vimepita wameshindwa kuwatia hatiani hao watu..
Sheria ipo kwa maslahi ya jamii,Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.
Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.
Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.
Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.
Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.
Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu
Zaidi, soma mijadala hii:
1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar
2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu
3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Asante mkuu..Halafu mtoa mada amesahau kwamba kina Babu Seya na Kina Lulu walitolewa kwenye mazangira kama hayo hayo, Dad is coming
Nakubalina na wewe kuwa kufuta kesi za hao jamaa waliokuwa wakimwagia watu tindikali ni jambo baya sana. Kuna binti mmoja wa kiingereza alimwagiwa tindikali bila kosa lolote, kwa vile tu alikuwa amevaa ambavyo uamsho walikuwa hawataki, jambo ambalo lilikuwa linatishia sekta ya utalii zanzibar. Baada ya kuwaweka ndani, uharifu wa tindikali ukaisha.Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.
Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.
Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.
Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.
Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.
Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu
Zaidi, soma mijadala hii:
1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar
2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu
3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Hapana, hao walitolewa kwa msamaha wa rais kwa mujibu wa sheria, na ilikuwa ni baada baada ya sheria kuwa imechukua mkondo wake dhidi yao na kuonekana kweli walikuwa na hatia. Hawa wameachiwa ili kukwepa sheria kama vile hawana hatia yoyote.Halafu mtoa mada amesahau kwamba kina Babu Seya na Kina Lulu walitolewa kwenye mazangira kama hayo hayo, Dad is coming
Sikuona thread yako hapa wakati wabakaji wanaachiwa,hivyo nawasiwasi wewe ndiyo unatumia kisiasaNi wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.
Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.
Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.
Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.
Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.
Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu
Zaidi, soma mijadala hii:
1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar
2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu
3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Eti "hata Marekani wanafanywa hivyo"Magaidi huwa hayapelekwi mahakamani ni kuwekwa kuzuizini tuuu... hata marekani uko wanafanywa hivyo wanawapeleka gwantamano......
Hawa mashekh walisababisha vifo vya watu, mapadri, masheikh na watalii walipigwa risasi na kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa.
Hawa walitakiwa kutandikwa risasi za vichwa tuuu si kukamatwa,,, dawa ya majambazi na magaidi ni kutandikwa risasi tuuu hakuna namna.....
Hawa magaidi hawato acha ugidi
Dah!Hao watuhumiwa waliwekwa kizuizini kwa dhulma na mama hataki dhulma we kufa na roho mbaya yako je wale walioachiwa kungekuwa na baba yako ungesema maneno haya?
Walikamatwa kwa sababu za kisiasa,wameachiwa kwa sababu za kisiasa.Hapa kutakuwa hakuna tatizo lolote kwa kilichotokeaNi wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.
Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.
Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.
Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.
Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.
Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu
Zaidi, soma mijadala hii:
1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar
2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu
3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar