Kama tumemuacha huru aliyesababisha vifo pale Moshi huyu 'Mfalme' wa Mwanza tunamtesa kwa lipi?.

Kama tumemuacha huru aliyesababisha vifo pale Moshi huyu 'Mfalme' wa Mwanza tunamtesa kwa lipi?.

Kama wewe unaamini hivyo hata Zumaridi, Gwajima na Mwamposya wana haki ya kuamini hivyo wanavyoamini.
Hawa Wana macho wanajua ilipotoka corona .Hizi ni elimu upati darasani.Ni elimu kuhusu ulimwengu usioonekana ambao ndio unaotawala ulimwengu unaonekana. Jpm aliijua Siri hii akasema watu waombe ikawork Tza atukuathirika sana. Hata Mimi sichanji sababu naijua Siri iliyo nyuma ya chanjo.
 
Hizi ni elimu upati darasani.Ni elimu kuhusu ulimwengu usioonekana ambao ndio unaotawala ulimwengu unaonekana
Kama una kitabu chochote kuhusu hivi vitu nitumie
I'm interested in learning this things
 
Corona imetoka kuzimu na sasa haipo ilikuja kwa watu maalumu Ili kujaza pengo la kuzimu baada ya kuzimu kupoteza watu wengi sana ilipopigwa kombora zito likauwa wengi kuzimu.
Shetani akaamua kuleta corona Ili kuvuna kwa mda mchache watu wengi.
Aliyeileta corona duniani ni daktari agent na ..... nchini China taifa linalomuabudu shetani,then ilipofumuka akarejea kuzimu. Kuzimu imejaa washaziba pengo corona haipo.
Duh,
 
Corona imetoka kuzimu na sasa haipo ilikuja kwa watu maalumu Ili kujaza pengo la kuzimu baada ya kuzimu kupoteza watu wengi sana ilipopigwa kombora zito likauwa wengi kuzimu.
Shetani akaamua kuleta corona Ili kuvuna kwa mda mchache watu wengi.
Aliyeileta corona duniani ni daktari agent na ..... nchini China taifa linalomuabudu shetani,then ilipofumuka akarejea kuzimu. Kuzimu imejaa washaziba pengo corona haipo.
Aiseeee [emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
Tusiingilie taaluma za watu kama kweli kaonewa mahakama itaamua.

Siku hizi kila mtu akituhumiwa mnalaumu kwaiyo polisi station zifungwe au.

Ukosa akili huu.
 
Back
Top Bottom