mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 402
- 345
Chama cha mamako.Unataka kuiondoa CCM uiweke chama gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha mamako.Unataka kuiondoa CCM uiweke chama gani?
Ni ngumu sana kuiondoa ccm madarakani kama maaskari (wanajeshi) na wananchi watakuwa hawajaamua kufanya hivyo!Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?
Hiyo hapana. Wakijua una mawazo tofauti na yao hawasiti kuku- KOLIMBA.Unganeni nao ili kuwe na mawazo kinzani humo humo ndani ya chama
Sibishani na vijana waliojifunza siasa kupitia propaganda za mitandaoni.. Ukijua kutafsiri picha na muonekano wake utaelewa vizuri nilichokuandikia. Hii ndio CCM usioijua kijana!Acha uongo na ujinga
Hahahahaa hebu rudia tena ulichosema eti!!Sibishani na vijana waliojifunza siasa kupitia propaganda za mitandaoni.. Ukijua kutafsiri picha na muonekano wake utaelewa vizuri nilichokuandikia. Hii ndio CCM usioijua kijana!
View attachment 1960330
View attachment 1960331
View attachment 1960332