Kama tumeshindwa kuiondoa CCM kwa kura sasa tufanyeje?

Ni ngumu sana kuiondoa ccm madarakani kama maaskari (wanajeshi) na wananchi watakuwa hawajaamua kufanya hivyo!
Kumbuka kwamba ccm Wana vyombo vya dola hasa polisi na TISS. Na wanatumia ugumu wa ajira kuwahonga ajira vijana waliokwama kimaisha ili tu wakati wakiwataka waweze kuwatumia wapendavyo!
 
Acha uongo na ujinga
Sibishani na vijana waliojifunza siasa kupitia propaganda za mitandaoni.. Ukijua kutafsiri picha na muonekano wake utaelewa vizuri nilichokuandikia. Hii ndio CCM usioijua kijana!





 
Njia iliyobaki ni wananchi kuacha kufanya manunuzi ya bidhaa kwa fujo... Kama ulikuwa unatumia bando elfu tano kwa siku Anza kutumia buku.. bia kumi kunywa tatu.. watoto badala ya soda watengenezee juice.. Gari ulikuwa unapiga misele mingi unapunguza nk... Serikali itakosa Kodi watapiga magoti wenyewe .. Kuna nchi ilifanya hivi viongozi waliufyata.. Ila sisi wanafiki hatuwezi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…