Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Nadhani nilionya mapema tu kwamba kama unajijua Wewe Kichwani ' hazipo ' na ' hazikutoshi ' tafadhali usichangie huu ' Uzi ' matokeo yake naona umeleta ' pua ' yako hapa. Siku za Jumapili huwa sipendi kuwajibuni vibaya ila nadhani utanilazimisha niuvunje rasmi huu utaratibu halafu hutofurahia. Shauri yako!
Msamehe tuu,, btw huyo ni DAWA mwenzio
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Maswala ya imani achana nayo,utaumiza kichwa bure
 
Tofautisha Kati ya kukosea na kukamilika mfano nyumba inaweza ikakamilika lakini imekosewa.

Kukosea ni mapengufu mfano injinia Aliyejenga nyumba sio mzoefu.

Kukamilika na kutokukamilika ni mtu alivyopanga, mfano unaweza kuamua kujenga ghorofa lenye urefu wa ghorofa 11 lakini lilipo fikisha ghorofa 8 ukaanza kulotumia lakini juu kabisa kuna nondo zinazozihirisha kwamba linamuendelezo, hivyobasi ghorofa hili litakuwa lijakamilika lakini lijakosewa limrjengwa kama lilivyopangwa.

Hitimisho
Kutokuweza kutofautisha vitu hivi viwili ndio tatizo Lako.
 
Perfection of the creator can only be seen from imperfections from his creatures
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Mwenyezi Mungu amewaumba wanadamu ili wakamilishane. Katika kuufikia huo ukamilifu.
 
Back
Top Bottom