EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Mkuu kipi kimekufanya unihusishanishe na Green ZombiesMkuu, malizeni kwanza matatizo yenu mapema, naskia wanachama wamestukia dili lililofanyika dodoma, wanasema ule ni uhuni hawakubali, kama bwai na iwe bwai ni bora bakuli la mboga limwagike chini mlale njaa wote.