Pre GE2025 Kama Tundu Lissu atafikisha Ruzuku majimboni kama alivyoahidi kwenye kampeni basi CCM iuzingatie Ushauri wa Kikwete kuwa " Hakunaga Adui Mdogo"

Pre GE2025 Kama Tundu Lissu atafikisha Ruzuku majimboni kama alivyoahidi kwenye kampeni basi CCM iuzingatie Ushauri wa Kikwete kuwa " Hakunaga Adui Mdogo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu, malizeni kwanza matatizo yenu mapema, naskia wanachama wamestukia dili lililofanyika dodoma, wanasema ule ni uhuni hawakubali, kama bwai na iwe bwai ni bora bakuli la mboga limwagike chini mlale njaa wote.
Mkuu kipi kimekufanya unihusishanishe na Green Zombies
 
Wakati Lisu aliwaambia Makao makuu kuna pesa kibao zinaliwa na Mbowe

Kuwaambia wachangie patachimbika
Inawezekekana pesa ipo ya kuendesha chama kama kilivyokuwa ila ukianza kufungua matawi mapya lazima kuna gharama zitaongezeka
hapo pesa itabid itoke nje ya bajeti.
 
Uchumi wa Tanzania unaendeshwa na Siasa ndio sababu unawaona Prof Kitila na Kafulila hawana ubobevu wowote kwenye Uchumi lakini ndio vinara wa maamuzi ya Kiuchumi na Prof Lipumba Mbobezi wa Uchumi anayetambuliwa hadi na Israel Taifa teule la Mungu ni mwenyekiti wa Chama Kichovu cha Siasa

Ushauri wako nitauzingatia na nitaanza kuishauri serikali hasa vijana Wetu wa TRA na Tamisemi
Ni CCM tuu ambapo utaalamu/ubobevu umewekwa kando na nchi kuendeshwa kisiasa zaidi.
Hembu fanya jambo ili hata baadae ukumbukwe kwa kusaidia tuondokane na siasa kutamalaki badala ya weledi,taaluma na ubobevu.
 
Ruzuku ya chadema ni milioni 107.
Tuna majimbo 214 ya uchaguzi.
Kila jambo litapewa laki tano. Kwa mwezi.

Hapo sijaweka gharama za utawala makao makuu..
Kwa ruzuku hii haitoshi.
Exactly, 500,000/= si haba, hata kama chini ya hapo, maana lazima na HQ wabaki na chochote, haitakuwa na afya wakipeleka majimboni pesa yote kisha wao wabaki wanpiga miayo!
 
Ndani ya CCM katika Watu waliopikwa na Chama na kuiva vizuri hakunaga wa kumshinda Mzee Kikwete, akifuatiwa na Dr SheIn kisha Dr Nchimbi na Ndio sababu hata Mzee Mgaya wa CCM huwa anazipa uzito mkubwa kauli za Mzee Kikwete

Tundu Antipas Lisu Mwenyekiti Mpya wa Chadema aliahidi atashusha Ruzuku hadi kwenye level ya Msingi Ili kukiimarisha Chama na Kuna dalili Mpango huo umeanza na account za bank zinafunguliwa Kwa Fujo matawini

Lisu akifanikisha hili Chadema haitakuwa adui mdogo tena mbele ya CCM hivyo Chama tawala kiache Kuishi Kwa kukariri

Mambo yanabadilika Kwa Kasi sana huku Kagame akiwa siyo mdogo tena 😄
Sorry, kwani wameshaweka akaunti ya kutuma mchango?? Iweke hapa niwasapoti hata elfu 50...
 
Ruzuku ya chadema ni milioni 107.
Tuna majimbo 214 ya uchaguzi.
Kila jambo litapewa laki tano. Kwa mwezi.

Hapo sijaweka gharama za utawala makao makuu..
Kwa ruzuku hii haitoshi.
Sasa laki 5 kwa mwezi si posho ya mtu mmoja hii?
 
Sorry, kwani wameshaweka akaunti ya kutuma mchango?? Iweke hapa niwasapoti hata elfu 50...
Unajitekenya na kujichekesha mwenyewe kwa ushuhuda hewa watu waingie mkenge wakati hata mia hutachanga
 
Back
Top Bottom