Uchaguzi 2020 Kama tungekuwa na uchaguzi wa Rais wa Dunia, Magufuli angeshinda asubuhi!

Uchaguzi 2020 Kama tungekuwa na uchaguzi wa Rais wa Dunia, Magufuli angeshinda asubuhi!

Habari wana jukwaa.

Kama kungekuwa na mashindano ya kushindanisha marais na kutafuta rais wa dunia kama tunavyofanya kwenye vilabu vya mpira wa miguu basi Magufuli wa Tanzania angeshinda asubuhi na mapema na kutawazwa kuwa rais wa dunia.

Rais Magufuli tangu achaguliwe kuwa rais wa Tanzania mwaka 2015 amekuwa akiwaburuza mno marais wenzake kote duniani! Hali hii ilipelekea msomi nguli kutoka Kenya prof Lumumba abatize shughuli na harakati zote za maendeleo za wa Afrika kuwa ni Magufulication of Afrika!

Si Trump, Angel Merkel ,Kagame ,Kenyatta au Putin wote Magufuli amewaburuza kwenye janga la Corona na raia wa nchi zao wanataka Magufuli ndiyo aende akatawale huko.

Kwa sasa Magufuli ni wa kushindanishwa na dunia na siyo hutu tukikaragosi twa mabeberu tu Tundu Lisu.
Dah hivi uko serious au unatania mkuu... Nchi ambayo mpaka sasa kuna watu wanatembea mamilioni ya KM kusaka maji? Nchi ambayo ina rasilimali za kutosha lakini bado GDP yake inazidiwa na ka nchi kama Kenya? GDP ya Kenya ni 92 bills dollars ya tz 66.
Wakati South Korea wakiongelea kuhusu kuweka hubs za kuchaji simu kwa ajili ya watu wao mtaani sisi bado hata kila kaya kuwa na bima ya afya bado.
Inawezekanaje raisi wa dunia atoke kwenye nchi kama hii, kama nchi yake tu imemshinda dunia ataiweza?
 
Aki ya Nani jamii forumn vituko haviishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zoë
 
Habari wana jukwaa.

Kama kungekuwa na mashindano ya kushindanisha marais na kutafuta rais wa dunia kama tunavyofanya kwenye vilabu vya mpira wa miguu basi Magufuli wa Tanzania angeshinda asubuhi na mapema na kutawazwa kuwa rais wa dunia.

Rais Magufuli tangu achaguliwe kuwa rais wa Tanzania mwaka 2015 amekuwa akiwaburuza mno marais wenzake kote duniani! Hali hii ilipelekea msomi nguli kutoka Kenya prof Lumumba abatize shughuli na harakati zote za maendeleo za wa Afrika kuwa ni Magufulication of Afrika!

Si Trump, Angel Merkel ,Kagame ,Kenyatta au Putin wote Magufuli amewaburuza kwenye janga la Corona na raia wa nchi zao wanataka Magufuli ndiyo aende akatawale huko.

Kwa sasa Magufuli ni wa kushindanishwa na dunia na siyo hutu tukikaragosi twa mabeberu tu Tundu Lisu.
Ambaye angemsumbua Rais Magufuli kwenye Uchaguzi labda yule mama wa ujerumani tu
Ahaahaa mshamba huyu urais wake unaishia chattle hajaweza hata kwenda nje ya nchi kwa ushamba alionao na kiingereza cha kilugha, kweli mataga mmelewa ugali.
 
Habari wana jukwaa.

Kama kungekuwa na mashindano ya kushindanisha marais na kutafuta rais wa dunia kama tunavyofanya kwenye vilabu vya mpira wa miguu basi Magufuli wa Tanzania angeshinda asubuhi na mapema na kutawazwa kuwa rais wa dunia.

Rais Magufuli tangu achaguliwe kuwa rais wa Tanzania mwaka 2015 amekuwa akiwaburuza mno marais wenzake kote duniani! Hali hii ilipelekea msomi nguli kutoka Kenya prof Lumumba abatize shughuli na harakati zote za maendeleo za wa Afrika kuwa ni Magufulication of Afrika!

Si Trump, Angel Merkel ,Kagame ,Kenyatta au Putin wote Magufuli amewaburuza kwenye janga la Corona na raia wa nchi zao wanataka Magufuli ndiyo aende akatawale huko.

Kwa sasa Magufuli ni wa kushindanishwa na dunia na siyo hutu tukikaragosi twa mabeberu tu Tundu Lisu.
Aise yaani mtu hata akishindana n shilole kama kuna tume huru hata 10% hawezi kupata
 
The highest point of stupidity from Tanzanian citizen.
Kuna kila sababu za kuhama forum hii ya JF maana ile slogan ya "The home of great thinkers" imepoteza maana na sasa imekuwa House of mazwazwa watupu.
Na kwa vile kuna usemi usemau "NEVER ARGUE WITH A FOOL people might not notice the difference" sasa ni wazi kwa uvamizi huu wa "fools" na kwa vile wao wako ajirani wanakuja kwa kasi basi mijadala inashindwa kutofautisha nani ni nani.
Pole sana Max Mello kwa wazo lako bora kabisa la kuanzisha JF kuhujumiwa. Uliheshimu Uhuru wa mawazo sio uharo wa mawazo kama ilivyo sasa JF.
 
Back
Top Bottom