Uchaguzi 2020 Kama tungekuwa na uchaguzi wa Rais wa Dunia, Magufuli angeshinda asubuhi!

Kmlammko
 
Umepost huu utumbo kupitia vpn ukitokea mkoa gani bwashee? Juzi juzi tu ametoka kupigwa na Akufo
 
Zama za Nyerere na za Magufuli ni tofauti sana.

Zama za Magufuli hamna rais mwingine kokote duniani mwenue akili kama Magufuli
Wapumbavu kama ninyi ndio mnaoifanya JF ionekane kama FB. Kila siku umekaa tu kumsifia mwanaume mwenzio kama vile huwa anakupakua!
 
Very stupid, hakufua dau kwa rais wa Ghana ndiyo ulinganishe na rais wa mioyo ya watu?
Dunia nzima haituelewi kwa kuwa tuna kituko cha rais.
 
Africa tu kapigwa chini na Rais wa Ghana ndio iwe dunia nzima
 
Museven akiona hii atacheka sana
 
Teh! Vijana wa lumumba kama mabinti vile
 
Nimechukua muda kutafakari mini cha kuandika. Nimeamua kuwa muwazi na mkweli. "Ni upuuzi" kufikiria magufuli kuwekwa daraja la magwiji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…