Kama tungetakiwa tupige kura juu ya mkataba wa bandari

Kama tungetakiwa tupige kura juu ya mkataba wa bandari

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1692571371422.png

Wanangu wapendwa,

Je kama tungetakiwa wabongo tupige kura kupitisha au kuupiga chini mkataba wa bandari, wapi ungeeelekeza kura yako? Kama itawafurahisha hasa ikizingatiwa kuwa inatoka kwa baba yeni, pigeni kura kuonyesha nini kifanyike.

Maaskofu wa dhehebu moja linalosifika kwa ubakaji na uporaji ardhi wametoa msimamo wao juzi. Nami baba yenu sitaki kupitwa na mambo. Naomba mpige kura katika hili tafadhali. Japo sina namba ya likulu, nitajitahidi kumfikishia matokeo mama yenu kadri nitakavyoweza kumfikisha.
 
Wanalazimisha mkataba FAKE na BATILI ni kundi dogo!!

Umma wa Watanzania unapinga Mimi nikiwamo!
 
Kwa kweli hatutaki bandari kuuzwa hatutaki kabisa.....deal kizimkaxz hatutaki....JK na kundi lake wajue hilo
 
View attachment 2723415
Wanangu wapendwa,
Je kama tungetakiwa wabongo tupige kura kupitisha au kuupiga chini mkataba wa bandari, wapi ungeeelekeza kura yako? Kama itawafurahisha hasa ikizingatiwa kuwa inatoka kwa baba yeni, pigeni kura kuonyesha nini kifanyike. Maaskofu wa dhehebu moja linalosifika kwa ubakaji na uporaji ardhi wametoa msimamo wao juzi. Nami baba yenu sitaki kupitwa na mambo. Naomba mpige kura katika hili tafadhali. Japo sina namba ya likulu, nitajitahidi kumfikishia matokeo mama yenu kadri nitakavyoweza kumfikisha.
Nisingeuza bandari ningekataa....ila fisiemu wakisema tupige kura lazimaa waibe waseme watanzania wote tumekubali.
 
Back
Top Bottom