LGE2024 Kama uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 CCM ilipata ushindi 99.9%, Je tutegemee ushindi wa 100% 2024?

LGE2024 Kama uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 CCM ilipata ushindi 99.9%, Je tutegemee ushindi wa 100% 2024?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Th3the

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
1,327
Reaction score
1,779
Wakuu..

Najaribu kuwaza kwa sauti hapa.

Mwaka 2019 ulikuwa mwaka wa mafanikio Sana kwa chama Cha mapinduzi(CCM) katika chaguzi za serikali za mitaa.

Walishinda kwa kishindo huku wakipita bila kupingwa kwa baadhi ya mikoa.

Japokuwa wajuzi wa Mambo wanasema kuwa ule uchaguzi ulikuwa na dosari Kila Kona huku alisimia za ushindi dhidi ya vyama pinzani zikiishangaza dunia(99.9%).

Je tutarajie makubwa zaidi kwa CCM kushinda zaidi ya asilimia 99.9%?

Au je tutarajie mabadiliko(come back) kutoka kwa vyama pinzani?

NB: Tume ya uchaguzi imebadilika na kuwa tume huru ya uchaguzi.
 
Dah! Wee jamaa. Safari hii haturudi kule tena. Kiukweli ilikuwa mbaya zaidi ya kawaida.

Safari hii Mama hana mpango kama ule. Nawahamasisha Wananchi wajiandikishe kwa wingi watapata nafasi ya kuchagua kiongozi wao. Ile kitu namuomba Mungu wangu daily, muda wote, tusirudi kule.

Twende kujiandikisha ili tupate nafasi ya kuchagua kiongozi. Tena mimi majirani zangu wamepanga kugombea, nami nitawàchagua kwa kura yangu.
 
Mtu yeyote anayeshabikia matokeo ya 2019 namuona Kama mnafiki na mpumbavu. Kama mleta mada, anaulizia maswali ya kinafiki wakati anajua 2019 vyama vya upinzani vilijitoa baada ya wagombea wao kuenguliwa wote.

Mtu anajua wagombea wa upinzani walienguliwa wote halafu analeta maswali ya kijinga. Unamshindanishaje CCM na wapinzani waliongeuliwa?. Very stupid idiot.
 
Mtu yeyote anayeshabikia matokeo ya 2019 namuona Kama mnafiki na mpumbavu. Kama mleta mada, anaulizia maswali ya kinafiki wakati anajua 2019 vyama vya upinzani vilijitoa baada ya wagombea wao kuenguliwa wote.

Mtu anajua wagombea wa upinzani walienguliwa wote halafu analeta maswali ya kijinga. Unamshindanishaje CCM na wapinzani waliongeuliwa?. Very stupid idiot.
Kwa hyo ule haukuwa uchaguzi? Mbona hatua zozote hazikuchuliwa dhidi ya yaliyotokea
 
Dah! Wee jamaa. Safari hii haturudi kule tena. Kiukweli ilikuwa mbaya zaidi ya kawaida.
Safari hii Mama hana mpango kama ule. Nawahamasisha Wananchi wajiandikishe kwa wingi watapata nafasi ya kuchagua kiongozi wao. Ile kitu namuomba Mungu wangu daily, muda wote, tusirudi kule.
Twende kujiandikisha ili tupate nafasi ya kuchagua kiongozi. Tena mimi majirani zangu wamepanga kugombea, nami nitawàchagua kwa kura yangu.
Mimi naona kama tutarudi kule maana hamna mabadiliko yaliyofanyika
 
Mtu yeyote anayeshabikia matokeo ya 2019 namuona Kama mnafiki na mpumbavu. Kama mleta mada, anaulizia maswali ya kinafiki wakati anajua 2019 vyama vya upinzani vilijitoa baada ya wagombea wao kuenguliwa wote.

Mtu anajua wagombea wa upinzani walienguliwa wote halafu analeta maswali ya kijinga. Unamshindanishaje CCM na wapinzani waliongeuliwa?. Very stupid idiot.
Yule kichaa ndio aliiharibu Tz!
 
Kwa taarifa nilizopata kutoka vituo zaidi ya 25... Idadi ya watu wanaofika kujiandikisha ni ndogo. Inazidiwa na waandikishaji!
 
Back
Top Bottom