chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Morogoro Dsm ni kilometa hazizidi 200, hata kama kilometa moja ni bilioni moja, haizidi bilioni 200, hivi kama nchi tunakosa fedha hizi? Na asilimia kubwa ya eneo Hilo fidia ni kidogo.
Tiweke mpango wa miaka minne Kila mwaka tutenge bilioni 100, tutaepuka political issues na pia inawezekana kuijenga.
Iwe njia nne, za Sasa mbili, na nyingine mbili ziongezeke baasi.
Na hii ni nchi Ina historia yake kwa upande wa barabara, hazilipiwi, daraja la kigamboni la wilaya moja tu, kelele za kulipia nyingi, Sasa tuongeze kelele za nchi nzima?
Na hii barabara ndio lango la nchi, italipa ndani ya miaka michache, na sera ya nchi ni kupunguza gharama za biashara na kuifanya bandari yetu ivutie kwa wale wa nchi jirani, kwa Lori zinazopita hapo, ni suala la amri moja, ujenzi uanze kesho
Tiweke mpango wa miaka minne Kila mwaka tutenge bilioni 100, tutaepuka political issues na pia inawezekana kuijenga.
Iwe njia nne, za Sasa mbili, na nyingine mbili ziongezeke baasi.
Na hii ni nchi Ina historia yake kwa upande wa barabara, hazilipiwi, daraja la kigamboni la wilaya moja tu, kelele za kulipia nyingi, Sasa tuongeze kelele za nchi nzima?
Na hii barabara ndio lango la nchi, italipa ndani ya miaka michache, na sera ya nchi ni kupunguza gharama za biashara na kuifanya bandari yetu ivutie kwa wale wa nchi jirani, kwa Lori zinazopita hapo, ni suala la amri moja, ujenzi uanze kesho