Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

Chimulenge

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
219
Reaction score
150
Natafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara.

0621604087

UPDATE

NAWASHUKURU WOTE KWA MICHANGO YENU YOTE..

TAYARI NIMEMPATA MTU HIVYO SITAHITAJI MTU MWINGINE KWA SASA.. NAWATAKIENI MAJUKUMU MEMA KATIKA UTAFUTAJI WENU
 
Natafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara.

0621604087
Mchanganuao mazee,haya sio mambo ya Deci na upatu?!juzi vijana huko Arusha walitapeliwa kwa mtindo huu
 
Utaona faida kama wiki hivi kitachofuata utajuta kudhani kuwa hela inapatikana kirahisi. Mtoa mada Kwa nini usikope wewe kwenye Taasisi zinazokopesha ili upate wewe hiyo 10000 kila siku?

Mchanganuao mazee,haya sio mambo ya Deci na upatu?!juzi vijana huko Arusha walitapeliwa kwa mtindo huu
Ndiyo maana nataka mtu wa Dodoma ambae tutakaa meza moja
 
Utaona faida kama wiki hivi kitachofuata utajuta kudhani kuwa hela inapatikana kirahisi. Mtoa mada Kwa nini usikope wewe kwenye Taasisi zinazokopesha ili upate wewe hiyo 10000 kila siku?
Analo liwaza mtu ndilo umtokea ukiwaza kuibiwa utaibiwa sana.. ukiwaza hasara utapata hasara sana
 
Back
Top Bottom