Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
ππππππYani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππYani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Ntakucheck ila andaa bond liquidatable yenye thamani ya zaidi ya 600K.Kama upo dodoma naomba tuwasiliane
"Nipo kwenye kelele subiri nitakupigia baadae" hiyo baadae haifiki mpaka unaamua kutuma text "mbona kimya?" Text haijibiwiYani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Ulale na laki sita yangu wewe unipe elfu kumi,
Mtafute mc pilipili yuko do
SawaUlale na laki sita yangu wewe unipe elfu kumi,
Mtafute mc pilipili yuko dodoma
Pole sana mkuu, ni mipango tu ya mtu na mtu"Nipo kwenye kelele subiri nitakupigia baadae" hiyo baadae haifiki mpaka unaamua kutuma text "mbona kimya?" Text haijibiwi
Unapiga tena "haloo nipe mda kidogo namalizia hesabu fulani hapa ndg"
Biashara kama hii nimeshaifanya nikiwa chuo, nilikuwa nikipokea boom silitumii maana nilikuwa na hela za ziada za kutumiwa na ndg jamaa na marafiki nikiwapiga vizinga
Sasa nikatokea kuwa na urafiki na jamaa mmoja wa kiduka cha M-Pesa baadae akadai nimpe laki tatu atakuwa akinipa kila mwezi elfu 50 na pesa yangu ikibaki kuwa pale pale
Nikaona isiwe tabu na kuzingatia nilikuwa na kama mia saba ipo tu sikuwa naziona fursa kipindi kile, si nikampa jamaa
Aisee sio tu hiyo elfu 50 kwa mwezi hata hiyo laki tatu sikuipata, hapa ndio nilijua mahakama haina msaada wowote nilipeleka ushahidi wa kutosha ila hakimu anakuja kutoa hukumu jamaa anilipe milion au aende jela miezi sita kwa utapeli
Jamaa alikuwa na madeni mengi sana biashara yake iliyumba si akaamua kutumikia kifungo, na kashatokaga tayari sasa hivi yupo mtaani na mahakama inajua jamaa kashatumikia adhabu yake ila sasa alipoitumikia hiyo adhabu mimi nilifaidika na nini wakati kanipotezea laki tatu yangu?
Nasema tena hata unipe kila siku milioni kwa kiyo hiyo laki sita sikupiiiiiiiiiii
Narudia tena sikupiiiiiiiiiiii
Unapokea pesa kwa mtu zaidi ya mmoja?Kama upo dodoma naomba tuwasiliane
Kwasasa hapana mtu mmoja tu mkuu..Unapokea pesa kwa mtu zaidi ya mmoja?
Ndiyo maana nikataka mtu aliyepo Dodoma ambae tutakaa nakumweleza.. na kumfikisha kwenye biashara husikaila ungesema ni biashara gani...na mchanganuo kidogo,... wazee wa fursa tungejitosa......bank zinafaidika na pesa zetu kifalafala na tunalipia kuzihifadhi huko.......
Hapana mkuu sijawahi fanya hizo biashara... Yangu ni biashara ya kila sikuHiyo biashara ya mtandao sijui jina ila kuna mtu alinidokezea nijiunge chini yake kwa 600k afu kila siku napata 10 kitu kama hicho kwa miezi 6 hivyo nakuwa nimeingiza kama milioni na nusu hivi, (
mambo ya good morning hata kama ni mchana)
Ukiitwa kwenye fursa tambua we ndo fursa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dodoma fanyeni haraka
mara,namba unayoipigia haipo....Yani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Huna akili weweNatafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara.
0621604087
Ahsante sana mkuu.. barikiwa
Yanini, kuna la kikundi cha akina mama linakufaaNamba yangu ni 0713810498 niungeni kwenye magroup.