Chimulenge
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 219
- 150
Yani tunaandikishana kabisa mkuufursa hiyo kwa mlioko Dodoma, ila kuweni makini
Mchanganuao mazee,haya sio mambo ya Deci na upatu?!juzi vijana huko Arusha walitapeliwa kwa mtindo huuNatafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara.
0621604087
Sikusikii vizur,ngoja nitakupgiaYani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Utaona faida kama wiki hivi kitachofuata utajuta kudhani kuwa hela inapatikana kirahisi. Mtoa mada Kwa nini usikope wewe kwenye Taasisi zinazokopesha ili upate wewe hiyo 10000 kila siku?
Ndiyo maana nataka mtu wa Dodoma ambae tutakaa meza mojaMchanganuao mazee,haya sio mambo ya Deci na upatu?!juzi vijana huko Arusha walitapeliwa kwa mtindo huu
Aliwazalo mjinga ndilo umtokeaYani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Analo liwaza mtu ndilo umtokea ukiwaza kuibiwa utaibiwa sana.. ukiwaza hasara utapata hasara sanaUtaona faida kama wiki hivi kitachofuata utajuta kudhani kuwa hela inapatikana kirahisi. Mtoa mada Kwa nini usikope wewe kwenye Taasisi zinazokopesha ili upate wewe hiyo 10000 kila siku?
Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake.Analo liwaza mtu ndilo umtokea ukiwaza kuibiwa utaibiwa sana.. ukiwaza hasara utapata hasara sana
Ela ipo ila nipe details za biashara na ni kwa muda gani, miwsho wa siku unarudisha principle loan?? bond unaweka nini sitaki kuandikishanaYani tunaandikishana kabisa mkuu
Kama upo dodoma naomba tuwasilianeEla ipo ila nipe details za biashara na ni kwa muda gani, miwsho wa siku unarudisha principle loan?? bond unaweka nini sitaki kuandikishana