Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

Unaitwa tapeli kulingana na unachopost jukwaa la maelfu Kama hili hutakosa wafuasi watatupa mrejesho wa kiontario
 
Unaitwa tapeli kulingana na unachopost jukwaa la maelfu Kama hili hutakosa wafuasi watatupa mrejesho wa kiontario
Si wote wana mawazo ya kuiba au kutapel tu, acha hizo mambo mkuu
 
Kwa kifupi hii ni fursa nzuri sana kuna siku ilikuwa kidogo nitapeliwe kilichonisaidia niliwaza tu kama kuna dili zuri kama hili mtu atamtafuta mtu wake wa karibu kuliko kutafuta tu mtu baki.
 
Ela ipo ila nipe details za biashara na ni kwa muda gani, miwsho wa siku unarudisha principle loan?? bond unaweka nini sitaki kuandikishana
Ninachoweza kusema kuhusu ni kwamba umasikini ni kitu kibaya sawa, tujitahidi kukifukuza..
 

Nenda NMB au CRDB, utakuta hela zinacheka kule! Huku utaambulia matusi tu maana kila mtu anakuona ni tapeli tu!
 
Ninachoweza kusema kuhusu ni kwamba umasikini ni kitu kibaya sawa, tujitahidi kukifukuza..

Unafukuza umasikimi kwa kuomba upewe 600,000 na kumrudishia ntu 10,000 kila siku, yaani 300, 000 kwa mwezi?? We bwana nenda benki ili ukajikwamue na umasikini huo. Ndivyo tunavyofanya wenzio! Hakuna hela ya mchezo hapa kwenye jukwaa hili! Utaambulia vumbi tu hapa!
 
mara,namba unayoipigia haipo....
Nilimkopesha ndugu WA ukoo kaja ofisini Analia mama MTU mzima anasema ndugu yangu hata mwezi haufiki kuna shamba tunauza. 2019 huyo mama anaonekana Fala huwezi amini akikupa namba Leo baada ya wiki anasajili nyingine. Nikamtafuta Hadi mama yake na yeye nikampa vitisho kuna siku akatuma laki mwaka Jana hiyo kwenye laki 3 nikaokoa laki. Undugu umeisha na iliyobaki nimesamehe maana hata kama Nina Nia ya kumdai hapatikani kwenye simu.
 
Kwa kifupi hii ni fursa nzuri sana kuna siku ilikuwa kidogo nitapeliwe kilichonisaidia niliwaza tu kama kuna dili zuri kama hili mtu atamtafuta mtu wake wa karibu kuliko kutafuta tu mtu baki.
Nina mtoto WA dada ana mtindo huo 'ma mdogo tafuta milioni 2 tufanye ABC 'alishawahi kuniingiza mjini mara moja kuna siku nilimuuliza hivi hizi Taasisi zote zinazokopesha huzioni mpaka uje kwangu? Hajawahi kurudia.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…