Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]helooo singoledizzzzz
[emoji8][emoji8][emoji8]
mni onee na mimi huruma bathiiiiView attachment 2021934
Sijui hata nachokitaka 😂😂 kwenye usingo nipo udabo nipo ukaniongezea utripo,, hii hatari sasaAnhaa, kumbe ww wataka picha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hata nachokitaka [emoji23][emoji23] kwenye usingo nipo udabo nipo ukaniongezea utripo,, hii hatari sasa
😂😂😂Kuna file hazifutiki lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu tujaribu huenda ukadelete that older files baada ya mimi[emoji39]
Nani kasema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna file hazifutiki lakini
🙌Nani kasema[emoji23][emoji23][emoji23]
Zikigoma tunazihide tuu tunakuwa hatuzioni kwenye display.
Ifikapo mnamo saa 0000hrs nitakuwa pm kwako...[emoji119]
Kwaiyo mdada anaondoka kwenye usingo[emoji2]
Umepiga kross chonganishi hiyo, haya single babaz tuweke na namba kabisa!Malalamiko yamekua mengi, tushirikiane kutakua hili tatizo.
😅😅😅Nilikuwa namzuga tu, sikuwa serious,Muonee huruma kijana ameungama dhambi zake zote kama alikosea.