Kama ulikuwa unajiuliza ni kwanini Wachezaji wa Azam FC juzi Songea walicheza 'Kikatili' vile kutaka 'Kuua' Wachezaji wa Simba SC jibu hili hapa

Azam Shida si wachezaji ni Azam wenyewe jinsi gani waliaandaa timu na malengo kuanzia scouting
 
Huyu jamaa ana tabia za kidangaji, pesa za Mo ndio zinaipa kiburi Simba? pale aliye na pesa ni Moo siyo Simba, huyu akikaa pembeni Simba haina tofauti na Lipuli.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…