Kama ulikuwa unamchukulia poa Diamond, jipange sana

Pongezi kwake,

Ushauri wangu ni kurudhisha fadhila kwa jamii. Yawezekana anafanya hivyo mie sijui.

Aanzishe foundation kusaidia jamii ya kitanzania kwa masuala ya elimu, afya , kiuchumi pia kusaidia wazee.

Anafanya vizuri kweny tasnia hii ya muziki .
Uceleb usimweke mbali na jamii .

Wasanii wengi wanasubiri hadi siku za sikukuu kusaidia
Afanye foundation ambayo itasaidia jamii kwa siku zote na sio hadi tukio fulani.

Nawasilisha.
 
Why bado yupo sinza kwenye madimbwi na nyumba anayokaa hata umeme ukikatka hakuna jenereta, mtu mwenye Pesa hajitangazi ila pesa hujitangaza

Kwani kulala 5star ni billion ngapi kama ni $500+ hata mtu ukisichanga unaweza lala
 
Why bado yupo sinza kwenye madimbwi na nyumba anayokaa hata umeme ukikatka hakuna jenereta, mtu mwenye Pesa hajitangazi ila pesa hujitangaza

Kwani kulala 5star ni billion ngapi kama ni $500+ hata mtu ukisichanga unaweza lala

Apo chacha, akisema diamond ni mwanamuzik mzur na anayekubalika sitampinga ila mambo ya kuwa na pesa mmh hayo awaachie akina bakhresa mengi , show moja mil ngap?? Angekaa Sinza vyumba vitat?
 
Aiseeee nimepitwa dah!

Nilitoa taarifa kabla sijautoa, watu wakajiandaa nkatoa kitu kikafutwa ila kuna mtu aliudaka akasambaz kwa wengine , watakuwa nazo kwnye PM
 
Kweli mleta uzi umetumwa kumpigia debe diamonda maana bila skendo jina lake hufifia. Haya bana anapesa japo hazina faida kwangu labda kwa mleta uzi.
 
Siku akituonyesha ananyumba yenye hadhi atleast kama ile ya Masanja ntaamini kweli anahela,sio kutuonyesha picha za kile kibanda chake
 
you mean tunaishi kwa kutegemezana hapa duniani,hakuna aliye na umuhimu zaidi au anayeweza kujitosheleza kwa kila kitu hapa duniani,tajiri anamhitaji mkulima maskini kwa chakula and vice vers is true.
 
hii hotel si mtwara hotel ya mheshimiwa membe inaitwa naff blue !! ipo shangani kule karibu na veta !!! haaaa
 
Kapanda dau baada ya Jaguar wa kenya kuwafumbua macho..……!!!
 

Milioni 45? Kwa kiingilio cha shilingi ngapi kila mtu, dogo acha kutudanganya
 
Milioni 45? Kwa kiingilio cha shilingi ngapi kila mtu, dogo acha kutudanganya

Waongo hao alete mchakato mzima wa hesabu mpaka alipwe 45M gharama za private jet hotel yake na group yake jumla shilingi ngapi pia hizo pesa zinapatikana vipi? Labda concert Zima la Fiesta pale Leaders Club alipwe peke yake bila gharama za ukumbi, jukwaa na gharama zingine, acha uongo dogo tuletee hesabu hapa, otherwise tunaamini ni 5M kama alizolipwa Mtwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…