View attachment 157624View attachment 157625View attachment 157626View attachment 157627
Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu wa kawaida bali ni moja kati ya wasanii wengi wa kimataifa.ukiacha pesa anayotoza treatment na mahitaji yake hadi kumpandisha kupiga show moja si ya kitoto, kaa utulie usikilize mahitaji haya ya Diamond: Kwanza bila kumtonyesha kuanzia milioni 45 kwenda juu, utaishia kuongea naye kwenye simu tu, bila hata ya kuona sura yake, achana na hiyo basi kwanza kama umeshatenga hilo fungu na kufanikisha kumuita kupiga ku-sign contract yake, inabidi umsafirishe kwa private jet au first class plane, akishatua uwe umeshandaa presidential suit katika hoteli yeyote yenye
hadhi ya nyota tano, kama ni Bongo ni Serena hotel pale wakati huohuo uwe umashatenga vyumba maalumu vikubwa kwa ajili ya team yake wakiwemo Dancers,camera man,dj , mlinzi wake na msaidiz, microphone ya pekee na vyakula atavyohitaji yeye, viwe teyari umeshaweka order vitengenezwe, kama
anavyotaka yeye.
(U-ghari wa diamond unatokana na yeye mwenyewe kuwa brand kubwa, anauwezo wa kujaza uwanja peke yake,lakin pia maandakiz ya kaz zake,nyimbo ama video,hu-invest gharama kubwa,mfano number 1 video orignal na rmx ilitumika zaidi ya million 80,lakin pia ana team aliyowaajili anahitaj awalipe )
Kama ulikuwa unamchukulia Dangote easy, jipange!.
[h=2]Why Diamond missed the UK rugby 7s party[/h] [h=3]Written by JOHN MUCHIRI, posted on May 12, 2014 (10 hours ago)[/h]
3
Bongo Flava star Diamond Bongo Flava star Diamond was scheduled to perform in London on Saturday night at the rugby 7s after party organised by Kenyan promoters living in the UK.
However, on Friday night, Diamond apologised to his fans on Instagram, saying he was not going to make it to London for the show due to unavoidable circumstances.
A close source to the singer, told
Chillax that Diamond applied for his visa at the Nairobi UK High Commission quite late and by the time it was processed, it was too late for him to travel.
His passport was sent to him with the visa, but arrived in Dar es Salaam quite late. It was impossible for Diamond to travel to London, the source confirmed.
However, Nairobi-based DJ Kriss Darlin and US-based Kenyan DJ, Fully Focus, performed at the event.