Wakataka kukugeuza kisusio ππ€£Kuniona tu,nikasikia wakisemezana"tumeletewa mbogaa"!!
Wakawa wanapokezana mpaka nilipowaambia nimechoka ndo wakaniachiaWakataka kukugeuza kisusio ππ€£
Walikuacha salama kweli!
π€£π Hawakuomba poo.. ππ€£Wakawa wanapokezana mpaka nilipowaambia nimechoka ndo wakaniachia
Niliomba Mimi mkuu,maana watu wanaugwadu mule balaaπ€£π Hawakuomba poo.. ππ€£
Anza kwanza wewe mwenyewe na sie ndio futuateSalaam Wakuu! Kwa wale walioshawahi kukaa mahabusu ni kituko gani unakumbuka au tukio gani unalikumbuka ulikutana nalo huko ndani wakati ukiwa unanyea ndoo na uliingia kwa kosa gani? [emoji4] [emoji4]
Tupieni uzoefu[emoji2960]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenifanyaaaa nichekeee kingeseeee,acha ufalaaa n bangi ya wapi hii umekulaaaNiliomba Mimi mkuu,maana watu wanaugwadu mule balaa
ππ hatari sanaNilikuwa moja ya kituo maarufu Dar,aliwekwa selo kijana ambaye alikuwa na upungufu wa akili,alichota mavi chooni na kuanza kuwatupishia watu na kutupia counter pia.
Pili,Nilishangaa kuona Mateja wakiteseka wakitaka "Kujamba" eti wamekosa unga kwa siku kadhaa hii iliniacha hoi Yani teja anahangaika utasema tumbo linamkata kumbe anataka kutoa "Ushuzi"
Ha ha haaa,humu ni full kufurahi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenifanyaaaa nichekeee kingeseeee,acha ufalaaa n bangi ya wapi hii umekulaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nooomaaaaa!!!!Ha ha haaa,humu ni full kufurahi mkuu