Kama ulishawahi kusweka mahabusu unakumbuka kituko gani au kimbwenga gani ulichokutana nacho huko ndani?

Kama ulishawahi kusweka mahabusu unakumbuka kituko gani au kimbwenga gani ulichokutana nacho huko ndani?

Mwanza hiyo kama miaka minne hivi imepita maeneo ya nyasaka, nilikuwa na pub yangu kali tu, basi kipindi hicho kufunga mwisho saa sita, mi nikatoka kazini nikaja na washakaj zangu tukaanza kupiga vyomba mara saa sita hii hapa[emoji3] wahudumu wangu wawili wamelewa vibe kubwa tunaukata mziki kama hatuna akili sawa sawa, mara wazee hawa hapa na difenda yao, wakatusomba kona ya kwanza kona ya pili wakataka hela watuachie, watu tupo vibe tukasema hatutoi kitu! Kufumba na kufumbua kirumba hii hapa tukavuliwa mikanda viatu, sasa vitambulisho tulipotoa wakadata ila wakakomaa oooh ingieni tu kesho mtatoka, daaah kwanza mle ndan tulimkuta mwamba mmoja anaimba mapambio balaa, dakika kama kumi hivi wakaletwa washkaj wawili wananuka mafuta ya taa kumbe walikoswakoswa kuchomwa moto,siwezi kuisahau ile siku pombe zote ziliisha, hadi asubuh tunatoka mle tupo hoi, na pub yenyewe niliifunga
 
Tulikamatwa 2 saa 12 jioni karibu na nyumbani eti uzurulaji, nikuwa kidato cha 3. Polisi wamelewa wanashika bunduki hovyo.
Tukiwa ndani kuna jamaa akaingizwa akaambiwa vua viatu na mkanda, jamaa akabisha, ndani ya sekunde 1 alikula vitasa ambavyo mpaka leo sijawahi kuviona. Jamaa chini na kuanza kulia.
 
Salaam Wakuu! Kwa wale walioshawahi kukaa mahabusu ni kituko gani unakumbuka au tukio gani unalikumbuka ulikutana nalo huko ndani wakati ukiwa unanyea ndoo na uliingia kwa kosa gani? 😊 😊

Tupieni uzoefu🤭
Mi na wenzangu tulipopelekwa Arusha central police kwa mara ya kwanza tukaambiwa tuingie cell tukashangaa tunaambiwa tuvue nguo kama umevaa nguo mbili na tuingie kuoga sema tukaelewa vibaya tukahisi tuvue nguo ili watubake kama story za vijiweni tunavyosimuliwaga kuhusu jela😀😀aisee tulibadilika mbaya baadae ndo tukaanza kuchekana baada ya kugundua kumbe ukiingia kwa mara ya kwanza lazima uoge
 
Baba yangu mdogo alikuwa anatengeneza pombe aina ya gongo huko Rombo. Alikamatwa na kupelekwa mahabusu; akiwa mahabusu akaomba aende chooni kupata haja kubwa. Wale maaskari wakamuonyeshea kwa kidole ndoo iliyokuwa kule mahabusu anye. Hahaha akauliza wale maaskari na hawa watu je si wataniona? . Aliyabana yale mavi wee mwisho wa siku akavua na kunya mbele ya wale watu. Toka siku hiyo hata akisikia unanukia harufu ya gongo anakukimbia hataki kabisa habari za kwenda mahabusu 😛
😛 😛
 
Aisee ilkua 2014 ndo kwa mara ya kwanza kuiona na kujua lock up.. waliniweka masaa 12 coz ilkua co inshu kubwa Sana...wakat naingia nilkua naona kma masihara Ila nilivoambiwa vua mkanda lete cm ndo nikaamini kwl apa ndo naingia lok up,machoz yakaanza kunitoka kwa mbali Ila najikaza ili washkaj wa kule ndan wasinione lelemama..Sasa brother wangu akaniletea msos aisee ule msos sikugusa gafla nashangaa washkaj washavamia..Kuna mwana ndo alinifanya Hadi nicheke maana mikono yake mda wote alkua anajku mkun***..alaf gafla akavamia msos na mikono yake vile vile😂😂..
 
Nilala mahabusu mpya ya mbele ya mbezi mwisho jina nomeisahau...nilikutana na jamaa waislamu 7 wana kesi ya mauaji...walikua wanasisitiza sana usafi

Changamoto ilikua kukaa na kulala kwenye marumaru mpya zinateleza...huwezi kunja miguu

Niliswekwa kwa kuaingiziwa na mkuu mmoja hivi(nishamsamehe)...nilitoka kesho yake
 
Kuna afande wa barabarani alituamshia na mwanangu tukaenda kulala sero pale oysterbay mpya hapafai, kule chini watu wamechoka balaa kisero kidogo kina vitanda 6 lakini raia kama 38 hivi.

Mida ya asubuhi naletewa supu raia zina njaa zote zinagombea msosi, nlikua nimeacha ela counter,nikamwambia kamanda achukue kama 20,000 alete mikate na juice ili raia zipunguze njaa mana hali ilikua mbaya, afande ye akitumwa anakula buku ndo malipo yake.

Mida nikaona biashara za sigara na bangi zinafanyika kutoka chumba kimoja cha sero kwenda kingine na afande ndo anatumwa.

Nikaitwa jina kupandisha juu maana jamaa zangu walikuja kuokoa jahazi, wakati nasepa raia zikawa zinataman nibaki ili misosi iendelee kuja😂.

Mule nimekaa kama masaa 16 lakini hapafai aisee mtu anakata gogo harufu yote inawaishia nyie, muda wa kukaa kule haukuzidi siku lakini niliona kama miaka.
 
Salaam Wakuu! Kwa wale walioshawahi kukaa mahabusu ni kituko gani unakumbuka au tukio gani unalikumbuka ulikutana nalo huko ndani wakati ukiwa unanyea ndoo na uliingia kwa kosa gani? [emoji4] [emoji4]

Tupieni uzoefu[emoji2960]
Nililala mahabusu siku Moja aisee nilitoka nikaumwa Kuna mbu na harufu ya uvundo alafu wajomba nilio wakuta humo mda wote ni matusi tu na kupiga makelele MKOJO ukikubana unaanza kupiga kelele baabaa,, baaabaaa, nionee huruma jamaa anakuja kufungua na mitusi kama yotee
 
Baba yangu mdogo alikuwa anatengeneza pombe aina ya gongo huko Rombo. Alikamatwa na kupelekwa mahabusu; akiwa mahabusu akaomba aende chooni kupata haja kubwa. Wale maaskari wakamuonyeshea kwa kidole ndoo iliyokuwa kule mahabusu anye. Hahaha akauliza wale maaskari na hawa watu je si wataniona? . Aliyabana yale mavi wee mwisho wa siku akavua na kunya mbele ya wale watu. Toka siku hiyo hata akisikia unanukia harufu ya gongo anakukimbia hataki kabisa habari za kwenda mahabusu [emoji14]
[emoji14] 😛
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baba yangu mdogo alikuwa anatengeneza pombe aina ya gongo huko Rombo. Alikamatwa na kupelekwa mahabusu; akiwa mahabusu akaomba aende chooni kupata haja kubwa. Wale maaskari wakamuonyeshea kwa kidole ndoo iliyokuwa kule mahabusu anye. Hahaha akauliza wale maaskari na hawa watu je si wataniona? . Aliyabana yale mavi wee mwisho wa siku akavua na kunya mbele ya wale watu. Toka siku hiyo hata akisikia unanukia harufu ya gongo anakukimbia hataki kabisa habari za kwenda mahabusu 😛
😛 😛
Kwa Mila za kichaga sio Jambo jema ukionekana unatoa haja kubwa mbele za watu.
 
Nilipigwa banzi la mgogo sita sahau tena na teja tu, nkawa mpole
 
Nakumbuka mwaka 2017 kipindi Makonda akiwa mkuu wa mkoa ilikuwa skendo nyingi za wauza ngada kutajwa watu wengi maarufu hususani kina wema sasa kipindi hicho nilikuwa natokea Dubai hapo nshazunguka nchi kama lizbon,bolivia brazili,uturuku final nikapitia dubai nikakaa kama wiki nikarudi zangu bongo ile kutua airport tu nikadakwa direct central japo sikukaa sana baada ya wiki nikatoka.Kufupisha story>>wakati nipo central mida ya saa kumi wakaletwa ma baharia wanne wa ki russia mbavu kweli kweli yani yameshiba sasa ile kuingia ndani ya selo kuna wale vibaka ambao wao ukiingia tu wanakusachi ikiwa hujaandikisha kitu kaunta au hela umezama nayo wao wanakupora then sasa huo mchezo wakawafanyia hawa warusi aisee vijana walipigika yani hilo tiff humo central ilibidi aitwe Captain wao maana Ngeli ilikuwa haipandi na ndani polisi walikuwa wanaogopa kuingia.Ila baadae waliachiwa maana inasemekana walilala na mademu sinza halafu madem wakawaibia sasa huko hotelini wamewapasua kinoma wale madem mpaka ffu wakaitwa ndio wakaletwa pale.
Hawakulawiti mtu mkuu?
 
Back
Top Bottom