Kama ulitarajia Yanga kushinda basi hujui mpira

Kama ulitarajia Yanga kushinda basi hujui mpira

Wale hawana cha kupotezaaa, kule wao ni mashambulizi mwanzo mwengaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtaonaaaaa
[emoji23] mvua nayo ilikuwa uchawi tosha kwa yanga leo, me nahakika waarabu wataenda kuumia si chini ya goli 2 kwao.
 
Wale hawana cha kupotezaaa, kule wao ni mashambulizi mwanzo mwengaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtaonaaaaa
Halafu pia watakuwa wanacheza huku wakijilinda, the same thing kwa kilichotokea kwa wanayanga, so kule yanga wanapaswa wakampelekee moto haswa mwarabu.
 
Na kukumbatia wachezaji wazee. Labda super league itawaamsha usingizini, ngoja tuone.
Hakuna kitu paleee miku@d yao inanuka tuu,yaani yanapigwa bao hata na singida wanamchukua mbegu !aseeeee yameniudhi sana yale masengerema sema basi tuu.
 
Mkumbuke kuwa Yanga pia yupo kwenye fainali ya Azam confederation vipi Kwa Simba alikutana na timu ngumu mpaka kushindwa kufika fainali?
 
[emoji23] mvua nayo ilikuwa uchawi tosha kwa yanga leo, me nahakika waarabu wataenda kuumia si chini ya goli 2 kwao.
Thubutuuuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu pia watakuwa wanacheza huku wakijilinda, the same thing kwa kilichotokea kwa wanayanga, so kule yanga wanapaswa wakampelekee moto haswa mwarabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaonaga waarabu wakiwa kwaoo?? Jinsi wanavyo cheza?
 
Japo wakati mwingine mpira unakuwa na matokeo ya kushangaza lakini kuna wakati lazima uonyeshe uwezo ili uweze kuwa bingwa. Yanga wametembelea ngekewa hadi kufika fainali. Kwanza kucheza shirikisho halikuwa lengo lao wakati msimu unaanza. Lengo lilikuwa kucheza Champions league ambapo tangu karne ya 21 ianze hawajui michuano hii inafananaje. Kwa sababu ya uwezo mdogo wakatolewa wakaangukia shirikisho.

Ukiangalia njia waliyopitia hadi kufika final unaona kabisa walikuwa wanakutana na timu mbovu. Hawa waarabu tangu mashindano yaanze hawajawahi kushinda ugenini ila leo wamemfunga yanga ugenini. Tena ni vile tu walicheza kwa kujihami lakini ni dhahiri kuwa wakitaka kufunga anytime wanaenda wanafunga.

Kwa mtu wa mpira hapaswi kuumia japo kufungwa inauma. Hatua waliyofika msimu huu ni kubwa sana kwa upande wao, ni hatua ambayo hawajawahi kuifikia. Swali la kujiuliza ni je wataweza kufika huko kwenye msimu unaokuja? Kama msimu huu umefika fainali maana yake msimu unaofuata usipofika final unakuwa umeunderperform.

Mashabiki wa yanga wanaona Champions league haina tofauti na confederation. Wanaona Simba kutolewa robo fainali na bingwa mtetezi ni udhaifu kwa simba. Mimi natamani msimu ujao yanga wafuzu kucheza Champions league tuone kama watafika hata hiyo robo.

Mwsho kabisa niwashukuru waarabu kwa kutuletea utulivu, maana hali ilikuwa ngumu, kelele zilikuwa nyingi mno.
yaani hichi ulichoandika we ndo unajua mpira???KWELI BORA ANDAZI
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaonaga waarabu wakiwa kwaoo?? Jinsi wanavyo cheza?
Dah kwa kilicho happen jana nimeshindwa hata kukujibu kwamba "unawaona yanga wanavyochezaga wakiwa kwa mkapa" [emoji23]
 
Japo wakati mwingine mpira unakuwa na matokeo ya kushangaza lakini kuna wakati lazima uonyeshe uwezo ili uweze kuwa bingwa. Yanga wametembelea ngekewa hadi kufika fainali. Kwanza kucheza shirikisho halikuwa lengo lao wakati msimu unaanza. Lengo lilikuwa kucheza Champions league ambapo tangu karne ya 21 ianze hawajui michuano hii inafananaje. Kwa sababu ya uwezo mdogo wakatolewa wakaangukia shirikisho.

Ukiangalia njia waliyopitia hadi kufika final unaona kabisa walikuwa wanakutana na timu mbovu. Hawa waarabu tangu mashindano yaanze hawajawahi kushinda ugenini ila leo wamemfunga yanga ugenini. Tena ni vile tu walicheza kwa kujihami lakini ni dhahiri kuwa wakitaka kufunga anytime wanaenda wanafunga.

Kwa mtu wa mpira hapaswi kuumia japo kufungwa inauma. Hatua waliyofika msimu huu ni kubwa sana kwa upande wao, ni hatua ambayo hawajawahi kuifikia. Swali la kujiuliza ni je wataweza kufika huko kwenye msimu unaokuja? Kama msimu huu umefika fainali maana yake msimu unaofuata usipofika final unakuwa umeunderperform.

Mashabiki wa yanga wanaona Champions league haina tofauti na confederation. Wanaona Simba kutolewa robo fainali na bingwa mtetezi ni udhaifu kwa simba. Mimi natamani msimu ujao yanga wafuzu kucheza Champions league tuone kama watafika hata hiyo robo.

Mwsho kabisa niwashukuru waarabu kwa kutuletea utulivu, maana hali ilikuwa ngumu, kelele zilikuwa nyingi mno.
Iyo ngekewa mbona imekushinda wewe kwa misimu 4 mfululizo? Ngekewa kama ni rahisi wewe ilikushindaje kwa miaka 4? Wewe uliyekutana na wakina de agosto ihefu wa bongo au wakina big bullett ruvu shooting iliyochangamka ndio ulipita kwenye njia ngumu? Ulipewa kichwa na mungu kutunza akili na sio kutunza makamasi ebho!!
 
Japo wakati mwingine mpira unakuwa na matokeo ya kushangaza lakini kuna wakati lazima uonyeshe uwezo ili uweze kuwa bingwa. Yanga wametembelea ngekewa hadi kufika fainali. Kwanza kucheza shirikisho halikuwa lengo lao wakati msimu unaanza. Lengo lilikuwa kucheza Champions league ambapo tangu karne ya 21 ianze hawajui michuano hii inafananaje. Kwa sababu ya uwezo mdogo wakatolewa wakaangukia shirikisho.

Ukiangalia njia waliyopitia hadi kufika final unaona kabisa walikuwa wanakutana na timu mbovu. Hawa waarabu tangu mashindano yaanze hawajawahi kushinda ugenini ila leo wamemfunga yanga ugenini. Tena ni vile tu walicheza kwa kujihami lakini ni dhahiri kuwa wakitaka kufunga anytime wanaenda wanafunga.

Kwa mtu wa mpira hapaswi kuumia japo kufungwa inauma. Hatua waliyofika msimu huu ni kubwa sana kwa upande wao, ni hatua ambayo hawajawahi kuifikia. Swali la kujiuliza ni je wataweza kufika huko kwenye msimu unaokuja? Kama msimu huu umefika fainali maana yake msimu unaofuata usipofika final unakuwa umeunderperform.

Mashabiki wa yanga wanaona Champions league haina tofauti na confederation. Wanaona Simba kutolewa robo fainali na bingwa mtetezi ni udhaifu kwa simba. Mimi natamani msimu ujao yanga wafuzu kucheza Champions league tuone kama watafika hata hiyo robo.

Mwsho kabisa niwashukuru waarabu kwa kutuletea utulivu, maana hali ilikuwa ngumu, kelele zilikuwa nyingi mno.
Msiwe mnajibatiza uwezo àmbao hamna. Hakuna mpira wowote unaoujua labda wa Pete.
 
Iyo ngekewa mbona imekushinda wewe kwa misimu 4 mfululizo? Ngekewa kama ni rahisi wewe ilikushindaje kwa miaka 4? Wewe uliyekutana na wakina de agosto ihefu wa bongo au wakina big bullett ruvu shooting iliyochangamka ndio ulipita kwenye njia ngumu? Ulipewa kichwa na mungu kutunza akili na sio kutunza makamasi ebho!!
Punguza makasiriko ndugu. Tupo tunaenjoy utulivu ulioletwa na waarabu
 
Japo wakati mwingine mpira unakuwa na matokeo ya kushangaza lakini kuna wakati lazima uonyeshe uwezo ili uweze kuwa bingwa. Yanga wametembelea ngekewa hadi kufika fainali. Kwanza kucheza shirikisho halikuwa lengo lao wakati msimu unaanza. Lengo lilikuwa kucheza Champions league ambapo tangu karne ya 21 ianze hawajui michuano hii inafananaje. Kwa sababu ya uwezo mdogo wakatolewa wakaangukia shirikisho.

Ukiangalia njia waliyopitia hadi kufika final unaona kabisa walikuwa wanakutana na timu mbovu. Hawa waarabu tangu mashindano yaanze hawajawahi kushinda ugenini ila leo wamemfunga yanga ugenini. Tena ni vile tu walicheza kwa kujihami lakini ni dhahiri kuwa wakitaka kufunga anytime wanaenda wanafunga.

Kwa mtu wa mpira hapaswi kuumia japo kufungwa inauma. Hatua waliyofika msimu huu ni kubwa sana kwa upande wao, ni hatua ambayo hawajawahi kuifikia. Swali la kujiuliza ni je wataweza kufika huko kwenye msimu unaokuja? Kama msimu huu umefika fainali maana yake msimu unaofuata usipofika final unakuwa umeunderperform.

Mashabiki wa yanga wanaona Champions league haina tofauti na confederation. Wanaona Simba kutolewa robo fainali na bingwa mtetezi ni udhaifu kwa simba. Mimi natamani msimu ujao yanga wafuzu kucheza Champions league tuone kama watafika hata hiyo robo.

Mwsho kabisa niwashukuru waarabu kwa kutuletea utulivu, maana hali ilikuwa ngumu, kelele zilikuwa nyingi mno.
ungeandika kabla ya mechi kuchezwa ungeeleweka, matokeo yameshatoka ndio unajifanya unajua mpira? WE HUNA TOFAUTI NA WALE WACHAMBUZI WA MPIRA WA RADIO FREE AFRICA
 
ungeandika kabla ya mechi kuchezwa ungeeleweka, matokeo yameshatoka ndio unajifanya unajua mpira? WE HUNA TOFAUTI NA WALE WACHAMBUZI WA MPIRA WA RADIO FREE AFRICA
Kwani si tulikuwa tunawaambia kuwa mnakutana na vibonde mkawa mnabisha?
 
Msiwe mnajibatiza uwezo àmbao hamna. Hakuna mpira wowote unaoujua labda wa Pete.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shabiki wa yangaaa unatesekaa ukiwa wapiiii?? Tatizo hujuagi kujifichaaaa, eti neutral shabiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah kwa kilicho happen jana nimeshindwa hata kukujibu kwamba "unawaona yanga wanavyochezaga wakiwa kwa mkapa" [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi hapo jibu unaloo sasa
 
Back
Top Bottom