Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Wale ambao mmewahi kusoma, kuishi, kujuana na watu maarufu kama wana muziki, wacheshi, waigizaji, wanamichezo, n.k watu Maarufu, maisha yao yalikuwa vipi kipindi hicho mkiwa shule mliyosoma, mtaa mlioishi, katiba urafiki ama kujuana kwenu, n.k

Binafsi niwe mkweli tu, sina mtu niliewahi kusoma nae, kujuana nae ama kuishi nae mtaa moja, ambae amewahi kuwa maarufu. Njia ya muongo ni fupi, nikidanganya hapa kwamba nimewahi kujuana na flani naweza kuulizwa maswali nikabaki najiuma uma tu.

Muhimu: Usitunge story za uongo (chai)
 
Wale ambao mmewahi kusoma, kuishi, kujuana na watu maarufu kama wana muziki, wacheshi, waigizaji, wanamichezo, n.k watu Maarufu, maisha yao yalikuwa vipi kipindi hicho mkiwa shule mliyosoma, mtaa mlioishi, katiba urafiki ama kujuana kwenu, n.k


Binafsi niwe mkweli tu, sina mtu niliewahi kusoma nae, kujuana nae ama kuishi nae mtaa moja, ambae amewahi kuwa maarufu. njia ya muongo ni fupi, nikidanganya hapa kwamba nimewahi kujuana na flani naweza kuulizwa maswali nikabaki najiuma uma tu.

Muhimu: usitunge story za uongo (chai)
[emoji3516]
TULIOSOMA DARASA MOJA NA BRO. POLEPOLE TUNARUHUSIWA KUCHANGIA UZI?

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Mimi huwa naogopa kujulikana hivyo napunguza kufahamika sana au kujulikana na ninaosoma nao. Hata sitoki mara nyingi na nina very close friends wachache. Mtu akijua taarifa yangu yeyote nakuwa na mashaka
 
AY, Kajala na Dataz

AY alikua mstaarab sana, asiye na makuu. Walikua na kundi lao likiitwa SoG tokea wako shule O' Level.

Dataz hutu alihamia akiwa na kipaji na hilo jina la Dataz ameanza nalo tokea akiwa O'level.

Kajala hapa naomba nisiongee sana ila alikua mzuri sana, na yeye alikua anajua kwamba ni mzuri (naongelea wakati namfaham akiwa form two wazazi wake wakiwa wanaishi O'bay polisi).
 
AY, Kajala na Dataz

AY alikua mstaarab sana, asiye na makuu. Walikua na kundi lao likiitwa SoG tokea wako shule O' Level.

Dataz hutu alihamia akiwa na kipaji na hilo jina la Dataz ameanza nalo tokea akiwa O'level.

Kajala hapa naomba nisiongee sana ila alikua mzuri sana, na yeye alikua anajua kwamba ni mzuri (naongelea wakati namfaham akiwa form two wazazi wake wakiwa wanaishi O'bay polisi).
Hawa wote umesoma nao shule moja, darasa moja?
 
Whozu.. Alikuwa anapenda kupiga story za kuchekesha.. Na pia alikuwa anapenda kucheza mpira .. Alikuwa maarufu kwa jina oscar.. Shule ya msingi aliniacha madarasa mawili ila tulikuwa kampan moja coz ni jiran na pia tulikuwa tunakutana uwanjan... nilikuwa nakaa dawati moja na mdogo wake

Alikuwa kwenye tano bora hakosekani..
Ni mtu poa tu akiendaga home, lazima akawasalimie washkaji zake wa zaman.

...
Maua sama. Huyu walisoma na dada yangu ila nilimfaham baada ya kutoa ule wimbo wake wa kwanza na mwana fa.. Alikuwa anasoma chuo cha ushirika ... Sikuwa namfuatilia ila alikuwa peace sana
 
Back
Top Bottom