Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

[emoji16][emoji1787]
Mbn umecheka dear
Nlienda sangu mbeya nlimkuta sugu nko frm 1 yy alikuwa frm 4,form 1 nlihuko nlisoma na jafaray, alikuwa mpole tu
Headmaster sangu alikuwa mwakyulu Rip
Sangu nkafukuzwa
Nkaletwa St Antony enzi za head pale bro masabo, nakumbka skumaliza hata miezi 3 nkatimuliwa hahahaha

Ova
 
Mbn umecheka dear
Nlienda sangu mbeya nlimkuta sugu nko frm 1 yy alikuwa frm 4,form 1 nlihuko nlisoma na jafaray, alikuwa mpole tu
Headmaster sangu alikuwa mwakyulu Rip
Sangu nkafukuzwa
Nkaletwa St Antony enzi za head pale bro masabo, nakumbka skumaliza hata miezi 3 nkatimuliwa hahahaha

Ova
Nilicheka hapo kwenye kuingia na kutokea dirishani, sema mkuu inaonekana ulikuwa notorious maana kila Kona walikutimua, kama Tivu (natania) [emoji16][emoji16]
 
Nilicheka hapo kwenye kuingia na kutokea dirishani, sema mkuu inaonekana ulikuwa notorious maana kila Kona walikutimua, kama Tivu (natania) [emoji16][emoji16]
Ah kweli shule Nlikuwa kauzu sana
Kesi, vituko kila siku haziishi
Sema Nlikuwa sikubali kuonewa
Nakumbka nlipelekwa sangu sec huko Mkiwa njuka, wageni kuna uonevu sana
Utaporwa madaftar, vipesa
Huko nlikutana na mponjoli mwalak---
Wao ndy walikuwa watemi shuleni
Sasa pale sangu asubuhi mlikuwa mkitoka assembly si mnaenda class, kuna watu walikuwa wanaishia chooni huko wanakaa mpk kutoka, huko chooni ni sigara, bang vurugu tu

Ova
 
Nilicheka hapo kwenye kuingia na kutokea dirishani, sema mkuu inaonekana ulikuwa notorious maana kila Kona walikutimua, kama Tivu (natania) [emoji16][emoji16]
Sasa mm wkt nasoma Nlikuwa nafanya ukonda pia sasa Hapo lazima ratiba za shuleni zikupite
Form 4 nlifanya mtihani kwa mbinde sana

Ova
 
Mbn umecheka dear
Nlienda sangu mbeya nlimkuta sugu nko frm 1 yy alikuwa frm 4,form 1 nlihuko nlisoma na jafaray, alikuwa mpole tu
Headmaster sangu alikuwa mwakyulu Rip
Sangu nkafukuzwa
Nkaletwa St Antony enzi za head pale bro masabo, nakumbka skumaliza hata miezi 3 nkatimuliwa hahahaha

Ova
Kwa uandishi wako huu ilikuwa ni halali Yako kutimuliwa kila shule
 
Back
Top Bottom