Kama umati unaokuja kukusikiliza ni kwa vitisho na kukandamiza watumishi na wanafunzi, nini faida ya umati huu?

Kama umati unaokuja kukusikiliza ni kwa vitisho na kukandamiza watumishi na wanafunzi, nini faida ya umati huu?

Londonboi

Member
Joined
May 5, 2024
Posts
40
Reaction score
56
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.

Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.

View attachment 3123191

Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?

View attachment 3123200
 
Last edited:
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
Wananchi wameahtuka....Mwenge hauna mashiko kwao.
 
Huyo mkurugenz anajua kuwatumia walimu,na anamashushu wa kutosha kila kata,kuna walimu ni makada wa ccm anawatumia sana
 
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
= halaiki.
 
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
Bado hujasema, nyanguge wewe ng'wana Magigisi
 
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
Eeh sasa huyo ni boss wao wamtii tu.
 
Watu wanaojitambua huwa hawaendi kwenye hivyo vitu za mambuzi ya kijani. Mtu atakaye jaribu kumtoa shuleni mwanangu ili kwenda kwenye hizo shughuli ajiandae kutenguliwa kiuno.
Umtowe wapi?

Mwenyewe hapo ulipo ni masikitiko ya wazazi.
 
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
Mwenyewe umejikakamua kuandika huu upuuzi elimu yako yote ya memkwa umemalizia hapa!
 
Nchi iwe ya chama kimoja, kuliko kuuana, usanii, kupoteza muda na pesa

hapohapo katiba mbovu, tume mbovu, wapinzani wabovu
 
Shida ipo kwa wakurugenzi halmashauri kutaka kumfurahisha aliyewateua. Kama sio chawa analazimishwa na waliomteua kwa kupewa maelekezo. Ujinga mtupu.
 
Shida ni kwamba ajira zinatoka kutokana na uchawa na kujuana, no sense of professionalism katika kuajiri watanzania. Maagizo na maigizo hayo yataendelea sana kwa hao wateule wa rais
 
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
wazalendo na washindi wote msikose CCM Kirumba tafadhali,

watumishi wote wa umma, wafanya biashara, wakulima, wavuvi, wanafunzi, wakina mama, wazee na watoto wate popote Mwanza, tukutane kizalendo CCM kirumba katika tukio la kitaifa la kizalendo..

msiwasilikilize wasio na ushawishi, walioshindwa hata kuandamana tu na waliofilisika hoja na kisiasa :pedroP:
 
Back
Top Bottom