Kama umati unaokuja kukusikiliza ni kwa vitisho na kukandamiza watumishi na wanafunzi, nini faida ya umati huu?

Kama umati unaokuja kukusikiliza ni kwa vitisho na kukandamiza watumishi na wanafunzi, nini faida ya umati huu?

Watumishi
Mtakaoenda mtakuwa mmekosa kazi ya kufanya hata kama rollcall itachukuliwa hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi yenu kwa wale watakaokosa kwenda ni vitisho tu kwamba kutakuwa na rollcall.Nenda ukipenda si kwa kulazimishwa.Start to have free mind kataeni kupelekeshwa kisa tu mmeajiriwa na hizo LGA
 
Watumishi
Mtakaoenda mtakuwa mmekosa kazi ya kufanya hata kama rollcall itachukuliwa hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi yenu kwa wale watakaokosa kwenda ni vitisho tu kwamba kutakuwa na rollcall.Nenda ukipenda si kwa kulazimishwa.Start to have free mind kataeni kupelekeshwa kisa tu mmeajiriwa na hizo LGA
TUCTA tupo bar sahivi tuna kulal bia
 
Nimezunguka Kona zote za jiji la mwanza na kubaini kuwa huyu bibi hawamkubali kabisa watu wa mwanza.waliohudhuria kwenye mkusanyiko wake ni watumishi na watoto wa shule za misingi Kwa kutishiwa na waajiri wao kufuatwa kazi wasipohitikeza hapa ccm kirumba
 
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200
Kuna ushenzi na ushetani mwingi nchi hii. Na kwenye ushetani huo, watumishi wa Serikali ni wahanga wa mwanzo.

Samia alivyoenda Ruvuma, watumishi wote toka vijiji vyote, mkoa mzima walilazimishwa kwenda Songea mjini, wakapelekewa magari, na wale ambao kwa sababu mbalimbali walishindwa kwenda, wameandikiwa barua na wakurugenzi kuwa wajieleze kwa nini wasifukuzwe kazi baada ya kudharau maelekezo ya mwajiri.

CCM imegeuka kuwa chama cha kishetani.

Mungu wetu, tunaomba, utuondolee shetani huyu ili tusiishi chini ya laana yake.
 
Back
Top Bottom