kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Matunda ya chama chako ,kilicholeta hiyo elimu ya memkwaMwenyewe umejikakamua kuandika huu upuuzi elimu yako yote ya memkwa umemalizia hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matunda ya chama chako ,kilicholeta hiyo elimu ya memkwaMwenyewe umejikakamua kuandika huu upuuzi elimu yako yote ya memkwa umemalizia hapa!
TUCTA tupo bar sahivi tuna kulal biaWatumishi
Mtakaoenda mtakuwa mmekosa kazi ya kufanya hata kama rollcall itachukuliwa hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi yenu kwa wale watakaokosa kwenda ni vitisho tu kwamba kutakuwa na rollcall.Nenda ukipenda si kwa kulazimishwa.Start to have free mind kataeni kupelekeshwa kisa tu mmeajiriwa na hizo LGA
Utumishi wa umma ni utumwa mkubwa snShida ipo kwa wakurugenzi halmashauri kutaka kumfurahisha aliyewateua. Kama sio chawa analazimishwa na waliomteua kwa kupewa maelekezo. Ujinga mtupu.
Watoa maamuzi ni wajinga haswaShida ni kwamba ajira zinatoka kutokana na uchawa na kujuana, no sense of professionalism katika kuajiri watanzania. Maagizo na maigizo hayo yataendelea sana kwa hao wateule wa rais
Kuna ushenzi na ushetani mwingi nchi hii. Na kwenye ushetani huo, watumishi wa Serikali ni wahanga wa mwanzo.Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu.
Jiji la Mwanza linahitimisha shughuli za mwenge wa taifa tarehe 14/10/2024. Lakini cha ajabu maandalizi yote kwa ajili ya kupokea mwenge huu yameleta adha kubwa kwa wanafunzi na watumishi kwa sababu masomo yanabidi kusimamishwa ili wanafunzi na walimu waende kupokea mwenge huu na kuhudhuria siku ya tukio husika. Kwa kipindi kama cha mwezi mzima watoto wamekuwa wakichukuliwa mashuleni kwenda kufanya mazoezi ya Alahiki kwa ajili ya shughuli hiyo. Watoto wanakatiza mabarabarani kwenda CCM Kirumba kwa ajili ya siku hiyo huku mvua na jua likiwa ni halali yao.
View attachment 3123191
Nini faida kiongozi mkuu unapata unapoona watu wamejaa kwenye mkutano wako kinafiki, huku mioyo yao ikibubujikwa machozi kutokana na kulazimishwa kuhudhuria kwenye mikutano hiyo pasipo mapenzi yao?
View attachment 3123200