Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
ChakiSasa mwalimu ataiba nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChakiSasa mwalimu ataiba nini
Hoja ya Kimaskini sanaa hii ukizani kufanya kazi Halmashauri ndio kuwa na kipato.kidogoooIkiwa wewe umeajiriwa Serikali za mitaa (Halmashauri) hapa nazungumzia Walimu na Manesi huku wanapitishia mishahara NMB ni bora ukabaki kwenye IST, Premio, Passo, Carina na Corolla. Ukivuka hapo hesabu maumivu au uwe mwizi.
NB: Ligi za Mazda CX5 sijui Land rover discovery 3 au 4 waachie vijana wa TRA, Immigration , PCCB, TANESCO na ofisi ya CAG.
2.9 million nayo unaona hela?Hivi unajua kwamba kuna mwalimu anavuta 2.95 million na anafundisha hapo s/m kibatavuzi
Labda Chaki na peni/kalam za wanafunzi 🙂Sasa mwalimu ataiba nini
Hiyo ni hela ndugu,haiwezi shindwa kufanya service ya gari2.9 million nayo unaona hela?
Hiyo bei ni showrooms sio????18m TZS
Gari za waalimu na Maaskari pia madereva Taxi..😆 kama hujafikia hatua ya kumiliki GARI ni kheri utulie kuna Mwenzenu analia huko:_
Najuta kununua 2009 Mitsubishi Pajero 3500Di-D: Auto
Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki. NB: Kupenda 'show-off' kumenitokea puani.www.jamiiforums.com
chuma iko poa sana, ukiifanyia maujanja ikaonekana kama hapo juu👆,
Nakumbuka TICHA WA VETA aliniambia CARINA inadumu na haitumii mafuta mengi. So nataka ninunue CARINA Ti mwakani 😁
chuma iko poa sana, ukiifanyia maujanja ikaonekana kama hapo juu👆,
naunga mkono hoja pia jitahidi uwe na backup ya pikipiki ,mimi pikipiki inanisaidia sana kazini kwangu ni kilometer 15 km kwenda na kurudi more than 30km per day ,mafuta ya 15k kwa gari,kwa mwezi mafuta ya laki4,Ikiwa wewe umeajiriwa Serikali za mitaa (Halmashauri) hapa nazungumzia Walimu na Manesi huku wanapitishia mishahara NMB ni bora ukabaki kwenye IST, Premio, Passo, Carina na Corolla. Ukivuka hapo hesabu maumivu au uwe mwizi.
NB: Ligi za Mazda CX5 sijui Land rover discovery 3 au 4 waachie vijana wa TRA, Immigration , PCCB, TANESCO na ofisi ya CAG.
Kwa walimu na manesi alisema labda wawe wezi, basi kwa hao TRA PCCB IMMIGRATION TANESCO itakuwa wanapitishia mishahara NMB ila ni weziKwani hao uliowataja TRA PCCB na wengineo hawapitishi mshahara NMB?
Ni mfanyakazi gani huyo ambae hana taaluma analipwa 2.2m? Taasis ipi?2.2m ni mshahara wa mfanyakazi wenye cheti cha form four mwenye D mbili hapo ujaweka bonus na allowance nyigine anaye fanya kazi mgodini.