Kama umeamua kunywea kilevi nyumbani hizi nyimbo ni muhimu kuzipiga

Jipige kifuani taratibu kisha sema maneno haya "Mimi ni Muhenga" hahahahahaaaa
 
Hizo Hip hop unasikiliza getho ukiwa unakula "mmea"
 
Mkuu umenikuna na hiyo choice yako acha nizitafute
 
Kwenye vigrocery mnatafuta Connection.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…