Kama umejenga nyumba, na hili ombi huliombi itakula kwako

Kama umejenga nyumba, na hili ombi huliombi itakula kwako

Sijui kusoma, hizo ni blabla tu hazina uthibitisho wowote zaidi ya mawazo hafifu mda mwingine tatizo la afya ya akili linaweza kuchangia hallucinations na illusion, na mtu akasimulia mkaona ni hivyo mnavyoita mapepo au ushetani.
Tatizo la afya ya akili linaanza kwa kumkataa Mungu na uwepo wake. Matokeo ya kumkataa Mungu kwa makusudi (Maana Huwa anajitambulisha mwenyewe moyoni mwa kila mtu) ni kujipiga ganzi, kujitoa fahamu na hata yakikupata unaya rationalize ili ionekane ni jambo la kawaida.

Warumi 1:19
Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.

Warumi 1:21
kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

Wewe ni mtu mzuri tu, sina shida na wewe siku ukichagua kuelewa, usisahau kuwahimalisha na wengine.
 
wengi wanajenga nyumba kwa pesa zilizopatikana kwa njia za uovu; wizi, dhuluma, ushoga, ukahaba, mauaji n.k hizo nyumba haziwezi kuwa na amani na furaha kamwe. 1 Wathesalonike 5:22 (NEN) Jiepusheni na uovu wa kila namna.
 
wengi wanajenga nyumba kwa pesa zilizopatikana kwa njia za uovu; wizi, dhuluma, ushoga, ukahaba, mauaji n.k hizo nyumba haziwezi kuwa na amani na furaha hata iweje.
Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA. Isaya 48:22.

Hawa hii haiwahusu labda wakubali kubadilika na kutubu, ili wawe wanufaika wa hii kanuni.
 
Tatizo la afya ya akili linaanza kwa kumkataa Mungu na uwepo wake. Matokeo ya kumkataa Mungu kwa makusudi (Maana Huwa anajitambulisha mwenyewe moyoni mwa kila mtu) ni kujipiga ganzi, kujitoa fahamu na hata yakikupata unaya rationalize ili ionekane ni jambo la kawaida.

Warumi 1:19
Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.

Warumi 1:21

kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

Wewe ni mtu mzuri tu, sina shida na wewe siku ukichagua kuelewa, usisahau kuwahimalisha na wengine.
Umetoa maneno ya kiimani ambayo yapo kwenye box la imani yako , yani unachokifanya unataka na mimi niingie kwenye hilo box ili useme huu ndio uhalisia wa mambo kumbe ni imani tu 😁😁


Atakuja mbudha nae na box la iman yake atasema hivyo .....


Atakuja mwislamu nae na box la imani yake atasema hivyo kwa namna yake ambayo pia ni tofauti na inapinga ya kwako....

Note ,kuamini ni haki ya mtu , ila kutaka kila mtu aamini unachokiamini wewe hapo lazima ukutane na maswali ambayo unatakiwa kuyatolea uthibitisho usio na mashaka.
 
Umetoa maneno ya kiimani ambayo yapo kwenye box la imani yako , yani unachokifanya unataka na mimi niingie kwenye hilo box ili useme huu ndio uhalisia wa mambo kumbe ni imani tu 😁😁


Atakuja mbudha nae na box la iman yake atasema hivyo .....


Atakuja mwislamu nae na box la imani yake atasema hivyo kwa namna yake ambayo pia ni tofauti na inapinga ya kwako....

Note ,kuamini ni haki ya mtu , ila kutaka kila mtu aamini unachokiamini wewe hapo lazima ukutane na maswali ambayo unatakiwa kuyatolea uthibitisho usio na mashaka.
Imani yangu haitaki kumthibitishia mtu kuhusu Mungu na uwepo wake. Hiyo kazi Mungu ameshaifanya amejithibitisha mwenyewe kwenye dhamiri ya kila mwanadamu. Ndio maana nimekupa tu mstari unaouita wa boxini ila unafunga hadi wote walionje ya box. Ma atheist nawafuatilia kwa karibu tena wenye uelewa mkubwa kuliko wako ila ninapotafuta aggregate ya uelewa wao nathibitisha ni kujitoa fahamu tu au ni majeruhi waliokwazwa kwenye mambo ya imani.

Ndio maana nikasaema hata wewe mkuu hayo unayosimamia umechagua, siku ukiamua kuchagua uthibitisho wa Mungu ndani yako pia hatutakufukuza. Tutakupokea 😃😃😃.

Tuko pamoja mdau.
 
Imani yangu haitaki kumthibitishia mtu kuhusu Mungu na uwepo wake. Hiyo kazi Mungu ameshaifanya amejithibitisha mwenyewe kwenye dhamiri ya kila mwanadamu. Ndio maana nimekupa tu mstari unaouita wa boxini ila unafunga hadi wote walionje ya box. Ma atheist nawafuatilia kwa karibu tena wenye uelewa mkubwa kuliko wako ila ninapotafuta aggregate ya uelewa wao nathibitisha ni kujitoa fahamu tu au ni majeruhi waliokwazwa kwenye mambo ya imani.

Ndio maana nikasaema hata wewe mkuu hayo unayosimamia umechagua, siku ukiamua kuchagua uthibitisho wa Mungu ndani yako pia hatutakufukuza. Tutakupokea 😃😃😃.

Tuko pamoja mdau.
Bado unazunguka tu haujajibu hoja yangu kwa kituo , kuna imani zaidi ya 6000 duniani kipi kinachokutofautisha kwamba yako iwe bora kuliko hizo nyingine 5999 ambazo zipo tofauti na zako ?
 
Hakuna kitu kama hicho , ukijenga imani ya kufikiri uchawi mara sijui mapepo ubongo una tabia ya kukuletea illusion za ajabu .

Nilisha kaa nyumba ambayo kila mtu aliamini ina mapepo sikuona chochote mpaka nilipomaliza kilichonipeleka pale,zaidi watu waliishia kuniita jini mara freemason na ujinga mwingine.


Note, sipingi mtu kuamini anavyotaka ila unaposema jambo hili ni kweli na ndivyo inatakiwa kila mtu lazima uwe na uthibitisho .
Kuna jamaa alikuwa anafanya biashara ya samaki. Na alijenga nyumba nami niliwahi kaa moja ya chumba cha hiyo nyumba nilipokuwa nafanya biashara zangu.
.
Walipoingia ndani mkewe alitoweka humo ndani.
.Na kila baada ya siku anatokea, wakina mama wanapiga wewe naye hutoweka.

.Hiyo nyumba mumewe ilibidi amuuzie mwalimu mmoja mstaafu naye ni marehemu kwa sasa.

.Hapo vipi unaingia ndani na mkeo mchana kweupe anatoweka!

.Hapo vipi mkuu?
 
Kuna jamaa alikuwa anafanya biashara ya samaki. Na alijenga nyumba nami niliwahi kaa moja ya chumba cha hiyo nyumba nilipokuwa nafanya biashara zangu.
.
Walipoingia ndani mkewe alitoweka humo ndani.
.Na kila baada ya siku anatokea, wakina mama wanapiga wewe naye hutoweka.

.Hiyo nyumba mumewe ilibidi amuuzie mwalimu mmoja mstaafu naye ni marehemu kwa sasa.

.Hapo vipi unaingia ndani na mkeo mchana kweupe anatoweka!

.Hapo vipi mkuu?
Hizi ni hadithi tena za abunuasi 😁😁 ukishajenga imani ya namna hiyo lazima kuna namna utakutana na mauzauza ya kiakili tu ,ambayo kifikra ya naweza kutengeneza picha ambayo huja kama uhalisia , kuna jamii za watu wengi sana wanaishia kuishi kwenye matrix ya kifikra tu maisha yao yote .

Wakiona mwingine yupo nnje ya hiyo matrix wanaona kama sijui ni mchawi na majina mengine mengi .


Ulimwengu upo katika uhalisia wake na unakanuni zake za msingi uwe unaamini au hamuamini lazima ziwe ,ila ndani ya huu Ulimwengu wapo watu wengi tu wanaishi ndani ya matrix katika ulimwengu wa kifikra na wanaona ni uhalisia kabisa .

Na ndio maana katika matrix ya mbinguni ya waislamu ni tofauti na ya wabudha wahindu wayahudi na hata wakristo .
 
Yote uliyoeleza ni sawa, lakini jambo jingine ambalo linawatokea sana watu wakishajenga. 'Kifo'.

Watu wengi wakishakamilisha kujenga nyumba zao hufariki hata kabla hawajahamia ama kwa kuishi muda mfupi sana.

Chunguza hilo na utuletee suluhisho.
Sio kweli,Labda washirikina,Babu yangu alijenga Nyumba ya maaana 1959kaja kufariki 1990!
 
Kuna jamaa alikuwa anafanya biashara ya samaki. Na alijenga nyumba nami niliwahi kaa moja ya chumba cha hiyo nyumba nilipokuwa nafanya biashara zangu.
.
Walipoingia ndani mkewe alitoweka humo ndani.
.Na kila baada ya siku anatokea, wakina mama wanapiga wewe naye hutoweka.

.Hiyo nyumba mumewe ilibidi amuuzie mwalimu mmoja mstaafu naye ni marehemu kwa sasa.

.Hapo vipi unaingia ndani na mkeo mchana kweupe anatoweka!

.Hapo vipi mkuu?
Shetani nae hujigeuza Malaika wa Nuru!
 
Sio kweli,Labda washirikina,Babu yangu alijenga Nyumba ya maaana 1959kaja kufariki 1990!
Siyo wote mkuu wanaojenga na kisha kufariki hapana na hakuna uchunguzi supportive wa kisayansi.

Idea hii nilianza kuichunguza kutokana na wazee wa kule Musoma kwa maneno waliyosema baada ya kifo cha Nyerere wakihusianisha na nyumba mpya.

Walisema kuwa mila za kwao haziruhusu mtu mzee ama mtu mzima kujenga nyumba mpya na kuhamia.

Wakahusisha nyumba mpya ya Nyerere aliyohamia baada ya kujengewa na Jkt, wakasema humo walitakiwa kuhia vijana.

Nikaja baadaye nikajiridhisha kwa kuona nyumba mpya nyingi zinazojengwa na watu wazima, wakihamia huwa hawachukui muda mrefu na kufa.
 
Hizi ni hadithi tena za abunuasi 😁😁 ukishajenga imani ya namna hiyo lazima kuna namna utakutana na mauzauza ya kiakili tu ,ambayo kifikra ya kutengeneza picha ambayo huja kama uhalisia , kuna jamii za watu wengi sana wanaishia kuishi kwenye matrix ya kifikra tu maisha yao yote. .

Wakiona yupo nnje ya hiyo matrix wanaona kama sijui ni mchawi na majina mengine mengi .


Ulimwengu upo katika uhalisia wake na unakanuni zake za msingi uwe unaamini au hamuamini lazima ziwe ,ila ndani ya huu Ulimwengu wapo watu wengi tu wanaishi ndani ya matrix katika ulimwengu wa kifikra na wanaona ni uhalisia kabisa .

Na ndio maana katika matrix ya mbinguni ya waislamu ni tofauti na wabudha wahindu wayahudi na hata wakristo .
Nakuambia mifano ya kusimuliwa huamini!!
Sawa nakupa mfano mwingine.
.Kuna jamaa alijenga nyumba yake safi na kupanda migomba katika eneo lake, na ilikubali sana.
Lakini kila akitamani aende kuishi kwenye nyumba yake alishindwa.
Ilikuwa miaka ya 80 huko.
.
Nyumba ilikaa miaka mingi sana. Huku yeye akihangaika kwenye nyumba za kupanga pamoja na family.

. Haya wewe usiamini uchawi upo unasemaje?
.
Na ikiwa hauamini haya basi hata vitabu vya dini usiviamini.
Maana vinaeleza kuwa uchawi upo.
 
Nyie kina min -me na huyo utopolo wako KENZY yani hamuamini maneno simple tuu kama hayo?? Yani hamna hata chembe kiduchu ya imani aisee....mbona mistari ipo clear kabisa...ni ukweli mtupu...bariki ardhi yako na nyumba yako ukae na uzae humo uongeze dunia...
Mimi sio mlokole ni mkatoliki pyuaaa...kabla hatujaanza kujenga huwa tunamuita Padri anabariki ardhi yetu then tukitaka kuhamia anabariko nyumba...neema na baraka tunaziona ulinzi wa Mungu upo...
usije ukafikiri hatujaishi hayo maisha,sisi hatupatikani sayari ya Neptune huko tunaishi humuhumu duniani na ku experience mambo kama nyinyi mnavyo experience!.

tumezaliwa na wazazi haohao ambao ni waamini, utofauti upo hapa mambo ya imani mara nyingi hayana uhalisia! utaomba,utalia,utaabudu but nothing will change until you take steps by yourself!,hakuna kitu kinaitwa muujiza!.. wanaoamini na wasioamini ktk maisha wanapitia mambo sawasawa tena mara nyengine huenda mnaoamini ndio mnapata tabu zaidi kushinda hata wasioamini!.

Mungu wenu yupo wapi ili aonyeshe tofauti kati ya anaeamini na asieamini...?
no body turned me into this except the bible itself!, depends on how you read it... most of people they are reading bible with closed minds!, the reality of life is not from those books you believe in it,the reality is experience.. vitabu vingi vya imani ni kuteka akili tu hakuna chaziada!.

kupitia hizo imani mtakamuliwa mno na hamtakuja kuona huyo Mungu akiwasaidia!, hakuna kitu kinaitwa utakatifu, mtakatifu kama Mungu anawachukulia nyote sawa hawezi kutenga yupi wa kumsikiliza na yupi si wakumsikiliza!.. hakuna kitu kinaitwa uponyaji kupitia imani!

kaa chini tafakari vizuri wewe kabla ya kurithishwa imani yoyote ile ungekuwa unaamini nini..?
ila ukweli ni huu kama binadamu hata jikuna mgongo wake mwenyewe hakuna mkono utashuka uje ukukune mgongo wako,uwezo wako utalapoishia basi nawe ndo kwisha!.
 
Nakuambia mifano ya kusimuliwa huamini!!
Sawa nakupa mfano mwingine.
.Kuna jamaa alijenga nyumba yake safi na kupanda migomba katika eneo lake, na ilikubali sana.
Lakini kila akitamani aende kuishi kwenye nyumba yake alishindwa.
Ilikuwa miaka ya 80 huko.
.
Nyumba ilikaa miaka mingi sana. Huku yeye akihangaika kwenye nyumba za kupanga pamoja na family.

. Haya wewe usiamini uchawi upo unasemaje?
.
Na ikiwa hauamini haya basi hata vitabu vya dini usiviamini.
Maana vinaeleza kuwa uchawi upo.
Vitabu vya dini , Mungu na shetani ,hawa ni characters wanaopatikana vitabuni humo na ukiamini utaishi katika hiyo imani yako pasipo kuwa na hakika mpaka unakufa namaisha yanaendelea kama kawaida .

Hoja yako bado ipo kawaida tu wala haithibitishi uchawi kwa namna yoyote ile.

Ndio maana nikasema imani ni imani tu haithibishi kuwa hayo ni ya ukweli.
 
usije ukafikiri hatujaishi hayo maisha,sisi hatupatikani sayari ya Neptune huko tunaishi humuhumu duniani na ku experience mambo kama nyinyi mnavyo experience!.

tumezaliwa na wazazi haohao ambao ni waamini, utofauti upo hapa mambo ya imani mara nyingi hayana uhalisia! utaomba,utalia,utaabudu but nothing will change until you take steps by yourself!,hakuna kitu kinaitwa muujiza!.. wanaoamini na wasioamini ktk maisha wanapitia mambo sawasawa tena mara nyengine huenda mnaoamini ndio mnapata tabu zaidi kushinda hata wasioamini!.

Mungu wenu yupo wapi ili aonyeshe tofauti kati ya anaeamini na asieamini...?
no body turned me into this except the bible itself!, depends on how you read it... most of people they are reading bible with closed minds!, the reality of life is not from those books you believe in it,the reality is experience.. vitabu vingi vya imani ni kuteka akili tu hakuna chaziada!.

kupitia hizo imani mtakamuliwa mno na hamtakuja kuona huyo Mungu akiwasaidia!, hakuna kitu kinaitwa utakatifu, mtakatifu kama Mungu anawachukulia nyote sawa hawezi kutenga yupi wa kumsikiliza na yupi si wakumsikiliza!.. hakuna kitu kinaitwa uponyaji kupitia imani!

kaa chini tafakari vizuri wewe kabla ya kurithishwa imani yoyote ile ungekuwa unaamini nini..?
ila ukweli ni huu kama binadamu hata jikuna mgongo wake mwenyewe hakuna mkono utashuka uje ukukune mgongo wako,uwezo wako utalapoishia basi nawe ndo kwisha!.
Ndio maana huwa nasema hawa jamaa wanaishi kwenye huu Ulimwengu huku wakiwa ndani ya matrix wapo wanatazama upande mmoja wa shilingi tu.
 
Ndio maana huwa nasema hawa jamaa wanaishi kwenye huu Ulimwengu huku wakiwa ndani ya matrix wapo wanatazama upande mmoja wa shilingi tu.
watakoma wao! huku mtaani kuna vitu vinatokea vya ajabu watu hata hawakomi yani ni upuuzi mtupu!
 
Vitabu vya dini , Mungu na shetani ,hawa ni characters wanaopatikana vitabuni humo na ukiamini utaishi katika hiyo imani yako basi kuwa na hakika mpaka unakufa namasha yanaendelea kama kawaida .

Hoja yako bado ipo kawaida tu wala haithibitishi uchawi kwa namna yoyote ile.

Ndio maana nikasema imani ni imani tu haithibishi kuwa hayo ni ya ukweli.
Uelewe uko wapi.

lmani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Kitu ukikiona au kimeonekan kwa macho sio Imani hiyo.

Nimesimulia vitu vilivyoonekana kwa macho.
 
Uelewe uko wapi.

lmani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Kitu ukikiona au kimeonekan kwa macho sio Imani hiyo.

Nimesimulia vitu vilivyoonekana kwa macho.
Ukisha kuwa na uhakika hiyo sio imani tena, imani ni kutokua na uhakika ila unamini tu bila uthibitisho wowote .

Uhakika maana ya kimeshathibitishwa .
 
usije ukafikiri hatujaishi hayo maisha,sisi hatupatikani sayari ya Neptune huko tunaishi humuhumu duniani na ku experience mambo kama nyinyi mnavyo experience!.

tumezaliwa na wazazi haohao ambao ni waamini, utofauti upo hapa mambo ya imani mara nyingi hayana uhalisia! utaomba,utalia,utaabudu but nothing will change until you take steps by yourself!,hakuna kitu kinaitwa muujiza!.. wanaoamini na wasioamini ktk maisha wanapitia mambo sawasawa tena mara nyengine huenda mnaoamini ndio mnapata tabu zaidi kushinda hata wasioamini!.

Mungu wenu yupo wapi ili aonyeshe tofauti kati ya anaeamini na asieamini...?
no body turned me into this except the bible itself!, depends on how you read it... most of people they are reading bible with closed minds!, the reality of life is not from those books you believe in it,the reality is experience.. vitabu vingi vya imani ni kuteka akili tu hakuna chaziada!.

kupitia hizo imani mtakamuliwa mno na hamtakuja kuona huyo Mungu akiwasaidia!, hakuna kitu kinaitwa utakatifu, mtakatifu kama Mungu anawachukulia nyote sawa hawezi kutenga yupi wa kumsikiliza na yupi si wakumsikiliza!.. hakuna kitu kinaitwa uponyaji kupitia imani!

kaa chini tafakari vizuri wewe kabla ya kurithishwa imani yoyote ile ungekuwa unaamini nini..?
ila ukweli ni huu kama binadamu hata jikuna mgongo wake mwenyewe hakuna mkono utashuka uje ukukune mgongo wako,uwezo wako utalapoishia basi nawe ndo kwisha!.
Mhhhhhh....mimi kwny haya mambo huwa sibishani...
Byeeeee
 
Back
Top Bottom