REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
kama ulikuwa na tatizo lolote sup nk na haukugraduate ukwelu ni kwamba ajira hizi mpya mwaka huu wamebana wale wenye sup sijui nini hawapo andaa kuopokea maumivu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ulikuwa na tatizo lolote sup nk na haukugraduate ukwelu ni kwamba ajira hizi mpya mwaka huu wamebana wale wenye sup sijui nini hawapo andaa kuopokea maumivu.
kama ulikuwa na tatizo lolote sup nk na haukugraduate ukwelu ni kwamba ajira hizi mpya mwaka huu wamebana wale wenye sup sijui nini hawapo andaa kuopokea maumivu.[/QU
sasa kama umefelii then.....uwe teacher
rudi chuo usapuee then next year ndo uajiriweee
Ajira yenyewe mshahara kama posho
Ajira yenyewe mshahara kama posho
sizitaki mbichi hizi wiv wa nini mtoto wa kiume?? Tabia za kike hizo bana,na je wanao lipwa elfu 80 na wapo sekta binafsi unawaongeleaje?? Watu wa tabia kama yapo mafanikio mtayasikia kwenye ndoto sababu kutwa kucha kudharau ya wenzio, unaweza ukawa unaona hufanikiwi kumbe mafanikio yako unayaziba kwa kinywa chako.huenda unatafuta kuwa furahisha watu humu bt scan youe mouth before mkuu.
sizitaki mbichi hizi, wivu wa nini mtoto wa kiume?? Tabia za kike hizo bana,na je wanao lipwa elfu 80 kwa mwezi na wapo sekta binafsi unawaongeleaje?? Watu wa tabia kama yapo mafanikio mtayasikia kwenye ndoto sababu kutwa kucha kudharau ya wenzio, unaweza ukawa unaona hufanikiwi kumbe mafanikio yako unayaziba kwa kinywa chako.huenda unatafuta kuwa furahisha watu humu bt scan your mouth before mkuu kama unataka sifa hapa jf ni kweli watakusifia hafu...!!!? Msijitie mikosi kwa vinywa vyenu huenda mshahara huohuo ndio alio kusomeshea babaako pamoja na kwamba bado hujaelimika.