Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Hahha me sitaki kuongea sana leo. Pale ulipoaminishwa kuwa your whole life revolves around marriage, basi unahisi wote ambao hawajaolewa wana shida na kulia kweli kweli, na wewe uliyeolewa ndo umeyapatia na kumaliza maisha.. Uzuri si tunayaona kwa macho bana teh. Ila thamani ya mtu inaanzia ndani yake mwenyewe regardless of his/her status.

Ndoa ni kitu chema sana, ila sio kitu chema pekee kwenye maisha ya mtu, so hata bila ndoa mtu bado ana mambo mema mengi tu ya kumfanya amshukuru Mungu na aishi kwa furaha. Na usimdharau mtu ambaye hajaolewa, coz hata yeye anaweza kuja kuolewa na hata kama asipoolewa bado huna sababu ya kumdharau. So we should live and let live, afu huo muda wa kuchunguza fulani ana furaha au hana kwa sababu hajaolewa, wewe unautoa wapi jamani, na amekushirikisha kuwa hana furaha au ndo wishes zako? Na mtu achague tu anayemtaka, maana akijibebea tu, yeye ndo atakayekuja kulia huko ndoani. Maana siku hizi kama hujaolewa basi watu wanalazimisha tu ubebe yeyote aliye mbele yako, ukikataa tu "ooh anachagua sana", wao hawakuwa na vigezo?
Duh! We kweli imekuchoma so povu hili aisee!!!
 
Pale ambapo kuna kitu umekisubiri kwa muda sasa umekipata basi full shida kwa sie wengine
hahahaha mtoa mada tunajua una ndoa sasa pambana na hali yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
@golddiggers at work migodi nowadays hakuna kpindi hiki cha magu pambaneni na hali zenu!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwakweli mkwe hakutakii mema, anataka ufe kwa stress?
Auntie nitakufwa na stress ujue, ngoja nijitafutie mwingine
 
Kuna mmoja kaweka uzi huku ndani anajiita Gone Gud. Kuweni nahe makini ni anajidai ana miliki mali ili akupime akili kujua wewe una nini akisha kujua anajipima kama anaendana na wewe... Kumbe hana mali yoyote hana lolote utasikia mm nina jenga, nina miliki business mara nina company yangu.. Yaan mbwembwe kibao.. Mwambie sasa akutumie picha utachoka hahahahaah kumbe anaanglia una mali kiasi gani... Kibaya akakutana na mm sitikisiki na mali na nika mficha nilicho nacho nika jishusha kuhusu maisha yangu ili asijue na kama ana mapenzi yadhati nimuone mwishowe hahahahah mwisho wasiku akajiaminisha life langu lakawaida si akaanza nyodo.. Hapo hatujakutana ila akaanza kiburi nikajua huyu alikuwa malaya wa haja.. Angejua anachat na mtu gani ange pagawa..

Wanawake wa huku jamii full kudanga
 
ndo wengi hivyo mi nakwambia...hata ukiwa nazo usimuoneshe kwanza uone kama kweli atataka kuolewa kwa dhati
Good that is the best solution usimwambie una nini mwache ajitape kwanza kisha mtadhimin mpaka ujiridhishe maaana makahaba wengi kweli humu...
 
Mtoa mada;huoni mada za malalamiko ya ndoa au umekuwa blind,

kama ni hela embu kuwa real,wewe hupendi???????????

sio wanawake wote wamekosa wanaume wa kuoa,

wengine wana high standards and they are not ready to settle for less,

the cost of this standards ni kutokua na mtu,kama hakidhi vigezo vyake,

ni hayo tu mkuu
 
Mdada amecheza kwaito kibao bila kuolewa hadi akitembea, anatembea kama anacheza kwaito. Yaani kikwaitokwaito. Hadi raha! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nawatania mwayego, ata sio kweli.
 
Back
Top Bottom