Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Nani kagombana sasa?Nyie hebu tulieni sasa.
Acha kugombana na mke mwenzako.
Watoto wenu ni ndugu.
Sema tumchape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kagombana sasa?Nyie hebu tulieni sasa.
Acha kugombana na mke mwenzako.
Watoto wenu ni ndugu.
Mie mweusi kama chungu...Unampenda mke mwenza?
Hivi we na yeye nani mweupe kumshinda mwenzie?
Duh! We kweli imekuchoma so povu hili aisee!!!Hahha me sitaki kuongea sana leo. Pale ulipoaminishwa kuwa your whole life revolves around marriage, basi unahisi wote ambao hawajaolewa wana shida na kulia kweli kweli, na wewe uliyeolewa ndo umeyapatia na kumaliza maisha.. Uzuri si tunayaona kwa macho bana teh. Ila thamani ya mtu inaanzia ndani yake mwenyewe regardless of his/her status.
Ndoa ni kitu chema sana, ila sio kitu chema pekee kwenye maisha ya mtu, so hata bila ndoa mtu bado ana mambo mema mengi tu ya kumfanya amshukuru Mungu na aishi kwa furaha. Na usimdharau mtu ambaye hajaolewa, coz hata yeye anaweza kuja kuolewa na hata kama asipoolewa bado huna sababu ya kumdharau. So we should live and let live, afu huo muda wa kuchunguza fulani ana furaha au hana kwa sababu hajaolewa, wewe unautoa wapi jamani, na amekushirikisha kuwa hana furaha au ndo wishes zako? Na mtu achague tu anayemtaka, maana akijibebea tu, yeye ndo atakayekuja kulia huko ndoani. Maana siku hizi kama hujaolewa basi watu wanalazimisha tu ubebe yeyote aliye mbele yako, ukikataa tu "ooh anachagua sana", wao hawakuwa na vigezo?
@golddiggers at work migodi nowadays hakuna kpindi hiki cha magu pambaneni na hali zenu!!!Pale ambapo kuna kitu umekisubiri kwa muda sasa umekipata basi full shida kwa sie wengine
hahahaha mtoa mada tunajua una ndoa sasa pambana na hali yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata wewe pambana na hali yako mkuu@golddiggers at work migodi nowadays hakuna kpindi hiki cha magu pambaneni na hali zenu!!!
Na kweli kuna wanao taka wenye magari wakati kwao ukoo mzima hakuna anayemiliki gari!
UmeonaeeeeHa haha mtoa mada kazua balaa naona
Auntie nitakufwa na stress ujue, ngoja nijitafutie mwingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwakweli mkwe hakutakii mema, anataka ufe kwa stress?
Good that is the best solution usimwambie una nini mwache ajitape kwanza kisha mtadhimin mpaka ujiridhishe maaana makahaba wengi kweli humu...ndo wengi hivyo mi nakwambia...hata ukiwa nazo usimuoneshe kwanza uone kama kweli atataka kuolewa kwa dhati
subiri deadline ziwakute. utakuta wameanza kudandia kila wanayemuona. siku moja tu ya mahusiano wanauliza utanioa lini.
NI ILE TAREHE JAMII INAANZA KUWAHOJI KWANINI HAWALETI WAKWE. AU KIPINDI KILE MIMBA ZIPO MATUMBONI NA ALIYEGAWA MIMBA KAOADeadline ni tarehe ngapi?
Ee mama ngoja nitafute furaha ya kudumu mieeMwenza nawe unatafuta furaha?
Hehee...wanawake wa kibongo biggest achievement yao ni ndoa..Pale ambapo kuna kitu umekisubiri kwa muda sasa umekipata basi full shida kwa sie wengine
hahahaha mtoa mada tunajua una ndoa sasa pambana na hali yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watakwambia maneno ya mkosaji shauri yakoHehee...wanawake wa kibongo biggest achievement yao ni ndoa..
[emoji3] [emoji1] [emoji28]Mdada amecheza kwaito kibao bila kuolewa hadi akitembea, anatembea kama anacheza kwaito. Yaani kikwaitokwaito. Hadi raha! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nawatania mwayego, ata sio kweli.
Anauza mfereji maringo wake huyo.Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!