Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
"That awkward moment when all i want is cuddle next to someone then i realise that am single"Utasikia hata hapa hapa kwenye huu uzi,nina pesa sijui nina elimu,mwanangu nitamlea mwenyewe wakati ikifika usiku akijikuta mwenyewe with that huge bed alone haaaaa anawawaza hadi ma bff wa shule ya msingi.
Nishakua single na baada ya kuolewa nimegundua ni best part of the life.hawa wanaoongea -ve kuhusu maisha ya ndoa hawajapata hiyo nafasi
Aisee kama wiki mbili zilizopita nikavuta jiko.... hivi mualiko sikukupa eeh.Umeoa lini?
Wanadanganya wenzio mana wao washashindikana na ni manunga embe tu hata ukisoma comment unaona wazi kabisamkuu angalia nyuzi na coment za wanawake yaani daah,humu ndani wanadanganya sana wenzio
Mke wa mtu ni SUMU utauliwa bure wewe dogoBillions of likes na makiss kibao. We una akili sana sema basi tu. Umeongea maneno mazito sana dada yangu.... Sana. Mi huwa nakaa pemben nawacheck wale wanaosema eti kwa sasa hawatak wanaume kumbe wao ndo hawatakiw. Mtu umri ameshafika jioni... Na wanaume tunachagua sana. Acha tu wawe maids na stage show wa kwaito. By the way naweza pata namba yako ya simu ili nimpigie mumeo kupitia simu yako kumpongeza kuwa amepata mke? Thank yu
nadhan Mungu kakusikiaWala sitaki mme.
Tukiachana na aliyendika thread vipi kuhusu message yake?Mi siamini kama aliyeandika thread hii ni mwanamke,bado sijaamini.
Hamtak kuelewa message mnataka kujua jinsia ya mtu..maneno ya ukweli mchunguNimesoma bandiko lako ila bado nawaza wewe ni Ke? Thread yako imekaa kama imeandikwa na Me.
Wamekusikia ingawa umetumia maneno makali.
Sawa diaMimi ni mwanamke my dear.ila nina kaka na wadogo zangu wakiume aisee kaka washaoa bado wadogo zangu nina waonea huruma sanaa.maana hii mitandao imebadilisha roho za watu sana...mama zetu mbona waliweza jamani
Hivi kwanini mnang'ang'ania kujua jinsia ya mtu lakin sion mtu akisema kama lililosemwa ni la kweliMi siamini kama aliyeandika thread hii ni mwanamke,bado sijaamini.
Uchangamkie fursa kwa mke wa mtu utakuja kufa wewe kama sio kulogwaHa ha ha siku zote tunaambiwa kuchangamkia fursa.
Hamna kipya kwenye message yake ambacho mwanamke hakijui,wanawake wote wanayajua hayo ila sio lazima kuyafatisha sababu maisha hayana formula kama vile watu wanavojua ubaya wa sigara na bado wakaendelea kuvuta.Tukiachana na aliyendika thread vipi kuhusu message yake?
Sana,Kwahiyo waliopo kwenye ndoa waendelee kupalilia na kumwagilia maji
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!