mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Haha hana masimamoHe he mbona umemganda mwenzio hvyo leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hana masimamoHe he mbona umemganda mwenzio hvyo leo
SanaaNa umemwelewa?
Ukweli hamtaki kuusikia wanawake, maneno yako hayageuzi jinsia yangu nakuwa mwanamke.Shost mbona una hasira sana?
Ndo umetoka kuolewa juzi juzi nini? Ndoa bado changa? Maana si kwakuprovoke huku[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
Nikuulize wew aisee kwann lakin umepotea hvyooDuuuh upo
Hahaaaa nadhani nilitekwa na watu wasio julikanaNikuulize wew aisee kwann lakin umepotea hvyoo
Itakuwa kweli aisee....lkn nashukuru kama wamekuachiaHahaaaa nadhani nilitekwa na watu wasio julikana
. Oleweni tu jamani acheni kutoa mastress yenu humu ndani na kujifanya maisha yenu yapo perfect sana na kuona walioolewa wamekosea sana.
Kuolewa kuna raha yake bwana hata kama umeolewa na mwanaume wa aina gani. Mwanaume wako tena wa ndoa ni raha jamani. Awe broke, sijui free p, yukoje yukoje, saidianeni maisha usisikilize pumba za wanawake waliokosa kuolewa humu ndani.
.
Dah, haya, that's life!2009-2014
Haha hahaAmeniita broke ass mungu anamuona!!
Hahaha acha uwongo...alafu si vzr kuja kimya kimyaKabisaa saizi niko free, nimekuja arusha mara 2 nakupigia hupatikanii