Kama Umeona Maafisa Ugani Wenye Vishkwambi, Pikipiki na Vipima Udongo, Njoo Hapa

Kama Umeona Maafisa Ugani Wenye Vishkwambi, Pikipiki na Vipima Udongo, Njoo Hapa

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.

Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.

Screenshot_20221215-174343.png
Screenshot_20221215-174056.png
 
Pikipiki ndiyo hizi tunazoziona zimebeba mizigo ya kupeleka madukani mwa maafisa, huku zikiwa zimefunikwa plate numbers, tena muda wa kazi, zikishusha mzigo, ndiyo zinafunuliwa hizo plate number bers.

Kazi ipo sana.
 
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.

Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.View attachment 2447736View attachment 2447735
Tulipigwa mjomba,na bado
 
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.

Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.

View attachment 2447736View attachment 2447735
Mimi nina declare interest. Siku zote nimekuwa supporter mkubwa wa Hussein Bashe kuanzia akiwa Mbunge, Naibu Waziri na sasa FULL Waziri.

Hii ni RED FLAG kwako Bashe, kama unapita humu basi chukua hatua, usije kulaumu kuwa hukutaarifiwa. Hizo vitendea kazi umewagawia hao maafisa kuboresha maisha yao. Havina tija kwa kilimo cha Tanzania. Huu mkakati upo zaidi KINADHARIA kuliko kiukweli.

Tusubiri MKEKA wa Mama kama alivyoahidi kwenye mkutano wa CCM last week Dodoma
 
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.

Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.

View attachment 2447736View attachment 2447735
Utaambiwa hawana fungu la pesa za mafuta na posho za hardship allowance
 
Pikipiki wanapigia bodaboda usiku na kubebea michepuko.

Vishikwambi wanatumia kusifia wahuni wa kijani.

Kifupi hakuna matoke ya kile kilichotarajiwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pikipiki wanapigia bodaboda usiku na kubebea michepuko.

Vishikwambi wanatumia kusifia wahuni wa kijani.

Kifupi hakuna matoke ya kile kilichotarajiwa.

#MaendeleoHayanaChama
Hii ni kashfa kubwa tu sawa na kashfa nyingine za ufisadi. Natarajia tutayaonà haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka ujao
 
Pikipiki wanapigia bodaboda usiku na kubebea michepuko.

Vishikwambi wanatumia kusifia wahuni wa kijani.

Kifupi hakuna matoke ya kile kilichotarajiwa.

#MaendeleoHayanaChama
Sasa Serikali hii inaweza nini?
 
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.

Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.

View attachment 2447736View attachment 2447735
4DD7B595-CD4E-491E-B5A0-755B5937FE28.jpeg
 
Pikipiki ndiyo hizi tunazoziona zimebeba mizigo ya kupeleka madukani mwa maafisa,huku zikiwa zimefunikwa plate numbers, tena muda wa kazi, zikishusha mzigo, ndiyo zinafunuliwa hizo plate number bers.

Kazi ipo sana.
Wewe utakua ni mtanzania mjinga na mwenye roho mbaya. Malalamiko yako umeyafikisha wapi na kwa nani? Acha majungu
 
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.

Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.

View attachment 2447736View attachment 2447735
Uko mkoa Gani? Kuna baadhi ya mikoa bado. Mfano Rukwa.
 
Back
Top Bottom