Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.
Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.
Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.