Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maafisa Kilimo/ Mifugo ni moja wapo ya kundi la watumishi serikalini lisilo na mtetezi.Mimi nipo halmashauri ya mkoa mojawapo nyanda za kusini. Ukweli ni kwamba kupitia vikao vya halmashauri ilielezwa kwamba pikipiki hizi zingeletwa lakini hadi leo hakuna hata pikipiki moja ya afisa ugani iliyofika.Kati ya mwezi Machi na June Waziri wa Kilimo aling'ara sana na kuimarisha huduma za Kilimo Vijijini. Wengi tulimsifia kuwa anaupiga mwingi na yeye ndiye mfano kwa mawaziri wengine. Moja ya mikakati yake ilikuwa ni kuwa wezesha Maafisa Ugani na vitendea kazi kama Pikipiki, Vishkwambi na Vipima Udongo.
Mimi maeneo niliyopita sijakutana na hawa wataalamu na sasa ni miezi 6 yoka wamaegawa vifaa tajwa. Kama wewe kijijini kwako umewaona, tafadhali njoo hapa utoe ushuhuda.
View attachment 2447736View attachment 2447735