Afiti kuongoza Jamii ya watu walioelimika na kustaarabika, anatumia kanuni za kuongozea mifugo kuongozea watu.Huyu mzee hastahili kuendelea kuwepo ikulu hata kwa wiki tu. Ni kwa utaratibu tu inabidi tumtoe iyo Oktoba 28 kwa sanduku la kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afiti kuongoza Jamii ya watu walioelimika na kustaarabika, anatumia kanuni za kuongozea mifugo kuongozea watu.Huyu mzee hastahili kuendelea kuwepo ikulu hata kwa wiki tu. Ni kwa utaratibu tu inabidi tumtoe iyo Oktoba 28 kwa sanduku la kura
Machinga alituuzia dhahabu feki,Bora angebakia kwenye kuhesabu kilometers za barabara tu huku anapwaya Sana ajui chochote kuhusu modern external world.Jiwe ni laana kwa nchi yetu
Zaidi ya kujenga madaraja sidhani kama anaweza kutatua matatizo mengine ya watu.Amani iwe nanyi wandugu!!
Leo Magufuli akiwa Kagera ameahidi kulipatia ufumbuzi tatizo la zao la kahawa Kagera!!! Labda tumuulize tu, alikuwa wapi siku zote?? Na utatuzi gani huo atakaowapatia wana Kagera kipindi hiki cha kampeni??
Haya yote anayoahidi leo aliyaahidi 2015, alishindwa wapi na ni vipi ataweza?? Huyu mtu sio wa kuaminiAmani iwe nanyi wandugu!!
Leo Magufuli akiwa Kagera ameahidi kulipatia ufumbuzi tatizo la zao la kahawa Kagera!!! Labda tumuulize tu, alikuwa wapi siku zote?? Na utatuzi gani huo atakaowapatia wana Kagera kipindi hiki cha kampeni??
Jpm amefeli sanaInatosha miaka mitano,hakuna jambo linaloenda sawa kila sehemu ni vilio. Na yeye alishasema mara kadhaa kuwa kazi ya Urais ni ngumu, basi apumzike ameshachokwa pia
"Miaka 59 tangu tupate Uhuru mtu bado unahubiri kuleta maji? Sasa kazi ya Serikali ni Nini?"Watanzania wamefanywa Mazezeta na CCM
Hahaha inabisi Lissu aende akawakumbusheSikuwaletea tetemeko,