Kama umesoma kwa kodi za Wananchi na unapotosha wananchi hao kwa masilahi binafsi unajisikiaje?

Kama umesoma kwa kodi za Wananchi na unapotosha wananchi hao kwa masilahi binafsi unajisikiaje?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Nimekaa sehemu nimesikiliza professor mmoja mmbobezi wa somo la Development studies kwa kifupi DS.

Akijikita kuwaeleza wananchi ambao tayari wananchi hao wana mkataba huo mbovu mkononi. Kuwa mkataba huo waliyoushika mkononi unatija wakati ni mbovu.

Mimi binafsi naona ni usaliti ubinafsi, wizi na ufisadi na kujishushia heshima ambayo kwa miaka mingi alijitahidi kuijenga.

Siyeye pekee naona ni wasomi wengi wa kodi za wananchi wapotosha vitu mbali mbali tu.

Wasomi wote watuombe msamaha wananchi na waende kwenye nyumba za ibada kutubu.
 
Kwani hii nchi ya baba yako?



Inakela sana yani. Kuna watu hata ukiwakuta sehemu unawaangalia tu hata salamu unaoa haiwafai.
 
Nimekaa sehemu nimesikiliza professor mmoja mmbobezi wa somo la Development studies kwa kifupi DS.

Akijikita kuwaeleza wananchi ambao tayari wananchi hao wana mkataba huo mbovu mkononi. Kuwa mkataba huo waliyoushika mkononi unatija wakati ni mbovu.

Mimi binafsi naona ni usaliti ubinafsi, wizi na ufisadi na kujishushia heshima ambayo kwa miaka mingi alijitahidi kuijenga.

Siyeye pekee naona ni wasomi wengi wa kodi za wananchi wapotosha vitu mbali mbali tu.

Wasomi wote watuombe msamaha wananchi na waende kwenye nyumba za ibada kutubu.
Bora KUPOTOSHA lakini Viongozi wamesoma kwa KODI na Bado ni MAFISADI kwa KUIBA Kodi za Wananchi
 
Nimekaa sehemu nimesikiliza professor mmoja mmbobezi wa somo la Development studies kwa kifupi DS.

Akijikita kuwaeleza wananchi ambao tayari wananchi hao wana mkataba huo mbovu mkononi. Kuwa mkataba huo waliyoushika mkononi unatija wakati ni mbovu.

Mimi binafsi naona ni usaliti ubinafsi, wizi na ufisadi na kujishushia heshima ambayo kwa miaka mingi alijitahidi kuijenga.

Siyeye pekee naona ni wasomi wengi wa kodi za wananchi wapotosha vitu mbali mbali tu.

Wasomi wote watuombe msamaha wananchi na waende kwenye nyumba za ibada kutubu.
Professor ameshachukua advance
 
Back
Top Bottom